FM Academia kufunga 2013 na ‘Chuki ya Nini’
KIMYA kingi kina mshindo. Hivi ndivyo ilivyo kwa bendi ya muziki wa dansi ya FM Academia yenye maskani yake jijini Dar es Salaam, ambayo baada ya ukimya mkubwa, imeibuka upya,...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/s2rEUo5aneE/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-q6gFJreGttc/VEijVaBkxhI/AAAAAAAAMqU/LvgQ48uRpdY/s1600/IMG-20141023-WA0000.jpg?width=650)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-mG6jG6VLyzg/VEiAprYFCVI/AAAAAAAGs3U/UfOXQtqh-wE/s72-c/IMG-20141020-WA0010.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima21 Apr
Yaliyojiri mechi ya watani kufunga msimu 2013/2014Â
PAZIA la Ligi Kuu Vodacom 2013/14 lilifungwa juzi kwa timu zote 14 kushuka katika viwanja saba tofauti, huku watani wa jadi, Simba na Yanga wakimalizia kwa sare ya bao 1-1...
11 years ago
Tanzania Daima05 Jan
Tumezifanyia nini familia zetu mwaka 2013?
KWA wale tuliobahatika kuikatiza mikikimikiki ya mwaka 2013 na kufanikiwa kuuona mwaka 2014 tunapaswa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa maana si wote waliofanikiwa kuuona mwaka huu, pia si wote tuliofanikiwa kuingia...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s72-c/bub.jpg)
Je kwa nini wanawake huwa na furaha zaidi wakati wa kufunga ndoa? Hizi hapa chini ndiyo sababu
![](http://3.bp.blogspot.com/-VHAED0M_p9o/VRWLkIxKWgI/AAAAAAAAq0s/RZ8lQcmz5-A/s640/bub.jpg)
Wakatiwa kufunga ndoa wanawake wengi huonyesha furaha zao kwa namna tofauti. Wako ambao kutokana na furaha ya kuolewa wanashindwa kujizuia na kuanza kulia siyo kwa huzuni bali kwa furaha iliyopitiliza, wengine honyesha furaha zao kwa kucheza mziki kwa furaha na kumbusu mume wake wa maisha kwa mfululizo kama vile anachezea mdoli akiwa haamini kile kinachomtokea nk.Kwa upande wa mume naye huwa na furaha kwa upande wake lakini furaha hiyo haizidi furaha ya mke, hiyo ni kwa sababu mwanaume...
9 years ago
Dewji Blog22 Oct
CCM kufunga kampeni zake kwa kishindo, Magufuli, Mgombea mwenza na Rais Kikwete kufunga kampeni Mkoani Mwanza
Mgombea wa Urais kwa tiketi ya CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa kwenye gari pamoja na Mgombea mwenza (picha ya Maktaba yetu wakati wa kampeni zinazoendelea za wagombea hao).
CCM inapenda kutoa taarifa kuhusu masuala kadhaa kwa wanachama, wapenzi na mashabiki wake na kwa umma wa Watanzania.
Kufunga Kampeni
CCM itafunga kampeni zake kwa utaratibu mpya na kwa kishindo. Kampeni za CCM zitafungwa Kitaifa kwa mikutano mikubwa ya kampeni katika mikoa mitano. Mikutano hiyo itaongozwa na viongozi...
10 years ago
Mwananchi17 Jan
Ushindani utatuweka mjini- FM Academia