Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Escrow yamganda Pinda

Sakata la uchotaji zaidi ya Sh. bilioni 300 katika akaunti ya Escrow iliyopo Benki Kuu ya Tanzania (BoT), limeendelea kushika kasi baada ya Chama cha Wananchi (CUF) kung’ang’ania kuwa Waziri Mkuu, Mizengo Pinda anapaswa kuwajibishwa.

Mwenyekiti wa CUF Taifa, Profesa Ibrahimu Lipumba, amesema Rais Jakaya Kikwete, anapashwa achukue hatua za kumwajibisha Pinda kwa kutengua uteuzi wake kabla ya kufanyika kwa uchaguzi mkuu wa 2015 ili nchi iweze kuwa na uchaguzi wenye amani na haki.

Profesa Lipumba...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

SKENDO YA FREEMASON YAMGANDA WOLPER

Stori: Gladness Mallya na Musa Mateja
BAADA ya hivi karibuni kunaswa akiingia katika jengo lao, staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline Wolper amezidi kugandwa na skendo ya Jamii ya Siri (Secret Society) ya Freemason akidaiwa kuishi kwa masharti ya taasisi hiyo huku nyumba yake ikiwa imejaa vitu vinavyodaiwa kuwa vya ‘Ki-freemason’. Staa mwenye mvuto kunako gemu la filamu Bongo, Jacqueline...

 

10 years ago

Habarileo

Pinda afunguka sakata la Escrow

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema taarifa nyingi za mjadala wa akaunti ya Escrow iliyofunguliwa kutokana na mgogoro wa malipo ya gharama za umeme kati ya kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania Limited (IPTL) na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) ambao unaendelea bungeni, umeongezwa chumvi na wakati ukifika Watanzania watatolewa taarifa kamili.

 

10 years ago

TheCitizen

How Pinda survived escrow scandal storm in Parliament

Prime Minister Mizengo Pinda escaped downfall in the Tegeta escrow account scandal after members of the reconciliation committee agreed to save the government from collapsing for the second time, The Citizen has learnt.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani