Ewura: Tunakamilisha mikataba elekezi
MAMLAKA ya udhibiti wa maji na nishati (Ewura), inakamilisha mikataba elekezi kwa wawekezaji wa nishati wakubwa na wadogo ili kupunguza gharama za muda wa majadiliano, imebainishwa jijini Dar es Salaam...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Oct
Watakaokiuka bei elekezi kukiona
9 years ago
Mwananchi20 Dec
KONA YA MAKENGEZA: Elekezi, tekelezi au telekezi?
9 years ago
Habarileo21 Dec
Ada elekezi shule binafsi tayari
TUME ya wataalamu waliokuwa wanakusanya maoni ya wadau wa elimu na kukokotoa ada elekezi kwa shule za msingi na sekondari zisizo za Serikali, wamemaliza kazi yao na tayari wamekabidhi ripoti hiyo kwa Serikali.
9 years ago
Mwananchi01 Jan
Ada elekezi kufunga shule binafsi
9 years ago
Habarileo16 Nov
Ada elekezi shule binafsi Januari
ADA elekezi kwa shule za msingi za binafsi zitaanza kufanyiwa majaribio katika baadhi ya mikoa mwezi Januari mwakani, gazeti hili limeelezwa. Hatua hiyo inakuja kutokana na juhudi zinazoendelea kufanywa na Serikali kwa kuhakikisha wataalamu wa masuala ya elimu wanakamilisha kazi ya ukokotoaji wa ada hiyo ili majaribio yake yaanze katika baadhi ya maeneo hapa nchini ifikapo Januari.
10 years ago
Mwananchi02 Apr
Mkombozi wa kilimo ni teknolojia, utaalamu elekezi
9 years ago
Habarileo04 Jan
DC aagiza semina elekezi kwa wenyeviti
MKUU wa Wilaya ya Sumbawanga, Methew Sedoyeka amewaagiza wakurugenzi watendaji wa Halmashauri ya Manispaa na Wilaya hiyo kuandaa semina elekezi kwa wenye viti wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa ili waweze kutambua majukumu yao na kuyatekeleza kwa ufanisi.
11 years ago
Uhuru NewspaperAda elekezi sasa kupangwa vyuoni
SERIKALI imeanza kufanya utafiti wa kina kwa kushirikisha wadau mbalimbali ili kuweza kupanga ada elekezi kwa programu zote zinazofundishwa katika vyuo vikuu nchini.
Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Jenister Mhagama, alipokuwa...
11 years ago
Tanzania Daima21 Jun
Wanunuzi wa pamba watakiwa kufuata bei elekezi
BODI ya Pamba Tanzania (TCB), imesema mnunuzi atakayenunua pamba kwa bei chini ya bei elekezi, atakuwa anavunja sheria na taratibu zinazosimamia zao hilo. Mkurugenzi Mkuu wa TCB, Gabriel Mwalo, amesema...