Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Eric Shigongo aandiuka barua kali kwa CCM na Watanzania wote!

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi.

Ndugu zangu. Watanzania wenzangu,

Kwanza kabisa nawapongezeni kwa amani na utulivu mliouonyesha katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ambao ulimalizika salama na hatimaye jana Rais wa Awamu wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli aliapishwa mbele ya macho yangu na ya Watanzania wengine wengi.

Hakika tumeuthibitishia ulimwengu kwamba, sisi Watanzania ni tofauti na wao, tunao uwezo wa kuvuka kwenye nyakati ngumu lakini bado...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Eric Shigongo aandika barua kali kwa CCM na Watanzania wote!

Wanachama wa Chama cha Mapinduzi.

Ndugu zangu. Watanzania wenzangu,

Kwanza kabisa nawapongezeni kwa amani na utulivu mliouonyesha katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ambao ulimalizika salama na hatimaye jana Rais wa Awamu wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli aliapishwa mbele ya macho yangu na ya Watanzania wengine wengi.

Hakika tumeuthibitishia ulimwengu kwamba, sisi Watanzania ni tofauti na wao, tunao uwezo wa kuvuka kwenye nyakati ngumu lakini bado...

 

9 years ago

GPL

BARUA KALI KWA CCM NA WATANZANIA WOTE

Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi. Ndugu zangu. Watanzania wenzangu, Kwanza kabisa nawapongezeni kwa amani na utulivu mliouonyesha katika mchakato wote wa Uchaguzi Mkuu ambao ulimalizika salama na hatimaye jana Rais wa Awamu wa Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Pombe Magufuli aliapishwa mbele ya macho yangu na ya Watanzania wengine wengi. Hakika tumeuthibitishia ulimwengu kwamba, sisi Watanzania ni tofauti na wao,...

 

9 years ago

Dewji Blog

Eric Shigongo James: Barua Kwa waheshimiwa wabunge!

Parliament_chamber01Bunge la Jamhuri ya Muungano.

Nawasalimu nyote katika jina la nchi yetu Tanzania,
Mimi ndugu yenu sijambo, naendelea kusukuma mbele gurudumu la maendeleo kujenga nchi yetu. Nawapongezeni sana kwa ushindi mkubwa mlioupata
ambao leo umewawezesha kutuwakilisha Watanzania wote katika Bunge la Jamhuri ya Muungano, muhimili namba mbili katika nchi yetu.
Najua mmepita katika safari ndefu, wengi wenu mna majeraha, hayo yote yamepita, sasa ni kazi moja tu; kuwawakilisha vyema wananchi waliowatuma ili
...

 

9 years ago

Michuzi

Barua ya Shigongo kwa kwa watumishi wa umma

meiomosi-2013Nawasalimuni nyote katika jina la nchi yetu nzuri Tanzania, Jina ambalo huko nyuma sote tuliliimba “Tazama ramani utaona nchi nzuri, yenye mito na mabonde mengi ya nafaka…nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzaniaaa!” Hakika wimbo huu vijana wengi siku hizi wanashindwa kuuimba, kwa nini? Uzuri wa taifa lao haupo tena, umepotezwa na baadhi yenu watumishi wa umma wasio na uadilifu. 
Sio siri vijana wetu kwa muda mrefu wameshindwa kujivunia taifa lao, wameshindwa kuongea mbele za watu kwa sauti kubwa...

 

9 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO: NENDA KAMANDA WANGU DEO

Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake. Nakupenda Deo Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka. Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe,...

 

9 years ago

Dewji Blog

ERIC SHIGONGO: Nenda Kamanda wangu Deo Filikunjombe!

chopa

Aliyekuwa Mbunge wa Ludewa kwa tiketi ya CCM, Deogratias Filikunjombe, enzi za uhai wake akipanda chopa yake.

Nakupenda Deo

Nimesikitishwa sana na kifo chako. Kweli kifo kipo na kila mmoja wetu atakipitia lakini cha aina hii, cha kijana aliyekuwa akipigania watu wake kiasi hiki? Kinaumiza sana, hata hivyo, hatuna budi zaidi ya kukubali kuwa Deo Filikunjombe, jembe la mkono limeondoka.

chopa 2

Chopa iliyosababsha kifo cha Filikunjombe, Capt. William Silaa na watu wengine wawili.

Nasema kutoka ndani...

 

10 years ago

GPL

ERIC SHIGONGO IN AN EXCLUSIVE INTERVIEW WITH PAUL NDIHO FROM VOA

The Managing Director of Global Publishers Ltd, Eric Shigongo in an Exclusive Interview with the Video Producer & Journalist from VOA, Paul Ndiho at Global TV Online.

 

10 years ago

Michuzi

ERIC SHIGONGO SPEAKS ON VOA'S STRAIGHT TALK AFRICA

According to the Tanzanian Proverb, "A wise person will always find a way"... and so did our Straight Talk Africa Studio Guest! Tanzanian icon Eric James Shigongo, Author, Motivator, and Founder & CEO of Global Publishers & General Enterprises Ltd along with host Shaka Ssali and VOA Social Media Reporter, Mariama Diallo along with TV to Africa Producers, Paul Sisco (L) and Paul Ndiho (R).Host Shaka Ssali and his studio guest, Eric James Shigongo. Author, Motivator, and Founder & CEO of...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani