EDITORIAL: Why is Mwenge- Tegeta road having no lights?
>Accidents are getting too common on the newly built Mwenge-Tegeta road, leading to too much loss in human lives, broken limbs and damaged vehicles virtually every day.  Let us hasten to express our appreciation of government efforts to improve infrastructure in Dar es Salaam aimed at making motoring less tedious and reducing traffic jams.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRAIS KIKWETE KUZINDUA BARABARA YA MWENGE —TEGETA.
Taarifa iliyotolewa leo jijini Dar esalaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Muhandisi Musa Iyombe imeeleza kuwa sherehe za ufunguzi wa barabara hiyo zitafanyika tarehe 1, Oktoba ,2014 katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe kuanzia saa nne asubuhi.
Taarifa hiyo imeeleza...
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete kufungua Barabara ya Mwenge — Tegeta leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za ufunguzi wa barabara ya Mwenge- Tegeta utakaofanyika leo tarehe 1 Oktoba 2014.
Ufunguzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta wenye urefu wa Kilomita 12.9, utafanyika kuanzia saa nne asubuhi hii katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe.
Upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-zN4X8TJTgIw/VCqAeqbvBgI/AAAAAAAGmsA/WLOrMvpd7k8/s72-c/Tegeta.jpeg)
RAIS KIKWETE KUFUNGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-zN4X8TJTgIw/VCqAeqbvBgI/AAAAAAAGmsA/WLOrMvpd7k8/s1600/Tegeta.jpeg)
Ufunguzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta wenye urefu wa Kilomita 12.9, utafanyika kuanzia saa nne asubuhi katika eneo la Lugalo njia panda ya Kawe.
Upanuzi wa barabara ya Mwenge-Tegeta Km 12.9, ni sehemu ya mkakati wa Serikali ya Tanzania wa kupunguza msongamano wa magari katika jiji la Dar es ...
10 years ago
GPLRAIS KIKWETE KUZINDUA UPANUZI WA BARABARA YA MWENGE - TEGETA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s72-c/0L7C2141.jpg)
JK AFUNGUA RASMI BARABARA YA MWENGE-TEGETA JIJINI DAR ES SALAAM LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s1600/0L7C2141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZfP8BJgGgY/VCvfVW-5n5I/AAAAAAAGm9o/h4KBEhQOEeE/s1600/0L7C2146.jpg)
10 years ago
Dewji Blog01 Oct
Rais Kikwete afungua rasmi Barabara ya Mwenge-Tegeta jijini Dar leo
![](http://4.bp.blogspot.com/-6KANjx5FtBk/VCvemttMeZI/AAAAAAAGm84/HBhnEbb8yNo/s1600/0L7C2141.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-dZfP8BJgGgY/VCvfVW-5n5I/AAAAAAAGm9o/h4KBEhQOEeE/s1600/0L7C2146.jpg)
10 years ago
Michuzi11 Oct
10 years ago
TheCitizen24 Dec
EDITORIAL: Road safety should come first during the holidays
10 years ago
TheCitizen05 Aug
EDITORIAL : Road Carnage ; we have the power to end this problem