Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kinana ashiriki ukarabati wa josho lililoasisiwa na Nyerere


JOSHO la kuogeshea mifugo katika kijiji cha Gwandi, wilayani Chemba, halijafanyiwa ukarabati tangu lilipojengwa mwaka 1969.
Hali hiyo imelifanya jengo hilo kuharibika vibaya na kutakiwa kufanyiwa ukarabati wa kina ili kulirejesha katika hali yake ya kawaida.
Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi alishiriki katika ukarabati wa jengo hilo, ambalo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alishiriki kulijenga mwaka 1969.
Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa, jengo hilo halijawahi...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

KINANA ASHIRIKI KULIMA MUHEZA



 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea shambani kulima katika kijiji cha Kwemnyefu kata ya Mpapayu wilayani Muheza mkoani Tanga.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika kijiji cha Kwemnyefu kata ya Mpapayu wilayani Muheza mkoani Tanga.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa shambani wakati wa kulima na kupanda mahindi katika kijiji cha Kwemnyefu kata ya Mpapayu wilayani Muheza mkoani Tanga.
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ashiriki kazi za kijamii mjini Korogwe

12

Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima shamba la Mpunga kwenye mradi wa kilimo kwanza wa Skimu ya Mahenge.

Mifereji ya maji kwenye shamba la skimu ya Mahenge

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kufyeka majani kwenye eneo la soko la sabasaba mjini Korogwe.

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kujenga zahanati Mahenge kwa Mndolwa.

Mbunge wa Korogwe mjini Bw. Yusuph Nassir akielezea mipango ya maendeleo ya jimbo lake wakati wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kinana ashiriki upandaji wa zao la Mwani Kusini Unguja

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupanda zao la mwani katika Kijiji cha Kibigija, Jambiani, Wilaya ya Kusini Unguja, Zanzibar leo, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).

02

Kinana akiwa na viongozi wengine wa CCM pamoja na wakulima wakiondoka baada kushiriki kupanda mwani.

 Komredi Kinana akilakiwa na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi, Haroun Ali...

 

10 years ago

Michuzi

MAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE HUKO MSASAN

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitia saini kwenye kitabu cha kumbukumbu ya Marehemu John Nyerere, mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki dunia katika Hospitali ya Taifa Muhimbili tarehe 9.5.2015. Shughuli ya kuaga mwili wa marehemu John imefanyika nyumbani kwa Hayati Mwalimu Nyerere huko Msasani jijini Dar es Salaam leo.Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiteta jambo na Mama Maria Nyerere mara baada ya shughuli ya kuaga mwili wa Marehemu John Nyerere huko Msasani...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA


Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.

Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...

 

11 years ago

Michuzi

MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupalilia katika shamba la Magreth Kalimwa (wapili kulia), katika Kijiji cha Mlimanyoka, Kata ya Nsalanga, wilala ya Mbeya mjini. Kinana alifika kumsaidia mkulima huyo ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 37 ya CCM, inayofanyika Kitaifa Jumapili hii mjini Mbeya.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...

 

10 years ago

GPL

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ASHIRIKI KUPANDA ZAO LA MWANI BAHARINI‏

Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana Samia Suluhu Mbunge wa jimbo la Makunduchi mara baada ya kuwasili katika tawi la Pete Makunduchi, katikati ni Mwakilishi wa jimbo la Makunduchi Haroun Ali Suleiman.…

 

10 years ago

Tanzania Daima

Prof. Msolla achangia ujenzi wa josho

MBUNGE wa Kilolo, Prof. Peter Msolla (CCM), ameahidi kusaidia ujenzi wa josho katika Kijiji cha Ikuka, Kata ya Uhambingeto, Wilaya ya Kilolo kwa kuchangia vifaa vya ujenzi kama mabati, saruji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani