Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


fundraising drive to help the survivors of Kahama -Shinyanga floods disaster in london


SPECIAL ANNOUNCEMENT:

This  is  to  announce  a  fundraising  drive  to  help  the  survivors  of  Kahama -Shinyanga  disaster. The Fundraising  will  take  place  at the  Tanzania  High  Commission  in  London on  Friday  the  10th April 2015 from  2.00 PM.

We  are  kindly  asking anyone  to  donate  any  African Art  and  craft  or  painting  that  will  be  auctioned  on  the day. We will come and pick it.

 For cash donations:

LLOYDS BANK

NAME: NEWDEAL  AFRICA

ACCOUNT:20580663

SORT CODE:...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Chaos reigns as Kahama storm survivors protest

Survivors of Tuesday night’s deadly storm blocked the Kahama-Mwanza highway at dawn yesterday, demanding tents. Hundreds of passengers travelling from the Lake Zone were stranded and police had to disperse a crowd that was threatening the peace. 

 

11 years ago

Daily News

Floods leave 65 Kahama households homeless


Floods leave 65 Kahama households homeless
Daily News
MORE than 65 households at Kabondo Village in Kahama have been rendered homeless after their houses were swept away by floods caused by the ongoing rains. The village executive officer, Elias Paul, said a storm hit the village on Wednesday night ...

 

11 years ago

IPPmedia

Agency drive government to declare poaching a `national` disaster


Agency drive government to declare poaching a `national` disaster
IPPmedia
A leading Arusha based tourism agency, the Tanzania Association of Tour Operators (TATO) is pushing the government to declare poaching a national disaster. The multi-billion-dollar tourism firms Chairman Willy Chambullo said mid this week in the region ...
TATO pledges partnership with state to boost tourismDaily News

all 2

 

10 years ago

BBC News

Tanzania floods sweep Shinyanga 'killing 38 people'


Tanzania floods sweep Shinyanga 'killing 38 people'
BBC News
Flooding in north-western Tanzania has killed at least 38 people and left hundreds of others homeless, police in the Shinyanga region have told the BBC. The downpours were accompanied by hail and strong winds meaning many people had no chance of ...

 

10 years ago

GPL

MVUA YALETA MAAFA MAKUBWA WILAYANI KAHAMA, SHINYANGA

Watu 35 wamefariki dunia na wengine 55 wamejeruhiwa baada ya kuangukiwa na nyumba zao kufuatia mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali iliyonyesha usiku wa kuamkia leo, kata ya Mwakata, Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga. (CHANZO: RADIO1 STEREO)

 

10 years ago

CloudsFM

Haya ndiyo mabonge ya barafu(mawe) yaliyoua watu zaidi ya 42 Kahama,Shinyanga

Haya ndiyo mabonge ya barafu(mawe) yaliyoua watu zaidi ya 42 na wengine 91 kujeruhiwa baada ya kuamkia jana katika kata ya Isaka wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

WATU 42 wamefariki dunia na wengine zaidi ya 91 wamejeruhiwa vibaya baada ya mvua kubwa ya mawe iliyoambatana na upepo mkali kunyesha katika Kijiji cha Mwakata, Kata ya Isaka, Wilaya ya Kahama, mkoani Shinyanga. Pamoja na vifo hivyo, nyumba za makazi na majengo ya taasisi mbalimbali, yamebomolewa na mafuriko yaliyosababishwa mawe...

 

10 years ago

Vijimambo

UKATILI..!! KICHANGA CHA MWAKA MMOJA CHAKUTWA KIMETUPWA JALALANI HUKO WILAYANI KAHAMA MKOANI SHINYANGA


Wananchi wa mtaa wa nyahanga mjini Kahama wakiangalia mwili wa kichanga hicho kilichowekwa kwenye mfuko.Mwili wa mtoto mwenye umri wa siku 1 umekotwa ukiwa umetupwa katika eneo la dampo la shule ya msingi Nyahanga wilayani Kahama mkoani Shinyanga.Mashuhuda watukio hilo wamesema kuwa mwili wa mtoto huyo umegunduliwa jana na wanafunzi wa shule ya msingi Nyahanga wakati wanaenda kutupa takataka kwenye dampo hilo.Akizungumzia tukio hilo afisa mtendaji wa kata ya Nyahanga Nambo Ntaki amesema kuwa...

 

10 years ago

Vijimambo

HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA

Katibu Mkuu,Ofisi ya Waziri Mkuu Florens Turuka
-JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAOFISI YA WAZIRI MKUUKufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma.
Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango...

 

10 years ago

Michuzi

HATUA ZA HARAKA ZILIZOCHUKULIWA NA SERIKALI KATIKA KUKABILI MAAFA YALIYOSABABISHWA NA MAFURIKO WILAYANI KAHAMA, MKOA WA SHINYANGA

Kufuatia mvua kubwa zilizonyesha usiku wa tarehe 04 Machi, 2015 Wilayani Kahama mafuriko makubwa yalitokea na kuathiri wakazi wa kata ya Mwakata katika vijiji vya Mwakata, Numbi na Mwaguguma.

Kutokana na mafuriko yaliyotokea tathmini ya awali inaonesha kuwa watu 42 wamepoteza maisha, watu 82 wamejeruhiwa na watu wanaokadiriwa kufikia 574 wameathirika. Jumla ya nyumba 137 zimeathirika kwa viwango mbalimbali.

Hatua zilizochukuliwa

Serikali imechukua hatua za haraka kwa kushirikiana na wananchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani