EID MOSI DMV

Aunty Asha akiwa na baba mwenye nyumba wake kwenye Eid Mosi ya TAMCO iliyoidhinishwa siku ya Ijumaa Wheaton, Maryland July 17, 2015.
Watanzania DMV wakisherehekea Eid Mosi Wheaton, Maryland nchini Marekani.
WanaDMV wakiwa kwenye picha ya pamoja.
Mapema Asubuhi katika Sala ya Eid.Kwa picha zaidi bofya soma zaidi
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo
10 years ago
Michuzi17 Jul
Tabora Stand Up; Eid Mosi Wasanii Wafurika Hapatoshi
11 years ago
Michuzi
chakula cha pamoja siku ya Eid Mosi coventry

11 years ago
Dewji Blog31 Jul
Skylight Band yafunika mbaya Eid Mosi ndani ya Escape One!
Sam Mapenzi (katikati) akitoa burudani kwa mashabiki wa Skylight Band ndani ya fukwe za Escape One katika show maalum kwa ajili ya kusheherekea sikukuu ya Eid-El Fitr huku akipewa back Vocal na Sony Masamba pamoja na Aneth Kushaba AK47.
Aneth Kushaba AK47 akifanya yake jukwaani kuwapa raha mashabiki wa Skylight Band katika kusheherekea sikukuu ya Eid El Fitr kwenye ukumbi wa Escape One.
Mashabiki wa Skylight Band mdogo mdogo wakiachia kwenye dancing floor.
Sam Mapenzi akitoa burudani...
11 years ago
Dewji Blog30 Jul
Sherehe za Eid DMV

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiongea na mmoja wa Watanzania wa DMV(kulia) wakati sherehe ya Eid iliyofanyika Wheaton, Maryland nchini Marekani siku ya Jumatatu July 28, 2014 na kuhudhuliwa na Watanzania wa DMV na marafiki zao, katikati ni afisa wa maswala ya uhamiaji Bwn. Abbas Missana.

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mhe. Liberata Mulamula akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watanzania wa DMV na marafiki zao waliohudhuria sherehe ya Eid...
10 years ago
VijimamboSHEREHE YA EID DMV
10 years ago
Dewji Blog17 Jul
The Stars Band kuzinduliwa rasmi Eid Mosi ndani ya Mzalendo Pub
Na Andrew Chale, Modewjiblog
Bendi mpya ya muziki wa dansi ijulikanayo kama The Stars Band iliyo chini ya Anneth Kushaba inatarajiwa kuzinduliwa rasmi Jumamosi ya Julai 18, siku ya Idd-Mosi ndani ya kiota cha Mzalendo Pub, Kijitonyama jijini Dar es Salaam huku ikitarajiwa kusindikizwa na mwanamuziki Barnabas pamoja na bendi ya FM Academia ‘Wazee wa Ngwasuma’
Kiongozi wa Stars Band, Kushaba anasema kuwa, tayari wapo katika mazoezi mbalimbali na ‘crew’ nzima ya bendi hiyo ambayo inaunganisha...
11 years ago
GPL
SKYLIGHT BAND YAFUNIKA MBAYA EID MOSI NDANI YA ESCAPE ONE!
11 years ago
Michuzi
SHEREHE ZA EID EL FITR DMV

