EFM yapiga stori na Wadau wa Tasnia ya Habari za Mitandao
![](http://3.bp.blogspot.com/-tTtyPMirTGc/VR_BixuoA8I/AAAAAAAHPSw/T3Dkhq823zc/s72-c/DSCF8294.jpg)
Mtangazaji wa Radio 93.7 EFM ya jijini Dar es salaam, Samira Kiango (pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na Wadau wa Tasnia ya Habari za Mitandao (Social Media), Clarence Mulisa kutoka Global Publishers (kulia), Fredrick Bundara kutoka Bongo Five (pili kushoto) pamoja na Othman Michuzi MTAA KWA MTAA BLOG chini ya Michuzi Media Group, mara baada ya kumalizika kwa kipindi cha Mezani, kilichokuwa kikijadili swala zima la Muswada wa Sheria za Makosa ya Mtandao 2015, kilichoruka hewani...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wjLHhX7eljy*xKBsHyfp4Fd7Z3FMHEppSjxPm2bRQfPG3QBURq8pzMuf2rp6XOHWHmeX9hV8vpSTENCrKGV*HscM484YXybA/Wadauwamitandao1.jpg?width=650)
EFM RADIO YAZUNGUMZA NA WADAU WA HABARI ZA MITANDAO
10 years ago
Mtanzania18 Apr
Chadema yachochea wadau kupinga madudu ya miswada ya habari, mitandao
Na Aziza Masoud, Dar es Salaam
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimewataka wadau wa habari na taasisi mbalimbali, zikiwemo za kimataifa kuangalia kwa makini na kujadili baadhi ya vifungu vilivyopo katika muswada wa habari ili kuishawishi serikali kutousaini kwa kuwa unalenga kubana uhuru wa vyombo vya habari nchini.
Akizungumza Dar es Salaam jana, Naibu Katibu Mkuu Bara, John Mnyika, alisema miswada yote ya hati ya dharura, hasa ya miamala ya kielektroniki na mitandao ya jamii...
9 years ago
Michuzi24 Dec
9 years ago
Mwananchi14 Sep
TMF yatumia Sh30 bilioni kuimarisha tasnia ya habari
10 years ago
VijimamboWADAU WA FILAMU WAKUTANA NA KUJADILI MAENDELEO YA TASNIA YA FILAMU NCHINI.
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Serikali yaahidi kushirikiana na mashirika na wadau wa habari kutokomeza vitendo vya ukatili kwa waandishi wa habari
Mkuu wa ofisi na Mwakilishi wa Shirika la Umoja wa Mataifa linalohudumia Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) nchini, Zulmira Rodrigues (katikati) akisalimiana na Mjumbe wa bodi udhamini ya Mtandao wa Radio Jamii Tanzania (COMNETA), Balozi Mstaafu, Christopher Liundi alipowasili katika mkutano wa kitaifa wa mashauriano kuhusu hali ya usalama wa waandishi wa habari, uzinduzi wa kikosi kazi cha usalama wa waandishi wa habari na uandishi unaozingatia maadili ulioandaliwa na UNESCO. Kulia ni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s72-c/unnamed%2B(30).jpg)
WADAU WA SOKA KUENDELEA KUPATA HABARI ZA MICHEZO KIGANJANI, Kutokupoteza muda mwingi kutafuta habari kupitia namba 15778 Vodacom Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ga9NoRYGypg/VLJOqBqsY3I/AAAAAAAG8t8/bUIavUft4_Y/s1600/unnamed%2B(30).jpg)
Vodacom Tanzania,Matina NkurluWadau wa soka nchini na wateja Vodacom Tanzania kwa ujumla wanaendelea kupata habari za soka zinazohusiana na ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara(VPL)Ligi kuu ya Uingereza,na masuala mengine mengi yanayohusiana ya burudani kupitia simu zao za mkononi kupitia huduma maalum iliyozinduliwa mwaka juzi.Katika huduma hiyo ambayo inawafanya wateja kupata burudani ili kupata taarifa hizo za michezo na burudani anachotakiwa kufanya mteja...