Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HUSNA MAULID YAMKUTA!

Shani Ramadhan na Imelda Mtema
MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid yamemkuta ya mwaka, kwa kudaiwa kutolewa vitu vyake nje na mwenye nyumba baada ya kushindwa kulipa kodi, huko Shekilango jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, zoezi lililosimamiwa na mabaunsa. MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa mrembo huyo alikuwa...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

HUSNA MAULID AFUKUZWA MSIBANI

Aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid. Imelda mtema
ALIYEKUWA mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid hivi karibuni amedaiwa kufukuzwa kwenye msiba mmoja maeneo ya Mbezi mara baada ya kuonekana akijipiga picha (selfie) na kujichukua video akiwa ghorofani. Kwa mujibu wa chanzo chetu, siku ya tukio, Husna akiwa msibani hapo, kwa sababu anazozijua mwenyewe, alipanda ghorofani kwenye nyumba hiyo yenye msiba na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu, Wolper Watangaziwa Kichapo na Husna Maulid

Video Queen wa Bongo ambaye pia aliwahi kushiriki Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amewatangazia kichapo kwa mastaa wawili wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ endapo watathubutu tena kumsogelea mpenzi wake wa sasa (jina kalificha).

Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Husna ambaye pia amejikita kwenye ujasiriamali alisema kuwa, wakati f’lani yeye na Lulu walizinguana kwa sababu ya mwanaume aliyekuwa akifahamika kwa jina la Seki, akawa mpole, wakati mwingine...

 

10 years ago

Mwananchi

Waziri wa JK yamkuta

Wakati utata ukizidi kujitokeza katika uapishaji wa viongozi wa Serikali za Mitaa Mkoa wa Dar es Salaam kutokana na waliodaiwa kushinda kuwekwa kando na kuapishwa walioshindwa,

 

9 years ago

Global Publishers

Sharukani wa Dar yamkuta

IMG-20160103-WA0020
Sharukani akitaharuku baada ya fumanizi hilo.

Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Yamemkuta! Jamaa mwenye asili ya udosini almaarufu kwa jina la Sharukani wa Vingunguti au wa Dar, mkazi wa Airport jijini Dar, anadaiwa kunaswa laivu ‘akimtumbua’ mke wa rafiki yake, naye ‘kutumbuliwa’ kwa kupewa mkong’oto hivyo kukiri ‘kweli mke wa mtu ni sumu’.

IMG-20160103-WA0013

…..Akiwa hajui la kufanya.

Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni katika gesti moja maarufu maeneo ya Ilala ambapo Sharukani...

 

11 years ago

GPL

DIAMOND YAMKUTA TENA UINGEREZA

Stori: Musa Mateja Ni nuksi, gundu au hujuma? Ndivyo unavyoweza kujiuliza kufuatia tukio lingine baya lililomkuta staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa London nchini Uingereza ikiwa ni siku kadhaa tangu aliposababisha vurugu nchini Ujerumani, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili ya kilichojiri. Promota wa Diamond wa Uingereza (Victor Dj-rule). TWENDE LONDON
Habari kutoka kwa ‘mtu...

 

10 years ago

GPL

AMBAKA MTOTO WA MIAKA 3, YAMKUTA

DUSTAN SHEKIDELE-MOROGORO
USHIRIKINA? Katika hali ya kushangaza, Wilson Saimon ‘Babu Nyemeni’ (21), mkazi wa Kijiji cha Mgeta wilayani Mvomero mkoani Morogoro yamemkuta baada ya kuhukumiwa kifungo cha miaka 30 jela kwa kosa la kudaiwa kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka mitatu. Babu Nyemeni anadaiwa kufanya unyama huo mwishoni mwa mwaka jana, nyumbani kwa Angel Bosco ambaye alikuwa amekwenda kuimba kwaya kanisani na...

 

11 years ago

GPL

AMANDA YAMKUTA YA MAREHEMU RECHO

Na Hamida Hassan
MMWIGIZAJI mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameamka na kushtuka akiwa amechanjwa chale na watu wasiojulikana kama alivyowahi kufanyiwa marehemu Recho. Mwigizaji mwenye figa ya aina yake Bongo Movie, Tamrina Posh ‘Amanda’. Akizungumzia tukio hilo, Amanda alisema lilitokea siku ambayo dairekta mkongwe nchini George Tyson alipofariki dunia (Mei 30) ambapo...

 

11 years ago

GPL

TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO

Na Shakoor Jongo
Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ amekutwa na mauzauza baada ya kupokea simu yenye namba zinazodaiwa kuwa za ajabu na kumsababishia atokwe damu puani, mdomoni na kupooza upande mmoja. Memba wa Kundi la Tip Top Connection, Khalid Ramadhan ’Tunda Man’ akiwa katika Hospitali ya Palestina. Chanzo makini kilicho karibu na msanii huyo ambacho kilikuwa...

 

11 years ago

GPL

BABU AYUBU YAMKUTA MAZITO

Hamida Hassan na Gladness Mallya
STAA wa vichekesho anayeigiza sauti za watu mashuhuri nchini, Babu Ayoub ‘Mc Babu Ayoub’ amekutwa na mazito baada ya ukuta wa nyumba yake kuzolewa na mafuriko na kusababisha hasara. Gari aina ya Toyota Carina la msanii  Babu Ayoub ‘Mc Babu Ayoub’ likiwa limeharibiwa vibaya baada ya kuangukiwa na ukuta Akizungumza na Amani, Babu Ayoub alisema kuwa, tukio hilo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani