DKT. KAMANI ACHANGIA UJENZI SHULE YA NYAMAJASHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1cQ3nx51QrY/VO41nipMPMI/AAAAAAAHF3Q/smCT0tIgtvk/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
Mbunge wa Jimbo la Busega na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (mwenye shati la kijani) akitoa mchango wa saruji mifuko 70 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa shule ya msingi Nyamajashi iliyopo mjini Lamadi katika Jimbo la Busega.
Mbunge wa Jimbo la Busega na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akiwahutubia Wananchi waliohudhuria kwenye hafla hiyo.
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JZqvYhLuz-c/XvLrTFpFCVI/AAAAAAALvJQ/j2Rc5xgsg_gxfU9RdT84FGwZRs5xg290wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.48.50%2BPM.jpeg)
DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.
DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.
Akizungumza na wananchi wa kata...
10 years ago
MichuziMBATIA ACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA BWENI SHULE YA SEKONDARI PAKULA ILIYOPO JIMBO LA VUNJO.
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa achangia bati 100 ujenzi wa shule ya msingi lukwambe na zahanati ya kijiji cha mlangali
Mbunge wa jimbo la Kalenga Bw Godfrey Mgimwa kulia akikabidhi mchango wake wa Tsh 250,000 kwa ajili ya kusaidia kazi ndogo...
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Prof. Msolla achangia ujenzi wa josho
MBUNGE wa Kilolo, Prof. Peter Msolla (CCM), ameahidi kusaidia ujenzi wa josho katika Kijiji cha Ikuka, Kata ya Uhambingeto, Wilaya ya Kilolo kwa kuchangia vifaa vya ujenzi kama mabati, saruji...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zjDBpF5ER_g/XoChF9jzTAI/AAAAAAABL8k/CiyxdraNKWgUxNCyhSf8XjEfDnmgQZplACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200328-WA0024.jpg)
MTATURU ACHANGIA UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU UVCCM MKOA WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zjDBpF5ER_g/XoChF9jzTAI/AAAAAAABL8k/CiyxdraNKWgUxNCyhSf8XjEfDnmgQZplACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200328-WA0024.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-W6nZbLfsQOA/XoChGSPT05I/AAAAAAABL8o/aNcFltfTiCkK4MOEY1O6_a4YW3EDq5HpACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200328-WA0049.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eBDXrWomhp0/XoChGiKr1sI/AAAAAAABL8s/vXd2bvd9xPQJXP0mr06Wv21KUIwQ-QhCwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200328-WA0051.jpg)
Na Sakina abdulmasoud MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amekabidhi mifuko 30 ya saruji ikiwa ni namna ya kuunga mkono ujenzi wa nyumba ya Katibu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KkqtTpommKE/XrbNY_1zpnI/AAAAAAALpmA/fDTI97u6kYkYesjDUDYfPSJwpUE0L2n9ACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200504-WA0156-768x513.jpg)
DKT KAWAMBWA ACHANGIA MISAADA KUPAMBANA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-KkqtTpommKE/XrbNY_1zpnI/AAAAAAALpmA/fDTI97u6kYkYesjDUDYfPSJwpUE0L2n9ACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200504-WA0156-768x513.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/IMG-20200504-WA0152-1024x684.jpg)
……………………………………………………………………………..
NA MWAMVUA MWINYI,BAGAMOYO
Mbunge wa jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani Dkt. Shukuru Jumanne Kawambwa, amegawa ndoo za maji kwaajili ya kunawa mikono, pamoja na sabuni katika maeneo mbalimbali ya kata ya Dunda, Nianjema na Magomeni ikiwa ni muendelezo wa mapambano dhidi ya maamukizi ya ugonjwa wa Corona.
Ziara hiyo iliyopitia vijiwe mbalimbali vya pikipiki na maeneo ya masoko, Dkt. Kawambwa aliwatahadharisha wafanyabiashara na watu wanaokuja katika maeneo hayo...
10 years ago
Michuzi21 Nov
MISS CENTRAL ZONE 2014 DORIS MOLLEL ACHANGIA VITABU SHULE YA MSINGI MPUNGUZI, DODOMA
![1](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/11/110.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Nov
Doris Mollel achangia vitabu shule ya Msingi Mpunguzi, Dodoma kwa ushirikiano na Mak Solutions Ltd
Doris Mollel akikabidhiwa vitabu 200 na mkurugenzi wa MAK Solutions Bi Meetal Kirubakaran. Vitabu hivyo vilikabidhiwa kwa shule ya msingi Mpunguzi iliyopo Dodoma kama mchango wa kuadhimisha siku ya watoto duniani.(Picha zote na Albert Manifester).
Dodoma, Novemba 2014.
Katika kuadhimisha siku ya watoto duniani inayofanyika tarehe 20 Novemba kila mwaka, Mrembo wa Redds Miss central Zone 2014 Doris Mollel amechangia Vitabu vyenye thamani ya Shilingi Milioni moja (1,000,000/=) katika shule ya...