Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA yaipa Nigeria siku tatu

FIFA yaiambia Nigeria lazima irudishe shirikisho la kandanda la taifa ambalo imelifuta

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Chadema yaipa NEC siku tatu

Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo watatumia nguvu ya umma kuwalazimisha kufanya hivyo.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa

Saturday, October 10, 2015 Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo […]

The post Chadema Yaipa NEC siku tatu……Yawataka Watanzania Wampuuze Dr. Slaa appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Vijimambo

TEA YAIPA TET MKOPO WA SHILINGI BILIONI TATU KUANDAA MITAALA NA KUCHAPISHA VITABU VYA ELIMU YA MSINGI

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Prof. Sifuni Mchome (katikati) akizungumza na waandishi wa habari wakati Taasisi ya Elimu Tanzania (TET) na Mamlaka ya Elimu (TEA) zilipotialiana saini mkataba wa makubaliano ambapo TEA itaipatia TET Mkopo wa Sh Bilioni 3 kwaajili ya kuandaa mitaala na kuchapisha vitabu vitakavyotumiwa na wanafunzi shule za msingi nchini kuanzia darasa la tatu hadi la sita. Prof Mchome, amewataka TET kuhakikisha wanakamilisha kazi hiyo kwa weledi ili kuweza...

 

5 years ago

CCM Blog

KAMATI KUU YA CCM YAIPA SIKU SABA KAMATI NDOGO YA UDHIBITI NA NIDHAMU KUKAMILISHA NA KUWASILISHA KWENYE VIKAO HUSIKA TAARIFA ZA KINA KINANA, MAKAMBA NA MEMBE

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Idara ya Itikadi na Uenezi  Humphrey Polepole,  akieleza yaliyojiri kwenye Kikao cha Kamati Kuu (CC) ya Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya Chama Cha Mapinduzi, kilichofanyika leo katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Polepole alitoa maelezo hayo wakati wa Mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Dk. Bashiru Ally na Waandishi wa habari.







Na Bashir Nkoromo, Dar es Salaam
Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

 

10 years ago

BBC

Nigeria face new Fifa suspension

Nigeria face a Fifa ban that would rule them out of the Nations Cup after a high court voids the FA's recent elections.

 

11 years ago

BBCSwahili

FIFA imeipiga marufuku Nigeria

FIFA imeipiga marufuku Nigeria kwa muingilio wa serikali

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yaponea marufuku ya FIFA

Fifa imethibitisha kuwa Nigeria imefanikiwa kukwepa kupigwa marufuku kutoka kwa soka ya kimataifa.

 

11 years ago

BBC

Nigeria could miss Fifa deadline

Nigeria may miss Fifa's deadline of Tuesday to reinstate the sacked football federation board because of a strike by judiciary workers.

 

10 years ago

BBC

Fifa issues ultimatum to Nigeria

Fifa will suspend Nigeria from world football on Monday if Chris Giwa does not give up his claim to be Nigeria FA president.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani