DIAMOND YAMKUTA TENA UINGEREZA
![](http://api.ning.com:80/files/*6ZFuLsTz62w*PnsF4JO3B1UE1EyexloBFR8spbe5*omn3MoqotLSQ1LrhKrwQhJlyu17sjtUJiqlzOUlnSue-pK7Mc4udZ8/diamond.jpg)
Stori: Musa Mateja Ni nuksi, gundu au hujuma? Ndivyo unavyoweza kujiuliza kufuatia tukio lingine baya lililomkuta staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ akiwa London nchini Uingereza ikiwa ni siku kadhaa tangu aliposababisha vurugu nchini Ujerumani, Ijumaa Wikienda lina ripoti kamili ya kilichojiri. Promota wa Diamond wa Uingereza (Victor Dj-rule). TWENDE LONDON Habari kutoka kwa ‘mtu...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili05 Dec
Uingereza yashambulia tena IS nchini Syria
11 years ago
BBCSwahili14 Feb
Kimbunga kupiga tena nchini Uingereza
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s72-c/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
LIGI KUU UINGEREZA KUENDELEA TENA JUNI 17, MAN CITY VS ARSENAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-9X7HhgL_yvo/XtAGmlKC87I/AAAAAAALr7U/NUQc87_L4icXCczjCM38uaExzuPNGb_1ACLcBGAsYHQ/s640/b4961be9-1df6-409e-a3b9-49e89b3825f0.jpg)
Mechi hizo zikiwa ni viporo zitawakutanisha mabingwa watetezi Manchester City dhidi ya Arsenal na Aston Villa dhidi ya Sheffield United huku ratiba kamili ikianzia wikiendi ya Juni 19-21.
Bado kuna jumla ya mechi 92 ambazo zinahitaji kuchezwa na vilabu vyote 20 baada ya Ligi hiyo kusiimamishwa kwa muda usiojulikana Machi 13 kutokana na mlipuko wa...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-r7UC0K6y64M/VdWqJpyrt1I/AAAAAAAHyio/R5SVPpicx9M/s72-c/mail.google.com.jpg)
10 years ago
Mwananchi21 Sep
Diamond azua vurugu nyingine Uingereza
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z0K9aWpjI9o/VHlnt9wGk3I/AAAAAAAG0Ec/k7323zojKWg/s72-c/Sports-swahili-Blog-Ad-800-X-600-Pixel.jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Diamond kuandika historia tena
Diamond ametangaza siku ambayo ataachia manukato yake ya mapya yajulikanayo kama Chibu Perfume.
Hatua hiyo imekua ikisubiriwa kwa hamu na mashabiki wake wengi tangu alipoweka hadharani ujio wa biashara hiyo mwezi Novemba mwaka jana.
Kupitia mtandao wa Istagram, Hitmaker huyo wa ‘Marry You’ ametaja siku ya kuingiza sokoni kwa perfume, “The Only Scent you deserve, @chibuperfume by Diamond Platnumz coming out this friday!! #TheScentYouDeserve.”
Endapo hilo litafanikiwa Diamond ataingia kwenye...
11 years ago
Tanzania Daima11 Dec
Shetta kutoka tena na Diamond
MSANII wa muziki wa kizazi kipya nchini, Nurdin Bilal ‘Shetta’, amemshirikisha tena mkali wa muziki huo, Nassib Abdul ‘Diamond’, katika ngoma yake mpya inayojulikana kwa jina la ‘Mama Qayllah’. Shetta aliwahi...
9 years ago
Global Publishers04 Jan
Diamond atajwa tena tuzo 3
Diamond Platnumz
MWAKA ameufungua vizuri staa wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz baada ya kutajwa kuwania tuzo tatu za Trends Loaded Music, Too Exclusive pamoja na Hipipo Music.
Katika Tuzo za Hipipo Music ambazo hutolewa nchini Uganda na Nigeria, Diamond amefanikiwa kuingia katika vipengele vitatu ambavyo ni East African Super Hit, East african Best Video pamoja na Best African Artist of the Year.
Kwa upande wa Tuzo za Xclusive Music, Diamond ameingia katika kipengele kimoja cha...