Filamu Zakiasili za Mpa Dili Husna
Staa mrembo wa filamu, Husna Chobis amefunguka kwa kusema kuwa filamu alizoigiza za kiasili zimepata dili la kwenda kuigiza nchini Uingereza, baada ya kuchaguliwa kupitia sinema ya Gawa na Ndase alizoigiza na kumpatia umaarufu.
“Namshumkru Mwenyezimungu kwa kuonyesha kipaji changu uigizaji na hasa filamu za asili, najua wazi kama si filamu hizi isingekuwa rahisi kuchaguliwa na kuja hapa Uingereza kushiriki filamu ninayocheza sasa, filamu za asili zimenipa dili,”anasema Husna.
Msanii huyo...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies18 May
Filamu ya 'Sio Dili' Inayoongelea Tatizo la Mauaji ya Albino Kuingia Sokoni
Kampuni ya K Films Production ya jijini Dar es Salaam inatarajia kuachia filamu kali na ya kusisimua ya Sio Dili inayoongelea tatizo la mauaju ya Albino Tanzania ambayo yanatikisa nchi nzima, akiongea na FC amesema kuwa sinema hiyo ni funzo.
“Filamu ya Sio Dili ni kazi yangu katika harakati za kupambana na mauaji ya Albino ambayo yanahusisha imani ya kishirikina ni kazi nzuri inayoelimisha jamii kuachana na imani potofu,”anasema Kinye Mkali.
Sinema hiyo inawashirikisha wasanii nyota kama...
9 years ago
Bongo503 Nov
Alikiba na Christian Bella watangaza ‘dili’ kwa anayetaka kufanya filamu ya ‘Nagharamia’
![Bella na Ali Kiba](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/10/Bella-na-Ali-Kiba-300x194.jpg)
Mashabiki wa Alikiba na Christian Bella muda si mrefu watapata kusikia na kuona collabo ya wakali hao waliyokuwa wakiisubiri kwa hamu kwa muda mrefu.
Kiba na Bella ambao wameshoot video ya wimbo wao mpya ‘Nagharamia’ nchini Afrika Kusini, wamesema kuwa wimbo huo una story nzuri ambayo inaweza hata kutengenezewa filamu.
“Nyimbo tuliyoimba inaweza ikawa hata sound track ya movie kwasababu ni story ambayo inavutia, inapendeza…” Alikiba alifunguka kupitia 255 ya XXL. “Ni idea nzuri ambayo...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-lFpcI3mNsTU/VCxR6wgwFSI/AAAAAAAAcXU/zEkUTRaWjgU/s72-c/Diamond-Platnumz-Meninah-vibe-co-tz.jpg)
MENINAH AMWANIKA DIAMOND TENA!! AFUNGUKA MENGI KUHUSU MAHUSIANO YAO,AELEZA JINSI WEMA ALIVYO MPA PRESHA
![](http://3.bp.blogspot.com/-lFpcI3mNsTU/VCxR6wgwFSI/AAAAAAAAcXU/zEkUTRaWjgU/s640/Diamond-Platnumz-Meninah-vibe-co-tz.jpg)
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa kwa kupata kibali cha kuingia sokoni kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza kampuni ya Al-Riyamy Production ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za TRA...
10 years ago
Vijimambo14 Nov
BODI YA FILAMU TANZANIA YAZITAKA KAMPUNI ZA FILAMU KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA FILAMU.
10 years ago
VijimamboCHAMA CHA WASAMBAZAJI WA FILAMU TANZANIA WASITISHA KUKUNUNUA STIKA ZA TRA NA KUPELEKA FILAMU ZAO BODI YA FILAMU KWAAJILI YA KUFANYIWA UKAGUZI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JeioNtmyO2aD0CNnubTZHEiINdWZkj0ujHfBFbhOTOUS0N1cdZSWZmth-ZTwdAphwbZasTz18jXuGYxoNVXerKQn4Z6XO7ec/19.jpg?width=650)
HUSNA MAULID YAMKUTA!
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t3tIV4vY4JowvVr60fweb4fbmYdz6AIT-E809NHhZrdm-SOXfLFyV83CUdDXuUoJUqiEDpH5TKFBdXuWa7n56b46KZvepUPI/Lulu.gif?width=650)
LULU AMRUSHIA VIJEMBE HUSNA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JSct6ft9ycQSLVIJoQaQv47vBP-buNrHcutAhpf*s8FFHVzl5Drrbhe3YnUXEYhG6ggK03nlr*PEiH8VM77lMUMMGdVKNNf4/husna.jpg)
HUSNA MAULED LIVE KITANDANI