DONDOO ZA TAARIFA ZA HABARI KUTOKA TV MBALIMBALI LEO KUPITIA SIMU TV
![](http://img.youtube.com/vi/OA_1ADJ66GY/default.jpg)
CHANNEL 10.SIMUtv: Hatimaye serikali ya Tanzania imekubali mapendekezo ya kuwaingiza mabaharia katika utafiti kwenye sekta ya mafuta na gesi. https://www.youtube.com/watch?v=MwReNguQ3G4
SIMUtv: Kiongozi wa ACT Zitto Kabwe amewashauri Wakazi wa mikoa ya kusini Kuwashauri Wabunge wao kuhusu Mswaada wa Gesi kutojadiliwa. https://youtu.be/2fQQbAGvuts
SIMUtv: CHADEMA Maendeleo CHADEMA kimetoa rai kwa Mwanachama yeyote kuchukuliwa hatua endapo atabainika kukigawa chama...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/hyUCdiGfgUI/default.jpg)
DONDOO ZA HABARI KUTOKA VITUO MBALIMBALI VYA TV LEO KUPITIA SIMU TV
Zimekusanywa na Samwel Kamugisha
Ch10 NewsSimutv:Kada wa CCM January Mkamba awasihi wagombea wenza wa uraisi kupitia chama chake kuacha kuchafuana kwani wao wote ni wamoja. http://youtu.be/xIXTuhLqDVw Simutv:Wafanyakazi wa tume ya utumishi wa umma watakiwa kuwa wabunifu zaidi ili kukabiliana na changamoto ufinyu wa bajeti badala ya kuwa walalamikaji. http://youtu.be/Qa7f6Ns-VAQSimutv:Katibu mkuu wa CCM Abdulahman Kinana awataka watendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Kwimba kutenda haki kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xraRQLvOg0U/default.jpg)
DONDOO ZA HABARI KUTOKA VITUO VYA TELEVISHENI KUPITIA SIMU TV
SIMUTV: Watoto yatima wawili wakazi wa manispaa ya Ilemela mjini Mwanza wafanikiwa kupata hati ya nyumba yao ya urithi baada ya shririka lisilo la kiserikali KIVULINI kushirikiana na uongozi wa mtaa kuingilia kati sakata hilo. http://youtu.be/3PB-kjC4sNI
SIMUTV: Mwenyekiti wa CUF Prof.Ibrahim Lipumba awataka wananchi kijiandikisha katika daftari la wapiga kura wakita akihutubia mkutano wa hadhara mkoani Mwanza. http://youtu.be/1VWsaj6DNHMSIMUTV: Mkuu wa Wilaya ya Arusha mjini Christopher...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8YffHj8eU_Y/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/XJBQMYwTJRM/default.jpg)
MUHTASARI WA HABARI KATIKA TV MBALIMBALI NCHINI LEO KUPITIA SIMU TV
Zimekusanywa na Samuel Kamugisha
CHANNEL 10*Baraza la Taifa la elimu ya ufundi NACTE lafuta usajili wa vyuo 3 na 16 kushushwa hadhi katika jitihada za kulinda ubora wa elimu nchini. http://youtu.be/2HosRmHz7lU
*Jaji Augustino Ramadhani apata wadhamini mkoani Kilimanjaro huku akisema endapo atachaguliwa atashirikiana na wagombea wenziwe. http://youtu.be/qU7V9hQfIlI *Kada wa CCM Edward Lowassa asema hababaishwi na kashfa,vitisho na matusi anavyokumbana navyo kwani ana nia ya dhati ya kuongoza...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/xSkiLVZ2I5k/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/j17Ft_Lo0VM/default.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/m50IiIcEQoM/default.jpg)
SIMU TV: HABARI KUTOKA TELEVISHENI MBALIMBALI
AZAM TV: Mhe.Lowasa awaomba wananchi wa Mleba kumpigia kura ili aweze kutekeleza adhma yake ya kuwatumikia wananchi; https://youtu.be/VkTOsMHTP-I
CH 10: Mgombea mwenza CCM Samia Suluhu atinga kisiwani Mafia na kuwaelezea wakazi wa kisiwa hicho ilani ya chama hicho; https://youtu.be/8FAmnOwHPiU
tbc: Raia 40 wa Ethiopia wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Lindi kwa kuingia nchini bila kuwa na kibali; https://youtu.be/KJ0X9vKqiao
star tv: Vyombo vya habari nchini vimetupiwa lawama kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/CqsysU-EcX8/default.jpg)
UCHAMBUZI WA MAGAZETI YA LEO NA TV MBALIMBALI KUPITIA SIMU TV
TBCSIMUtv: Habari kadhaa zimepewa uzito wa hali ya juu katika Magazeti ya Leo. Wajua ni habari gani? Tazama hapa. https://www.youtube.com/watch?v=0AJAUR8HoPI STAR TV Unajua leo June 27 kuna habari gani kuu katika magazeti ? Kuwa wa kwanza kufahamu kwa kuangalia uchambuzi hapa. SIMUtv https://www.youtube.com/watch?v=Oa-5Qa2Mse0
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/hyyDIAvG7nM/default.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania