Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FRENK MSANJA WA MWANZA ANANTAFUTA BABA YAKE

KWA WASUKUMA WOTE DUNIANI
Kijana FRANK MASANJA (akiwa na mama yake pichani) anamtafuta baba yake mzazi aitwae MASANJA BASU.  Masanja alikuwa anaishi kwa kaka yake aitwae SHINGERA BASU sehemu iitwayo NYAKATO SOKONI mkoani MWANZA, Kabila la Masanja ni msukuma wa mkoani Shinyanga wilaya ya Bariadi katika kijiji kiitwacho BUDARABUJIGA na jina la ukoo wao ni BASU. 
Sasa hivi wilaya ya Bariadi ipo ndani ya mkoa mpya wa Simiyu na si Shinyanga tena.
 Mke wa kaka yake alikuwa mwalimu wa shule ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MWILI WA MWANAFUNZI ANASTAZIA LACKFORD ANAYEDAIWA KUUNGUZWA NA KUPEWA SUMU NA BABA YAKE ULIVYOAGWA SHULENI KWAO MWANZA SEKONDARI

Waombolezaji wakisubiri kuuaga mwili wa marehemu Anastazia Lackford Magafu aliyefariki baada ya kudaiwa kuchomwa moto na baba yake kisha kupewa juisi yenye sumu. Marehemu Anastazia Lackford Magafu enzi za uhai.…

 

9 years ago

Michuzi

MWILI WA BABA YAKE MWANAHABARI, PETER AMBILIKILE WAAGWA JIJINI DAR ES SALAAM, MAZISHI YAKE KUFANYIKA MBEYA LEO

 Marehemu Mzee Anyosisye Mwakyusa enzi za uhai wake. Mwili ukiondolewa kanisani.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

9 years ago

StarTV

Vurugu za tawala kanisa la Baba God Pamba Mwanza

Mtaa wa Pamba jijini Mwanza umekumbwa na hali ya vurugu baada ya waumini wa kanisa la Trustees of Throne of Glory Ministries kuhamishwa kwa nguvu kutoka katika jengo walilokuwa wakilitumia kwa shughuli za ibada.

Waumini wa kanisa hilo linalojulikana kama kanisa La Baba God wamehamishwa kutokana na kuisha kwa mkataba baina yao na mmiliki wa jengo hilo.

Kumalizika kwa mkataba wa kutumia jengo hilo kwa shughuli za ibada kunawalazimu waumini wa kanisa la Trustees of throne of Glory ministries...

 

11 years ago

Bongo Movies

Hatari tupu! Utajiri wa MSANJA MKANDAMIZAJI UNATISHA! Diamond, Jide tupa kule. Tazama hapa

UTAJIRI wa komediani maarufu nchini  Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ni kufuru! Tena unatisha na sasa anaonekana kuwa miongoni mwa wasanii wanaomiliki fedha na mali nyingi Bongo, Risasi Mchanganyiko linakupa zaidi.

Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ akiwa mbele ya usafiri na mjengo wake.

HABARI MEZANI

Awali, habari kuhusu utajiri wa Masanja ilitua mezani mwa gazeti hili kama kidokezo, hapo mwandishi wetu akaingia mzigoni na kuanza kuchunguza kwa kina mali anazomiliki msanii huyo...

 

11 years ago

GPL

MTITU AFIWA NA BABA YAKE

STAA wa filamu za kibongo William Mtitu amepata pigo baada ya kufiwa na baba yake mzazi, Mzee John Mtitu aliyekuwa amelazwa Hospitali ya Taifa Muhimbili kutokana na kusumbuliwa na uvimbe kichwani Akizungumza kwa masikitiko nyumbani kwake Mabibo jijini Dar es Salaam, Mtitu alisema amesikitishwa na kifo cha baba yake lakini hana jinsi kwani Mungu amempenda zaidi na hiyo ni njia ya kila mmoja. Staa wa filamu za kibongo, William...

 

9 years ago

Mwananchi

Baba wa kambo ambaka binti yake

Watoto wawili wenye umri wa miaka 13 wamebakwa kwa nyakati tofauti, huku mmoja akidaiwa kufanyiwa ukatili huo na baba yake wa kambo.

 

9 years ago

Vijimambo

KIJANA FRANK ANAMTAFUTA BABA YAKE

Kijana FRANK MASANJA anamtafuta baba yake mzazi aitwae MASANJA BASU . Masanja alikuwa anaishi kwa kaka yake aitwae SHINGERA BASU sehemu iitwayo NYAKATO SOKONI mkoani MWANZA. Kabila la Masanja ni msukuma wa mkoani Shinyanga wilaya ya Bariadi katiki kijiji kiitwacho BUDARABUJIGA na jina la ukoo wao ni BASU. Sasa hivi wilaya ya Bariadi ipo ndani ya mkoa mpya waSimiyu na si Shinyanga tena. Mke wa kaka yake alikuwa mwalimu wa shule ya msingi. Baadhi ya watoto wa kaka yake ni BUSARU na...

 

11 years ago

GPL

H.BABA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA

H.Baba na mke wake, Florah Mvungi wakilishana keki. Florah Mvungi akiwa na mtoto wake Tanzanite. H.Baba akimlisha keki mama yake. Mke wake H.Baba, Florah Mvungi  akiwa…

 

11 years ago

GPL

JOHARI AFIWA NA BABA YAKE MDOGO

Msanii Blandina Chagula 'Johari' baada ya kuweka shada la maua kwenye kaburi la baba yake mdogo Mzee Clement Chagula. Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi walioshiriki mazishi…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani