Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Filamu mpya ya James Bond, Spectre yazinduliwa Dar

JA6ud

Mastaa mbalimbali nchini mwishoni mwa wiki hii walijumuika katika uzinduzi wa filamu mpya ya James Bond, Spectre uliofanyika Cape Town Fish Market jijini Dar es Salaam.

JA6ud

Uzinduzi wa filamu hiyo iliyoigizwa na muigizaji wa Uingereza Daniel Craig kama James Bond, uliratibiwa na kampuni ya QWAY International.

Pamoja na Fish Market, filamu hiyo ilizinduliwa kwenye majumba mengine ya sinema nchini na duniani kote.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo mwakilishi wa kampuni ya...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Video: Trailer ya mwisho ya filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’

Hii ni trailer mpya na ya mwisho ya filamu mpya ya James Bond, ‘Spectre’ ambayo imetoka mtandaoni Oct.2. ‘Spectre’ inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye majumba ya sinema ya Marekani Nov.6. Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali […]

 

9 years ago

Bongo5

Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ yaweka rekodi mpya ya ‘Guinness World Record’

James Bond-1

Filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imeweka rekodi mpya ya Guinness World Record kwa kuwa filamu yenye mlipuko mkubwa zaidi kuwahi kutokea kwenye historia ya filamu (Largest Film Stunt Explosion).

James Bond-1

Waigizaji Daniel Craig, Léa Seydoux na producer Barbara Broccoli wa filamu hiyo hivi karibuni walikabidhiwa official Guinness World Records certificate baada ya filamu hiyo kuvunja rekodi hiyo.

Mlipuko huo ambao ulitengenezewa Erfoud, Morocco ulifanikishwa kwa kutumia lita 8,418 za mafuta ya taa,...

 

9 years ago

Mtanzania

Filamu ya James Bond yazinduliwa Dar

spectreNa Theresia Gasper, Dar es Salaam

WADAU na watu maarufu mbalimbali hapa nchini mwishoni mwa wiki walijumuika katika uzinduzi wa filamu mpya ya Spectre James Bond iliyofanyika Cape Town Fish Market jijini Dar es Salaam.

Uzinduzi wa filamu hiyo iliyoigizwa na Daniel Craig kama James Bond, uliratibiwa na kampuni ya QWAY International chini ya udhamini wa kinywaji cha Belvedere Vodka ikishirikiana na Heineken, Jaguar pamoja na Land Rover.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo...

 

9 years ago

Michuzi

Party ya uzinduzi wa filamu ya James Bond, Spectre ilivyofana

Na Mwandishi Wetu
WATU mbalimbali walihudhuria hafla ya uzinduzi wa filamu ya Spectre ya  James Bond iliyofanyika Cape Town Fish Market chini ya udhamini wa Belvedere Vodka, Heineken, Jaguar pamoja na Land Rover.
Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa hafla hiyo, mwakilishi wa kampuni ya QWAY International inayosambaza  kinywaji cha Belvedere Vodka,Tanya Mulamula alisema hafla hiyo inalenga kuwakutanisha wadau na kuifurahia filamu hiyo, ikiwa siku moja kabla ya uzinduzi wake.
Filamu ya...

 

9 years ago

Bongo5

Music: Soundtrack ya filamu mpya ya James Bond iliyoimbwa na Sam Smith — ‘Writing’s On The Wall’

Soundtrack ya filamu mpya ya James Bond ‘Spectre’ imetoka. Ni wimbo ulioimbwa na Muingereza, Sam Smith – “Writing’s On the Wall”. Smith ameingia kwenye orodha ya wanamuziki waliowahi kutumika katika kutengeneza soundtrack kwenye filamu zilizopita za James Bond. Wengine ni Adele, Tina Turner, Paul McCartney, na Shirley Bassey. Spectre inatarajiwa kuanza kuoneshwa kwenye majukmba ya […]

 

5 years ago

Bongo5

Muigizaji wa filamu za James Bond afariki dunia

Muigizaji Clifton James, maarufu kama ‘JW Pepper’ kwenye filamu mbili za James Bond, amefariki dunia akiwa na miaka 96.

Alifariki karibu na mji wa Gladstone, Oregon, siku ya Jumamosi kutokana na matatizo ya ugonjwa wa kisukari.

James alifahamika sana kutokana na uigizaji wake katika filamu za Bond za ‘Live and Let Die’ na ‘The Man with the Golden Gun’ miaka ya sabini.

Binti yake Lynn amesema: ”Alikuwa mtu mpenda watu na mwenye uwazi sana. Alipendwa sana na kila mtu.”

Aliongeza: “Sidhani...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uzinduzi wa filamu ya James Bond umesongezwa hadi Novemba

Uzinduzi wa filamu mpya ya James Bond umepelekwa mbele kwa miezi saba huku virusi vya korona vikizidi kuenea.

 

9 years ago

BBCSwahili

Filamu mpya ya Star Wars yazinduliwa

Filamu mpya ya mwendelezo wa filamu za Stars Wars, iliyosubiriwa kwa hamu sana, imeonyeshwa kwa mara ya kwanza Los Angeles.

 

9 years ago

BBCSwahili

Filamu ya Stars Wars ilivuma kushinda Spectre

Filamu mpya ya Star Wars ya The Force Awakens ndiyo iliyovuma zaidi Uingereza mwaka 2015, licha ya kuwa sokoni siku 16 pekee.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani