Filamu za mapigano kushindanishwa
FILAMU za Kitanzania zinazoonyesha mchezo wa mapambano zimeingizwa kwenye shindano la Action & Cut Viewers Choice Award 2013 ambalo fainali zake zitakuwa Machi 10, jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mtanzania02 Apr
Filamu 419 kushindanishwa Tamasha la ZIFF
NA FESTO POLEA
JUMLA ya filamu 419 zitashindanishwa katika tamasha la Kimataifa la Filamu (ZIFF), lililopangwa kufanyika Julai 18 hadi 26 katika viwanja vya Ngome Kongwe, visiwani Zanzibar.
Kati ya filamu hizo, 25 ni filamu ndefu, 44 ni filamu fupi na 27 ni filamu za makala ‘documentary’.
Filamu hizo zimetoka katika nchi 38 na nyingi zimetoka nchini Ujerumani na kwa mara ya kwanza ZIFF imepokea filamu kutoka nchi ya Jamhuri ya Dominica ya nchi za Karibean.
Mkurugenzi wa tamasha hilo, Prof....
10 years ago
Mwananchi09 Mar
Wapishi wa kibiashara kushindanishwa Morogoro
10 years ago
StarTV04 Mar
Udhibiti matumizi fedha za umma, halmashauri kushindanishwa kiutendaji.
Na Gloria Matola,
Dar es Salaam.
Serikali inatarajia kuanza utaratibu mpya wa kuzishindanisha Halmashauri zote nchini kiutendaji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa kuondoa matumizi mabaya ya fedha za umma kwa kutoa tuzo kwa zile zitakazoshinda kwa matumizi mazuri ya fedha hizo.
Tanzania ina jumla ya Halmashauri 168 zilizoshiriki ambapo 49 miongoni mwao zimeweza kukidhi mahitaji ya shindano hilo.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais, Utumishi Hawa Ghasia amesema hivi sasa...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
11 years ago
Michuzi24 Apr
muda wa shindalo la waandishi wa filamu za Kiswahili la skripti za filamu ndefu waongezwa
Tafadhali tembelea tovuti ya ZIFF http://www.ziff.or.tz/2014/03/30/commissioning-feature-length-films-zuku-tvs-swahili-movies-chann/
Washindi 5 watapata zaidi ya Tsh 20millioni ili kutengeneza filamu zao baada ya kuchaguliwa na kupigwa msasa na magwiji...