Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fabulous Five, wala haikua Jumatano ya Majivu

 Nahodha wa Liverpool katika Timu iliyoshinda ubingwa wa Ulaya mwaka 2005, Steven Gerrard akinyanyua kombe la ubingwa wa Michuano ya Ulaya baada ya kuichapa AC Milan kwa mikwaju ya penati. Wachezaji wa Liverpool wakishangilia ubingwa wa Ulaya baada ya Kipa wao, Jerzy Dudek kucheza penati ya Andriy Shevishenko wa AC Milan katika fainali ya Ulaya iliyofanyika miaka 15 iliyopita katika dimba la Atatürk jijini Istanbul, Uturuki. Wachezaji wanaonekana ni Djibril Cisse (aliekaa) Vladimir Smicer...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

RAIS DKT MAGUFULI NA MKEWE MAMA JANETH MAGUFULI WASHIRIKI IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU KANISA LA MTAKATIFU PETRO JIJINI DAR ES SALAAM

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipakwa majivu na Paroko wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Padre Dkt. Alister Makubi  wakati wa Ibada ya Jumatano ya Majivu jijini Dar es salaam leo Februari 26, 2020 Mama Janeth Magufuli, Mke wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akipakwa majivu na Paroko wa Kanisa Katoliki la Mtakatifu Petro Parokia ya Oysterbay Padre Dkt. Alister
Makubi  wakati wa Ibada ya Jumatano ya...

 

10 years ago

Vijimambo

HAKUNA SHULE, KAZI WALA NDEGE KURUKA NEW YORK ZAIDI YA NDEGE 6,000 CANCELS HADI JUMATANO

Hapa ni Times Square New York kimya kabisa wakati siyo kawaida yake tishio la barafu
inayoendelea kushuka kama imeagizwa vile yasababisha shule kufungwa hadi jumatano kazi na usafiri wa chini na anga stop kwa siku mbili.
New York ni nyumbani kwa vikwangua anga lakini kama unavyoona ni ukungu mzito na barafu ikinyesha. Dada akiwahi nyumbani kabla akujawa kubaya zaidi watu wameambiwa kukaa ndani na kuchoma mahindi nje ni shida
Hapa ni Penn station Kituo kikubwa cha train za kuelekea nje ya New...

 

10 years ago

BBCSwahili

Balotelli:haikua nia kuashiria ubaguzi

Mshambulaji wa Liverpool Mario Balotelli, ameomba radhi kwa kuweka picha yenye kuashiria vitendo vya kibaguzi kwenye instagram

 

10 years ago

Mwananchi

Majivu kukiponza Kiwanda cha TPC

Wakili wa kujitegemea wa mjini Moshi, Elikunda Kipoko ametishia kukishtaki Kiwanda cha Sukari cha TPC kwa madai ya uchafuzi wa mmazingira.

 

10 years ago

Bongo5

New Video: Chris Bee f/ G Sacha & Silvia – Wala Wala

Tazama video ya mtangazaji wa redio ambaye pia ni muimbaji wa jijini Mbeya, Chris Bee ya wimbo wake ‘Wala Wala’ aliowashirikisha G Sacha na Silvia.

 

11 years ago

TheCitizen

Morning chat with a fabulous, frail English old lady

A good day becomes evident in the morning...so the Swahili proverb goes. It was ice cold but the sun was shining.

 

11 years ago

TheCitizen

A CHAT FROM LONDON: Morning chat with a fabulous, frail English old lady

A good day becomes evident in the morning...so the Swahili proverb goes. It was ice cold but the sun was shining.

 

11 years ago

GPL

...WALA KICHAPO

Stori::Denis Mtima na Chande Abdallah Kichapo! Jamaa wawili wanaotuhumiwa kuwa wezi, nusura wauawe kwa kuchomwa moto na raia wenye hasira kali baada ya kula kichapo ‘hevi’ kwa msala wa kukwapua mkoba wa mrembo aliyekuwa ndani ya Bajaj. Kijana ambaye hakufahamika jina lake mapema amejikuta kwenye mikono ya wananchi wenye hasira kali baada ya kukwapua mkoba kwenye bajaji Katika tukio hilo lililojiri maeneo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani