DOWNLOAD : ROMA ft. STAMINA, WALTER CHILAMBO & MAUNDA ZORRO - #MWANAKONDOO
![](http://1.bp.blogspot.com/-y-TzRY0y0qY/VJFLde6IMiI/AAAAAAAABSQ/RJk-xcQyj30/s72-c/Mwanakondoo%2B2.jpg)
Jamtz.com
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL15 Oct
10 years ago
Jamtz.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-iMFHg9DR7a8/VGxnOonfdgI/AAAAAAAABQo/aHs5f2XgwiI/s72-c/unnamed.jpg)
9 years ago
Bongo521 Oct
Roma asimulia ilivyokuwa hadi kumshirikisha Stamina kwenye ‘Mwanakondoo’
‘Mwanakondoo’ ni wimbo wa Roma uliotoka mwishoni mwa mwaka jana 2014, ambao aliwashirikisha Stamina, Maunda Zorro na Walter Chilambo. Kwa kawaida huwa kunakuwa na sababu zinazowakutanisha wasanii hadi kufikia hatua ya kukubaliana kufanya kazi, na Roma amesimulia jinsi ilivyokuwa hadi kumshirikisha Stamina kwenye wimbo huo. Kupitia Planet Bongo ya EA Radio, Roma amesema kuwa beat […]
10 years ago
Bongo524 Sep
New Video: Baraka Ft Niccolazzo & Walter Chilambo – Kibingwa
Video mpya kutoka kwa rapper Baraka akiwashirikisha Niccolazzo na Walter Chilambo wimbo unaitwa “Kibingwa”
9 years ago
Bongo515 Oct
Music: Viva Conscious Ft. Stamina & Water Chilambo – Piga Chini
Wimbo mpya wa rapper Viva Conscious unaitwa “Piga Chini” amewashirikisha Stamina na Water Chilambo Producer Mesen Selekta. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
TheCitizen23 Oct
There is no money in music, says Maunda Zorro
he was at one point considered as one of the brightest stars of Bongo Flava and after years in oblivion singer Maunda Zorro has thrown in the towel.
9 years ago
Bongo501 Oct
Maunda Zorro ataja sababu iliyomkatisha tamaa na muziki
Ukimya wa Maunda Zorro aliyewahi kufanya vizuri na nyimbo kama ‘Niwe Wako’ na ‘Mapenzi ya Wawili’ umetokana na kile alichodai baadhi ya watu kuingilia muziki na kujifanya nao ni wafanyabiashara wa muziki. Maunda ameliambia gazeti la Mwananchi kuwa watu hao huwasaidia wasanii wanaofanya nao biashara huku wengine wakiachwa. “Kwahiyo hawa nao wana wanamuziki wao, hawawezi […]
10 years ago
Africanjam.Com![](http://4.bp.blogspot.com/-1B1lramsiHA/VUJqn2MmNmI/AAAAAAAABac/3mUbMScCSyA/s72-c/Young%2BKiller%2B-%2BMungu%2BBaba.jpg)
9 years ago
Bongo521 Oct
Maunda Zorro adai hawezi kuendelea kufanya muziki wakati haumlipi
Maunda Zorro amesema ameamua kuuweka pembeni muziki na kuamua kufanya biashara zake binafsi. Muimbaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa bora afanye biashara zinazomlipa kuliko kuendelea kufanya muziki usiomlipa. “Sijatoa kazi yoyote na sina mpango wa kutoa, kuna vitu vingine nafanya siwezi kufanya kitu ambacho hakinilipi,” amesema. “Kwahiyo kuna vitu vingine nafanya vya kuendesha maisha na kwenye […]
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania