KINANA ASHIRIKI KULIMA MUHEZA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akielekea shambani kulima katika kijiji cha Kwemnyefu kata ya Mpapayu wilayani Muheza mkoani Tanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima na kupanda mahindi katika kijiji cha Kwemnyefu kata ya Mpapayu wilayani Muheza mkoani Tanga.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwa shambani wakati wa kulima na kupanda mahindi katika kijiji cha Kwemnyefu kata ya Mpapayu wilayani Muheza mkoani Tanga.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper12 Mar
Kinana ashiriki ukarabati wa josho lililoasisiwa na Nyerere
JOSHO la kuogeshea mifugo katika kijiji cha Gwandi, wilayani Chemba, halijafanyiwa ukarabati tangu lilipojengwa mwaka 1969.
Hali hiyo imelifanya jengo hilo kuharibika vibaya na kutakiwa kufanyiwa ukarabati wa kina ili kulirejesha katika hali yake ya kawaida.
Kutokana na hali hiyo, Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, juzi alishiriki katika ukarabati wa jengo hilo, ambalo Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere alishiriki kulijenga mwaka 1969.
Taarifa za uhakika zimeeleza kuwa, jengo hilo halijawahi...
10 years ago
Dewji Blog26 Sep
Kinana ashiriki kazi za kijamii mjini Korogwe
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akishiriki kulima shamba la Mpunga kwenye mradi wa kilimo kwanza wa Skimu ya Mahenge.
Mifereji ya maji kwenye shamba la skimu ya Mahenge
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kufyeka majani kwenye eneo la soko la sabasaba mjini Korogwe.
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akishiriki kujenga zahanati Mahenge kwa Mndolwa.
Mbunge wa Korogwe mjini Bw. Yusuph Nassir akielezea mipango ya maendeleo ya jimbo lake wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog25 Jan
Kinana ashiriki upandaji wa zao la Mwani Kusini Unguja
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupanda zao la mwani katika Kijiji cha Kibigija, Jambiani, Wilaya ya Kusini Unguja, Zanzibar leo, akiwa katika ziara ya kuimarisha uhai wa chama na kukagua Utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG).
Kinana akiwa na viongozi wengine wa CCM pamoja na wakulima wakiondoka baada kushiriki kupanda mwani.Komredi Kinana akilakiwa na Mwakilishi wa Jimbo la Makunduchi, Haroun Ali...
10 years ago
VijimamboKINANA ASHIRIKI BONANZA LA KUHAMASISHA WANANCHI KUJIANDIKISHA KWENYE DAFTARI LA KUPIGA KURA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalimiana na Viongozi na waratibu wa Bonanza maalum la kuhamasisha wananchi kujiandikisha katika Daftari Maalum la kupiga kura mara baada ya kuwasili kwenye viwanja vya Gonga, Karakata tayari kushiriki mchaka mchaka na vijana zaidi ya 500 kutoka vikundi mbali mbali vya wilaya ya Ilala na Temeke.
Vijana wakiwa wamekusanyika tayari kuanza kushiriki mazoezi ya jogging kwenye uwanja wa Gonga, Karakata ambapo mgeni rasmi alikuwa Katibu Mkuu wa CCM...
10 years ago
Michuzi11 years ago
MichuziMAANDALIZI YA MAADHIMISHO YA MIAKA 37 YA CCM MKOA WA MBEYA YAIVA,KINANA ASHIRIKI SHUGHULI ZA KIJAMII.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na Bi.Magreth Kalimwa mara baada ya kuwasili kwenye shamba lake kwa ajili ya kushiriki kupalilia shamba hilo lenye ekari moja...
10 years ago
GPLKATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA ASHIRIKI KUPANDA ZAO LA MWANI BAHARINI
10 years ago
Dewji Blog20 Apr
Kinana ashiriki katika bonanza la vilabu vya Jogging mkoa wa Dar, vijana watakiwa kujiandikisha daftari la wapiga kura
Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Ndugu Abdulrahman Kinana akianza mazoezi wakati akishiriki katika bonanza la Jogging lililoandaliwa na Kundi la Kaza Moyo Jogging Club la Ukonga Sitakishari ili kuhamasishwa vijana kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura . Mazoezi hayo yameanzia katika viwanja vya Gonga Gongo la Mboto kupitia Kipawa na kuishia kwenye uwanja wa Social Sitaki Shari Ukonga ujumbe mkuu wa Bonanza hilo ulikuwa ni kuwataka vijana kujitokeza kwa...
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Mjengwa; Kiongozi mstaafu anayefuga na kulima