Escrow yamganda Pinda
Sakata la uchotaji zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Escrow iliyopo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeendelea kushika kasi baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kung’ang’ania kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda anapaswa kuwajibishwa.
Mwenyekiti wa CUF Taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba, amesema Rais Jakaya Kikwete, anapashwa achukue hatua za kumwajibisha Pinda kwa kutengua uteuzi wake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa 2015 ili nchi iweze kuwa na uchaguzi wenye amani na haki.
Profesa Lipumba...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j2M1I3T7jzk3m2BiKwwVo*UCMi4LSOONUJXzzbSGyd1Hl5rQ3IGpcJKcfi*OX24SQxNMVV6AxQON6788nV1Jk0a*HgoAYIqW/woloper.jpg)
SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER
10 years ago
Habarileo24 Nov
Pinda afunguka sakata la Escrow
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.
10 years ago
TheCitizen01 Dec
How Pinda survived escrow scandal storm in Parliament