Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


EVANS ELIEZA AVEVA: NILISUBIRI NIKUELEZE KUHUSU KITI

Rais wa Simba SC, Evans Elieza Aveva. ASIYEPENDA kusikiliza maoni ya watu, akaamini anajua kuliko mtu yeyote, mara nyingi huishia kufeli, kuna mifano ya watu wengi sana. Lakini katika kusikiliza, si lazima kila unaloambiwa ulifanyie kazi, kwa kuwa kuna maoni ambayo yanaweza kuwa si sahihi, ukisikiliza kila uliloambiwa na kuliamini, pia unaweza kufeli. Ndiyo maana Wanasimba wakamuamini Evans Elieza Aveva na kumpa urais kwa kuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Evans Aveva abebeshwa mzigo mzito

Baada ya kuendelea na matokeo ya sare katika mechi ya raundi ya sita ya Ligi Kuu, wachezaji wa Simba wamechoshwa na sare hizo hivyo kumtaka rais wao Evans Aveva kumaliza matatizo yaliyopo ndani ya klabu hiyo wakidai ndiyo yanayowaumiza.

 

11 years ago

Michuzi

EVANS AVEVA AMALIZA KAMPENI ZA URAIS SIMBA KWA KISHINDO

 Mgombea wa nafasi ya urais Evans Aveva, akiwa na Mlinzi wake 'Board Guard' (nyuma) akijinadi kwa wanachama, wakati wa mkutano wake wa kampeni za mwisho na waandishi wa habari kuelekea uchaguzi mkuu wa Klabu hiyo kesho, kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuiongoza Klabu ya Simba kwa kipindi kijacho cha miaka minne. Hitimisho hilo la kampeni zake limefanyika leo kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, jijini Dar es Salaam.   Mwenyekiti wa zamani wa Simba, Hassan Dalali, akimnadi mgombea Urais Evans...

 

10 years ago

BBC

Evans' spitting disgusting - FA

Manchester United defender Jonny Evans spitting at Newcastle's Papiss Cisse was "simply disgusting", says an FA panel.

 

10 years ago

BBCSwahili

FA:Cisse na Evans kutocheza mechi 7

Shirikisho la Soka nchini Uingereza FA limewapiga marufuku ya mechi 7 wachezaji Jonny Evans wa Manchester United na Papiss Cisse

 

10 years ago

BBC

Evans and Cisse banned for spitting

Newcastle's Papiss Cisse is banned for seven matches and Manchester United's Jonny Evans for six games for spitting.

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

BBCSwahili

Cisse na Evans watemeana mate uwanjani

Wawili hao walionekana wakitemeana mate wakati wa mechi ambapo Manchester United waliinyuka Newcastle bao 1-0.

 

10 years ago

BBC

Evans & Cisse 'must get spit bans'

Newcastle's Senegalese forward Papiss Cisse and Manchester United's Jonny Evans should face bans for spitting, say BBC Sport pundits.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani