Eric Shigongo aandiuka barua kali kwa CCM na Watanzania wote!
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi.
Ndugu zangu. Watanzania wenzangu,
Kwanza kabisa nawapongezeni kwa amani na utulivu mliouonyesha katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ambao ulimalizika salama na hatimaye jana Rais wa Awamu wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli aliapishwa mbele ya macho yangu na ya Watanzania wengine wengi.
Hakika tumeuthibitishia ulimwengu kwamba, sisi Watanzania ni tofauti na wao, tunao uwezo wa kuvuka kwenye nyakati ngumu lakini bado...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog08 Nov
Eric Shigongo aandika barua kali kwa CCM na Watanzania wote!
Wanachama wa Chama cha Mapinduzi.
Ndugu zangu. Watanzania wenzangu,
Kwanza kabisa nawapongezeni kwa amani na utulivu mliouonyesha katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ambao ulimalizika salama na hatimaye jana Rais wa Awamu wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli aliapishwa mbele ya macho yangu na ya Watanzania wengine wengi.
Hakika tumeuthibitishia ulimwengu kwamba, sisi Watanzania ni tofauti na wao, tunao uwezo wa kuvuka kwenye nyakati ngumu lakini bado...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/faf8*WCrWjVE5APhBgktfEzd3uYw7cB7zILXuUa-noYpPUZcJ2M15XRoOPcgmPJE4*MeH*QWZCAe-QqFQZPntRXrzn*93iGA/25c0CCM.jpg)
BARUA KALI KWA CCM NA WATANZANIA WOTE
9 years ago
Dewji Blog21 Nov
Eric Shigongo James: Barua Kwa waheshimiwa wabunge!
Bunge la Jamhuri ya Muungano.
Nawasalimu nyote katika jina la nchi yetu Tanzania,
Mimi ndugu yenu sijambo, naendelea kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kujenga nchi yetu. Nawapongezeni sana kwa ushindi mkubwa mlioupata
ambao leo umewawezesha kutuwakilisha Watanzania wote katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, muhimili namba mbili katika nchi yetu.
Najua mmepita katika safari ndefu, wengi wenu mna majeraha, hayo yote yamepita, sasa ni kazi moja tu; kuwawakilisha vyema wananchi waliowatuma ili
...
10 years ago
Vijimambo24 Jan
9 years ago
Michuzi27 Nov
Barua ya Shigongo kwa kwa watumishi wa umma
![meiomosi-2013](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/11/meiomosi-2013.jpg)
Sio siri vijana wetu kwa muda mrefu wameshindwa kujivunia taifa lao, wameshindwa kuongea mbele za watu kwa sauti kubwa...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/chopa.jpg)
ERIC SHIGONGO: NENDA KAMANDA WANGU DEO
9 years ago
Dewji Blog17 Oct
ERIC SHIGONGO: Nenda Kamanda wangu Deo Filikunjombe!
Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake.
Nakupenda Deo
Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka.
Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.
Nasema kutoka ndani...
10 years ago
GPL27 Nov
ERIC SHIGONGO IN AN EXCLUSIVE INTERVIEW WITH PAUL NDIHO FROM VOA
10 years ago
Michuzi02 Oct
ERIC SHIGONGO SPEAKS ON VOA'S STRAIGHT TALK AFRICA
![](http://api.ning.com/files/jPvKO*I18G*Q*Qu4oTHsNGPH*xIrJZFaVBcs*rdgT8ofFITo0R4SHEw*9v*-WkZCpWpYoGO412rp4rOUTwvbbNVKrUcbdHVS/GetInline.jpg)