HUSNA MAULID YAMKUTA!

Shani Ramadhan na Imelda Mtema MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid yamemkuta ya mwaka, kwa kudaiwa kutolewa vitu vyake nje na mwenye nyumba baada ya kushindwa kulipa kodi, huko Shekilango jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, zoezi lililosimamiwa na mabaunsa. MSHIRIKI wa shindano la Miss Tanzania 2011/2012, Husna Maulid. Chanzo cha kuaminika kililiambia gazeti hili kuwa mrembo huyo alikuwa...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
HUSNA MAULID AFUKUZWA MSIBANI
10 years ago
Bongo Movies09 Oct
Lulu, Wolper Watangaziwa Kichapo na Husna Maulid
Video Queen wa Bongo ambaye pia aliwahi kushiriki Miss Tanzania 2011, Husna Maulid amewatangazia kichapo kwa mastaa wawili wa Bongo Muvi, Jacqueline Wolper na Elizabeth Michael ‘Lulu’ endapo watathubutu tena kumsogelea mpenzi wake wa sasa (jina kalificha).
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni Husna ambaye pia amejikita kwenye ujasiriamali alisema kuwa, wakati f’lani yeye na Lulu walizinguana kwa sababu ya mwanaume aliyekuwa akifahamika kwa jina la Seki, akawa mpole, wakati mwingine...
10 years ago
Mwananchi08 Jan
Waziri wa JK yamkuta
9 years ago
Global Publishers06 Jan
Sharukani wa Dar yamkuta
Sharukani akitaharuku baada ya fumanizi hilo.
Stori: Deogratius Mongela na Chande Abdallah
Yamemkuta! Jamaa mwenye asili ya udosini almaarufu kwa jina la Sharukani wa Vingunguti au wa Dar, mkazi wa Airport jijini Dar, anadaiwa kunaswa laivu ‘akimtumbua’ mke wa rafiki yake, naye ‘kutumbuliwa’ kwa kupewa mkong’oto hivyo kukiri ‘kweli mke wa mtu ni sumu’.
…..Akiwa hajui la kufanya.
Tukio hilo la aina yake lilijiri hivi karibuni katika gesti moja maarufu maeneo ya Ilala ambapo Sharukani...
11 years ago
GPL
DIAMOND YAMKUTA TENA UINGEREZA
10 years ago
GPL
AMBAKA MTOTO WA MIAKA 3, YAMKUTA
11 years ago
GPL
AMANDA YAMKUTA YA MAREHEMU RECHO
11 years ago
GPL
TUNDA MAN YAMKUTA MAZITO
11 years ago
GPL
BABU AYUBU YAMKUTA MAZITO