Prof. Msolla achangia ujenzi wa josho
MBUNGE wa Kilolo, Prof. Peter Msolla (CCM), ameahidi kusaidia ujenzi wa josho katika Kijiji cha Ikuka, Kata ya Uhambingeto, Wilaya ya Kilolo kwa kuchangia vifaa vya ujenzi kama mabati, saruji...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s72-c/anna-tibaijuka.jpg)
PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE
![](http://4.bp.blogspot.com/-hgVQFQ0fSl8/VVd8CjLjuuI/AAAAAAABOkg/6sE6f9_4_rs/s640/anna-tibaijuka.jpg)
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-1cQ3nx51QrY/VO41nipMPMI/AAAAAAAHF3Q/smCT0tIgtvk/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
DKT. KAMANI ACHANGIA UJENZI SHULE YA NYAMAJASHI
![](http://2.bp.blogspot.com/-1cQ3nx51QrY/VO41nipMPMI/AAAAAAAHF3Q/smCT0tIgtvk/s1600/unnamed%2B(59).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vAmds1DR5x4/VO41n2V7ylI/AAAAAAAHF3M/0OXeDjV5HA0/s1600/unnamed%2B(60).jpg)
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-zjDBpF5ER_g/XoChF9jzTAI/AAAAAAABL8k/CiyxdraNKWgUxNCyhSf8XjEfDnmgQZplACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200328-WA0024.jpg)
MTATURU ACHANGIA UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU UVCCM MKOA WA SINGIDA
![](https://1.bp.blogspot.com/-zjDBpF5ER_g/XoChF9jzTAI/AAAAAAABL8k/CiyxdraNKWgUxNCyhSf8XjEfDnmgQZplACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200328-WA0024.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-W6nZbLfsQOA/XoChGSPT05I/AAAAAAABL8o/aNcFltfTiCkK4MOEY1O6_a4YW3EDq5HpACLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200328-WA0049.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-eBDXrWomhp0/XoChGiKr1sI/AAAAAAABL8s/vXd2bvd9xPQJXP0mr06Wv21KUIwQ-QhCwCLcBGAsYHQ/s640/IMG-20200328-WA0051.jpg)
Na Sakina abdulmasoud MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amekabidhi mifuko 30 ya saruji ikiwa ni namna ya kuunga mkono ujenzi wa nyumba ya Katibu wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JZqvYhLuz-c/XvLrTFpFCVI/AAAAAAALvJQ/j2Rc5xgsg_gxfU9RdT84FGwZRs5xg290wCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-06-23%2Bat%2B6.48.50%2BPM.jpeg)
DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI
Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.
DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.
Akizungumza na wananchi wa kata...
10 years ago
MichuziMBATIA ACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA BWENI SHULE YA SEKONDARI PAKULA ILIYOPO JIMBO LA VUNJO.
10 years ago
Dewji Blog22 May
Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.
Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.
Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...
10 years ago
MichuziMbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa achangia bati 100 ujenzi wa shule ya msingi lukwambe na zahanati ya kijiji cha mlangali
Mbunge wa jimbo la Kalenga Bw Godfrey Mgimwa kulia akikabidhi mchango wake wa Tsh 250,000 kwa ajili ya kusaidia kazi ndogo...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-6J84zYAerzo/XuPgsp1Zs3I/AAAAAAALtpc/45PpYgL-ePQJIxasnwMk7VGjeI7OaMsuACLcBGAsYHQ/s72-c/2f733993-5cd7-4973-b305-bf9652db89ea.jpg)
Kasi ya ujenzi wa Makumbusho ya nyayo za Zamadam iendelee-Prof Mkenda.
![](https://1.bp.blogspot.com/-6J84zYAerzo/XuPgsp1Zs3I/AAAAAAALtpc/45PpYgL-ePQJIxasnwMk7VGjeI7OaMsuACLcBGAsYHQ/s640/2f733993-5cd7-4973-b305-bf9652db89ea.jpg)
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii (wa pili kulia) akifuatilia maelezo ya ujenzi wa makumbusho ya nyao za Zamadamu kutoka kwa Meneja urithi na Utamaduni wa NCAA Eng. Joshua Mwankunda.
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/06/c5369c2e-14eb-492d-8ba2-9f36ca01e5dc.jpg)
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Kinana ashiriki ukarabati wa josho lililoasisiwa na Nyerere
JOSHO la kuogeshea mifugo katika kijiji cha Gwandi, wilayani Chemba, halijafanyiwa ukarabati tangu lilipojengwa mwaka 1969.
Hali hiyo imelifanya jengo hilo kuharibika vibaya na kutakiwa kufanyiwa ukarabati wa kina ili kulirejesha katika hali yake ya kawaida.
Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi alishiriki katika ukarabati wa jengo hilo, ambalo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alishiriki kulijenga mwaka 1969.
Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa, jengo hilo halijawahi...