Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FIFA:Benki 2 za Uingereza zaanzisha uchunguzi

Benki mbili kuu nchini Uingereza zimeanzisha uchunguzi wa akaunti zinazohusishwa na Shirikisho la soka duniani FIFA.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Ripoti ya uchunguzi Fifa kuwekwa peupe?

Shirikisho la mpira wa miguu duniani Fifa wiki ijayo watapiga kura ili kuamua kuwekwa hadharani kwa ripoti ya uchunguzi.

 

9 years ago

MillardAyo

Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika …

Baada ya uchnguzi wa kina kufanyika na wachunguzi wa shirikisho la soka ulimwenduni FIFA wameamua kutoa adhabu ya kuwafungia miaka nane kutojihusisha na masuala ya soka aliyekuwa Rais wa soka ulimwenguni FIFA Sepp Blatter na Rais wa shirikisho la soka barani Ulaya Michel Platini. Blatter na Platini wamekumbana na adhabu hiyo baada ya kukutwa na […]

The post Hii ndio adhabu ya FIFA kwa Sepp Blatter na Michel Platini baada ya uchunguzi kufanyika … appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanamfalme wa Uingereza aikashifu FIFA

Mwana wa mfalme wa Uingereza, William ametoa wito kwa shirikisho la soka duniani FIFA kuweka maslahi ya soka mbele ya matamanio ya kibinafsi.

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Ubaguzi wa rangi upo wazi Uingereza

FIFA imesema kuwa ubaguzi wa rangi katika soka ya Uingereza unafanyika hadharani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Benki kuu ya Uingereza yachunguzwa

Benki kuu ya Uingereza inachunguzwa kuhusiana na vile ilivyotoa fedha za dharura katika mfumo wa benki wa taifa hilo

 

10 years ago

Vijimambo

TANZANIA NA ECUADOR ZAANZISHA UHUSIANO WA KIDIPLOMASIA


  "  Wawakilishi wa Kudumu katika Umoja wa Mataifa, Balozi Tuvako Manongi wa Tanzania, na Xavier Mendoza wa Ecuador wakati wa kibadilisha hati za kuanzishwa kwa uhusiano kati ya mataifa hayo mawili. Balozi Tuvako Manongi na Balozi Xavier Mendoza, wakiteta jambo baada ya kusaini kwa niaba ya serikali zao, hati za kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia katika ngazi ya Mabalozi katika hafla fupi iliyofanyia siku ya Jumanne, wanaoshuhudia ni Maafisa Waandamizi, Bi.Tully...

 

10 years ago

Michuzi

JARIDA LA EUROMONEY LA UINGEREZA LATOA TUZO YA UFANISI KWA BENKI YA NMB TANZANIA

 Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NMB, Ineke Bussemaker (kushoto), akiwaonesha waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi, Tuzo ya Ufanisi wa kibenki nchini Tanzania iliyotolewa na Shirika la Euromoney la Uingereza  kwa benki hiyo ijulikanayo Euromoney 2015 Award for Excellence. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa benki hiyo, Joseline Kamuhanda. Mkuu wa Idara ya Mawasiliano wa benki hiyo, Joseline Kamuhanda (kulia), akizungumza katika mkutano huo.Wanahabari wakichukua taarifa...

 

5 years ago

Michuzi

ASASI ZA KIRAIA ZAANZISHA KUCHANGISHA FEDHA KWA AJILI YA KUNUNUA VIFAA VYA WAHUDUMU WA AFYA KUJIKINGA NA CORONA


Charles James, Michuzi TV

Katika kuunga mkono juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya ugonjwa wa Corona, Asasi za Kiraia zimeanzisha kampeni ya kuchangisha fedha kwa ajili ya kusaidia mapambano hayo.

Kampeni hiyo imelenga kuchangisha fedha kwa ajili ya kuwanunulia vifaa vya kujikinga na ugonjwa wa Corona wahudumu wa afya nchini.

Akizungumzia kampeni hiyo, Mkurugenzi Mtendaji wa AZAKI, Francis Kiwanga amesema wao kama Asasi za Kiraia wameguswa na mapambano ya ugonjwa huo hivyo wakaona ni...

 

5 years ago

GIVEMESPORT

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish

Even the best FIFA player in the world knows that FIFA 20 is rubbish  GIVEMESPORTFnatic Tekkz explains why “no one” is enjoying FIFA 20  DexertoWorld's Best FIFA Player Says 'No-One Enjoys Playing FIFA 20' In Brutally Honest Interview  SPORTbibleView Full coverage on Google News

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani