Kinana ashiriki upandaji wa zao la Mwani Kusini Unguja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupanda zao la mwani katika Kijiji cha Kibigija, Jambiani, Wilaya ya Kusini Unguja, Zanzibar leo, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Komredi Kinana akilakiwa na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi, Haroun Ali...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/159.jpg)
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ASHIRIKI KUPANDA ZAO LA MWANI BAHARINI
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana Samia Suluhu Mbunge wa jimbo la Makunduchi mara baada ya kuwasili katika tawi la Pete Makunduchi, katikati ni Mwakilishi wa jimbo la Makunduchi Haroun Ali Suleiman.…
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-9cxAP21U_qc/VL3thTauc3I/AAAAAAACyAY/e-D-8CrH8uk/s72-c/33.jpg)
KINANA AMALIZA ZIARA KATIKA JIMBO LA UZINI MKOA WA KUSINI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-9cxAP21U_qc/VL3thTauc3I/AAAAAAACyAY/e-D-8CrH8uk/s1600/33.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-t3edYGaKaRU/VL3th0B_cjI/AAAAAAACyAg/cOUE8QWbdRw/s1600/34.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cO3FweE8KSE/VL3tiDOYFLI/AAAAAAACyAk/G4EjbKOwWwM/s1600/35.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GRaOsAVg0mg/VL3tilOkVjI/AAAAAAACyAo/YO9hp7VzMDs/s1600/36.jpg)
11 years ago
MichuziMAALIM SEIF AONGOZA ZOEZI LA UPANDAJI MITI KITAIFA,MJINI UNGUJA
11 years ago
Mwananchi15 Jan
Sera mbovu zinavyoangusha zao la mwani Zanzibar
>Wakati wakulima wa zao la mwani wakiungana na wazalishaji wengine Zanzibar kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kilimo cha zao hilo kimeendelea kuzorota kufuatia wakulima kupoteza matumaini ya soko la uhakika.
9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s72-c/pix%2Btum.jpg)
Maalim Seif aahidi kupandisha bei ya zao la mwani pindipo akichaguliwa kuwa Rais
![](http://1.bp.blogspot.com/-CZOmjbBFPd4/Vfeu2G8-shI/AAAAAAAB9Vc/0FtTFnKGnl8/s640/pix%2Btum.jpg)
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia CUF, Maalim Seif Sharif Hamad akiwahutubia wananchi wa Tumbe alipotembelea eneo hilo.
Na Khamis Haji , OMKR
Mgombea Urais wa Zanzibar kupitia chama cha Wananchi CUF, Maalim Seif Sharif Hamad amewaahidi wakulima wa zao la mwani Zanzibar kuwa atapandisha bei ya zao hilo mara moja, iwap atachaguliwa kuwa Rais wa Zanzibar katika uchaguzi mkuu wa mwezi ujao.
Maalim Seif alisema bei wanayolipwa wakulima ya shilingi 700 na 800 hivi sasa ni ndogo na hailingani na...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-hKq-bfM-RIA/VlsGMHvD-3I/AAAAAAAIJCI/E30jqupLs2E/s72-c/0c0b5b0b-dd7c-4ef1-b62f-1fdfe272cccd.jpg)
balozi Seif Ali Iddi atembelea msitu wa Muyuni Wilaya ya Kusini Mkoa wa Kusini Unguja.
![](http://2.bp.blogspot.com/-hKq-bfM-RIA/VlsGMHvD-3I/AAAAAAAIJCI/E30jqupLs2E/s640/0c0b5b0b-dd7c-4ef1-b62f-1fdfe272cccd.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1PqECq_H4ZA/VlsGMAaQ8oI/AAAAAAAIJCE/9XtbP8Pk44c/s640/96bc0199-bee0-48ca-8a1b-46db9c4e2bb9.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-geRlRnCOH_I/VRmq2YrYDXI/AAAAAAAHOcQ/VK77SXrp6Ug/s72-c/unnamed%2B(59).jpg)
MAALIM SEIF ASHIRIKI MAZISHI YA MFUASI WA CHAMA CHA CUF ALIEFARIKI KWA AJALI, UNGUJA
Na: Khamis Haji (OMKR)
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
Katibu Mkuu wa CUF, Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad amehudhuria mazishi ya Hemed Salum Hemed (38) aliyefariki katika ajali ya barabarani iliyotokea wakati akirudi katika mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika Makunduchi Wilaya ya Kusini Unguja.
Marehemu ambaye ni mkaazi wa Kinuni, Wilaya ya Magharibi Unguja amesaliwa katika Msikiti Ngamia, Kilimahewa na kuzikwa Kianga, mkoa wa Mjini Magharibi Unguja.
Aidha, Maalim Seif amewatembelea na kuwawafariji baadhi ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-mUwYYQmTq9M/VCxSRc-IqhI/AAAAAAAARsI/Se297PNlxy0/s72-c/1.jpg)
KINANA ASHIRIKI KULIMA MUHEZA
![](http://3.bp.blogspot.com/-mUwYYQmTq9M/VCxSRc-IqhI/AAAAAAAARsI/Se297PNlxy0/s1600/1.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-d2s3YGfuAj8/VCxUbK5lO9I/AAAAAAAARtA/7_uAAWbUooc/s1600/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-JwE_iMr8IoA/VCxWAdR-2kI/AAAAAAAARtw/6jMb2Sb_JtY/s1600/3.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-Az7xlNkrciw/VCxWTNJPXxI/AAAAAAAARt4/PFgQGrvmSIs/s1600/4.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-g06DAd8pWgk/VfWk5jfawPI/AAAAAAAD7Ck/5xxu-p2p0Io/s72-c/1.jpg)
CCM ZANZIBAR WAZINDUA KAMPENI ZAO UWANJA WA DEMOKRASIA KIBANDA MAITI UNGUJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-g06DAd8pWgk/VfWk5jfawPI/AAAAAAAD7Ck/5xxu-p2p0Io/s640/1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wFMeLa6Cl_E/VfWk7mN7f0I/AAAAAAAD7DI/gbVIm7klNwE/s640/2.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania