Kinana ashiriki ukarabati wa josho lililoasisiwa na Nyerere
JOSHO la kuogeshea mifugo katika kijiji cha Gwandi, wilayani Chemba, halijafanyiwa ukarabati tangu lilipojengwa mwaka 1969.
Hali hiyo imelifanya jengo hilo kuharibika vibaya na kutakiwa kufanyiwa ukarabati wa kina ili kulirejesha katika hali yake ya kawaida.
Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi alishiriki katika ukarabati wa jengo hilo, ambalo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alishiriki kulijenga mwaka 1969.
Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa, jengo hilo halijawahi...
Uhuru Newspaper
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mUwYYQmTq9M/VCxSRc-IqhI/AAAAAAAARsI/Se297PNlxy0/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI KULIMA MUHEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mUwYYQmTq9M/VCxSRc-IqhI/AAAAAAAARsI/Se297PNlxy0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d2s3YGfuAj8/VCxUbK5lO9I/AAAAAAAARtA/7_uAAWbUooc/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JwE_iMr8IoA/VCxWAdR-2kI/AAAAAAAARtw/6jMb2Sb_JtY/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Az7xlNkrciw/VCxWTNJPXxI/AAAAAAAARt4/PFgQGrvmSIs/s1600/4.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Kinana ashiriki kazi za kijamii mjini Korogwe
![12](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/09/128.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima shamba la Mpunga kwenye mradi wa kilimo kwanza wa Skimu ya Mahenge.
![](http://1.bp.blogspot.com/-lTZPIBK3eAk/VCRMxQFZCGI/AAAAAAAARR4/68ar_8rEzZc/s1600/13.jpg)
Mifereji ya maji kwenye shamba la skimu ya Mahenge
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kufyeka majani kwenye eneo la soko la sabasaba mjini Korogwe.
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZcIAL5bgWCI/VCRMymBqA3I/AAAAAAAARSA/SbzSTisKCjg/s1600/14.jpg)
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kujenga zahanati Mahenge kwa Mndolwa.
![](http://3.bp.blogspot.com/-dzHpi4s1x2I/VCRM0FWiiRI/AAAAAAAARSI/QVgWW-sLZgU/s1600/15.jpg)
Mbunge wa Korogwe mjini Bw. Yusuph Nassir akielezea mipango ya maendeleo ya jimbo lake wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Kinana ashiriki upandaji wa zao la Mwani Kusini Unguja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupanda zao la mwani katika Kijiji cha Kibigija, Jambiani, Wilaya ya Kusini Unguja, Zanzibar leo, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Komredi Kinana akilakiwa na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi, Haroun Ali...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE ASHIRIKI KUAGA MWILI WA MAREHEMU JOHN NYERERE HUKO MSASAN
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-lkhunC8oj5E/VTOJNJNBG-I/AAAAAAAAaJ8/aPLP2jBtswY/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
![](http://1.bp.blogspot.com/-PmYbB_Xa1y8/VTOJOsl63pI/AAAAAAAAaKI/oHFPf0hv7R8/s1600/2.jpg)
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/9Xb5Tkxx60I/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s72-c/unnamed+(51).jpg)
MAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.
![](http://4.bp.blogspot.com/-B1SewksR130/UuzGlz2mLfI/AAAAAAAFKEo/SzeFhCPka3k/s1600/unnamed+(51).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YT44MPu7bAI/UuzJAFw0WAI/AAAAAAACZy8/s5gGAoVZvvg/s1600/1.jpg)
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/159.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ASHIRIKI KUPANDA ZAO LA MWANI BAHARINI
10 years ago
Tanzania Daima19 Oct
Prof. Msolla achangia ujenzi wa josho
MBUNGE wa Kilolo, Prof. Peter Msolla (CCM), ameahidi kusaidia ujenzi wa josho katika Kijiji cha Ikuka, Kata ya Uhambingeto, Wilaya ya Kilolo kwa kuchangia vifaa vya ujenzi kama mabati, saruji...