Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Msolla achangia ujenzi wa josho

MBUNGE wa Kilolo, Prof. Peter Msolla (CCM), ameahidi kusaidia ujenzi wa josho katika Kijiji cha Ikuka, Kata ya Uhambingeto, Wilaya ya Kilolo kwa kuchangia vifaa vya ujenzi kama mabati, saruji...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

PROF. TIBAIJUKA ACHANGIA MIL 60 KUKUZA MITAJI YA WANAWAKE JIMBONI MWAKE

Zaidi ya vikundi 500 vya wajasiliamali kutoka kata 17 kati ya 25 zinazounda jimbo la Muleba Kusini Mkoani Kagera vimepokea mchango wa Shilingi milioni 60 kutoka kwa mbunge wa jimbo hilo kwa lengo la kuboresha mitaji na kujipanua kiuchumi.Akihutubia wawakilishi wa vikundi hivyo jana katika ukumbi wa Kajumulo Foundation mjini Muleba mbunge wa jimbo hilo Profesa Anna Tibaijuka amesema vikundi alivyochangia fedha hizo ni vya wanawake , Vijana pamoja na wazee.
Profesa Tibaijuka amesema kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

DKT. KAMANI ACHANGIA UJENZI SHULE YA NYAMAJASHI

Mbunge wa Jimbo la Busega na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani (mwenye shati la kijani) akitoa mchango wa saruji mifuko 70 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa shule ya msingi Nyamajashi iliyopo mjini Lamadi katika Jimbo la Busega. Mbunge wa Jimbo la Busega na Waziri wa Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi,Mhe. Dkt. Titus Mlengeya Kamani akiwahutubia Wananchi waliohudhuria kwenye hafla hiyo.

 

5 years ago

CCM Blog

MTATURU ACHANGIA UJENZI WA NYUMBA YA KATIBU UVCCM MKOA WA SINGIDA

 MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu (kushoto) akikabidhi mifuko ya saruji msaada kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa Jengo la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Singida. MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturuakizungumza na baadhi ya viongozi wa CCM , alipokuwa akikagua ujenzi wa jengo hilo la Umoja wa Vijana wa CCM Mkoa wa Singida.


Na Sakina abdulmasoud MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu amekabidhi mifuko 30 ya saruji ikiwa ni namna ya kuunga mkono ujenzi wa nyumba ya Katibu wa...

 

5 years ago

Michuzi

DC NDEJEMBI AONGOZA ZOEZI LA UJENZI WA MSINGI SHULE YA SEKONDARI, ACHANGIA MIFUKO 10 YA SARUJI

Charles James, Michuzi TV

Mkuu wa Wilaya ya Kongwa mkoani Dodoma, Deo Ndejembi hii leo ameongoza zoezi la uchimbaji msingi ujenzi wa Shule ya Sekondari katika Kata ya Chamkoroma wilayani humo ambayo ikikamilika itakua ikihudumia wanafunzi kutoka vijiji saba vya kata hiyo.

DC Ndejembi pia ameahidi kuchangia mifuko 10 ya Saruji ili kuwezesha kukamilika mapema kwa Shule hiyo ambayo itaenda kumaliza changamoto ya watoto wanaotembea umbali mrefu kwenda Shule ilipo.

Akizungumza na wananchi wa kata...

 

10 years ago

Michuzi

MBATIA ACHANGIA MILIONI 20 UJENZI WA BWENI SHULE YA SEKONDARI PAKULA ILIYOPO JIMBO LA VUNJO.

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa Mh James Mbatia akiongozana na makamu mwenyekiti wa shule ya sekondari Pakula Julius Furaha(Suti ya Blue) baada ya kupokelewa kwa ajili ya mahafali na harambee ya ujenzi wa Bweni.Baada a mchango huo kina mama walimbeba Mbatia huku wakishangilia .
Makamu mwenyekiti wa Bodi ya shule ya sekondari Pakula,Paroko Julius Furaha akizungumza wakati wa mahafali hayo.Mkuu wa shule ya sekondari Pakula Lolenzo John akimkabidhi Mh,Mbatia zawadi ya Mbuzi dume...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mbunge wa viti maalumu (CCM) mkoa wa Singida, Bi Martha Mlata achangia ujenzi wa vyoo vya shule ya Kilimani

SAM_2399

Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata (aliyesimama kwenye jukwaa) akiwaongea na wananchi wa Kijiji cha Ibaga,tarafa ya Kirumi ,Mkoani Singida wakati wa ziara yake ya siku moja wilayani hapa yenye lengo la kukiimarisha chama.

SAM_2404

Mbunge wa viti maalumu (CCM) Mkoa wa Singida,Bi Marther Mosses Mlata(wa pili kutoka kushoto) akikabidhi vifaa vya michezo kwa timu za soka za kata ya Ibaga.

SAM_2415

Katibu wa CCM wilaya ya Mkalama,Bwana Amosi Shimba (wa pili kutoka kushoto)...

 

10 years ago

Michuzi

Mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa achangia bati 100 ujenzi wa shule ya msingi lukwambe na zahanati ya kijiji cha mlangali

Mbunge wa  jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa  (kulia) akikabidhi ahadi ya bati 100 alizokuwa ameziahidi mbunge aliyepita marehemu Dr  Wiliam Mgimwa kwa  viongozi wa kijiji cha Mangalali kwa ajili ya ujenzi  wa vyumba vya madarasa  shule ya msingi Lukwambe hadi  sasa ni asilimia 90 ya ahadi binafsi za mbunge aliyefariki  zimetekelezwa jimbo la Kalenga na mbunge Mgimwa.


Mbunge wa  jimbo la Kalenga Bw Godfrey Mgimwa kulia akikabidhi mchango wake wa Tsh 250,000 kwa ajili ya kusaidia kazi ndogo...

 

5 years ago

Michuzi

Kasi ya ujenzi wa Makumbusho ya nyayo za Zamadam iendelee-Prof Mkenda.



Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii (wa pili kulia)   akifuatilia maelezo ya ujenzi wa makumbusho ya nyao za Zamadamu kutoka kwa Meneja urithi na Utamaduni wa NCAA Eng. Joshua Mwankunda.Mtaalam wa Urithi wa Utamaduni wa NCAA Bw. Melkizedeck Mwambungu (Kulia) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii Prof Adolf...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Kinana ashiriki ukarabati wa josho lililoasisiwa na Nyerere


JOSHO la kuogeshea mifugo katika kijiji cha Gwandi, wilayani Chemba, halijafanyiwa ukarabati tangu lilipojengwa mwaka 1969.
Hali hiyo imelifanya jengo hilo kuharibika vibaya na kutakiwa kufanyiwa ukarabati wa kina ili kulirejesha katika hali yake ya kawaida.
Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi alishiriki katika ukarabati wa jengo hilo, ambalo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alishiriki kulijenga mwaka 1969.
Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa, jengo hilo halijawahi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani