DMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CHA CAROLINE MWAISELAGE
Misa ya kumbukumbu iliyofanyika siku ya Jumamosi Machi 22, 2014 College Parka Maryland kwa ajili ya marehemu Caroline Mwaiselage aliyekuwa mfanyakazi wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani aliyekutwa na mauti akiwa Tanzania Machi 7, 2014. Watoto wa…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziDMV YAFANYA MISA YA KUMBUKUMBU NA KUOMBOLEZA KIFO CAROLINE MWAISELAGE DMV
10 years ago
Vijimambo04 Apr
MISA YA KUMBUKUMBU DMV JUMAMOSI APRIL 11, 2015
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/9/99/St._Joseph_Cathedral_Wheeling_WV_1.jpg)
10 years ago
Vijimambo11 Apr
MISA YA KUMBUKUMBU DMV LEO JUMAMOSI APRIL 11, 2015
![](http://upload.wikimedia.org/wikipedia/commons/9/99/St._Joseph_Cathedral_Wheeling_WV_1.jpg)
11 years ago
GPLMISA YA KUMBUKUMBU YA MAREHEMU MAMA MRS AURELIA FRANCIS NSOLO DMV
Picha ya marehemu mama Mrs Aurelia Francis Nsolo aliyefariki Marcha 17, 2014 Tanzania na kufanyika misa ya kumbukumbu College Park, Maryland. siku ya Jumapili March 23, 2014.
Wachungaji walioongoza misa hiyo wakiiombea familia ya marehemu kwenye misa ya kumbukumbu ya marehemu mama Mrs Aurelia Francis Nsolo iliyofanyika…
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Maduka, benki vyafungwa kuomboleza kifo cha Nelson Mandelea
Shughuli nyingi za biashara zimesimama katika jiji hili kuu la kibiashara kutokana na pilikapilika za watu wengi kumiminika kumuaga kiongozi wao, Nelson Mandela.
11 years ago
Michuzi05 Aug
MALINZI ATUMA RAMBIRAMBI FIFA KUOMBOLEZA KIFO CHA MAKAMU WA BLATTER
![](https://2.bp.blogspot.com/-at26zELvqw4/U-DE635YhGI/AAAAAAAAs9w/W0ckErzWEzU/s1600/julio-grondona.jpg)
Rais wa Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi amemtumia salamu za rambirambi Rais wa Shrikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (Fifa), Sepp Blatter kutokana na kifo cha makamu wake mwandamizi Julio Grondora.Amesema yeye binafsi na jamii ya mpira wa miguu Tanzania kwa ujumla wanaomboleza msiba wa Grondora ambaye pia alikuwa Rais wa Chama cha Mpira wa Miguu cha Argentina (AFA).Ameongeza kuwa Grondora alikuwa mtumishi mwandamizi wa mpira wa miguu, kwani alijitoa katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s72-c/unnamed-62.jpg)
:Rais Jakaya Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa,
![](http://4.bp.blogspot.com/-QA2pSaI8XUE/VOHpI0d9bnI/AAAAAAADNqQ/l2r0ejFQxI8/s1600/unnamed-62.jpg)
---
![](http://1.bp.blogspot.com/-OoVt6d_Er5w/VOHpIgTaCKI/AAAAAAADNqM/Ioh7cgRptBA/s1600/Kurugenzi%2Bya%2Bmawasiliano%2Bya%2BIkulu.jpg)
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha Chifu Abdu Adam Mkwawa, ambaye aliaga dunia juzi, Jumamosi, Februari 14, 2015 hospitalini mjini Iringa.
Katika salamu zake kwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Mheshimiwa Amina Masenza leo, Jumapili, Februari 15, 2015, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na kushtushwa na kifo cha Chifu Mkwawa ambaye amemwelezea kama “Chifu mnzuri, kiongozi na mtu wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-rYOKzMBnnNs/VPmKLk57T1I/AAAAAAADbj4/tzFUxhsJHR0/s72-c/IMG-20150306-WA0000.jpg)
KUMBUKUMBU YA CAROLINE
![](http://2.bp.blogspot.com/-rYOKzMBnnNs/VPmKLk57T1I/AAAAAAADbj4/tzFUxhsJHR0/s1600/IMG-20150306-WA0000.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Ct4BimYh7MgXKgenvDM4fgTfi6KEJNkmhsKaRvz6Pjmto*8txB8IpocQoK2MoGePYSPSDIknSSFZAcw5aTrRsnpnx5Fvo8YB/1.jpg?width=650)
AIRTEL YAFANYA MATEMBEZI YA HISANI NA KUKABIDHI KISIMA CHA MAJI SAFI SHULE YA MSINGI KUMBUKUMBU
Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania, Sunil Colaso (wa pili kulia mbele) na Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Benedict Missani (wa tatu kushoto mbele), wakiwaongoza wafanyakazi wa Airtel Tanzania na wanafunzi kwenye matembezi ya hisani yenye lengo la kuchangisha pesa kiasi cha shilingi milioni 10, kwa ajili ya kuendelea kuboresha Shule ya Msingi Kumbukumbu , yaliyoanzia...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania