Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FUTARI YA IJUMAA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale LIVE .Ijumaa hii na kila Ijumaa

Mishumaa ya Kale ni kipindi ambacho kinakuletea muziki wa zamani na maelezo mbalimbali ju ya Muziki huo. Ungana na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio kila Ijumaa kuanzia saa 11 jioni mpaka saa moja kamili kwa saa za Marekani Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST) kupitia Kwanza Production, Vijimambo Radio ama Border Radio

 

10 years ago

Vijimambo

Mishumaa ya Kale...Ijumaa hii na kila Ijumaa

Mishumaa ya Kale ni kipindi ambacho kinakuletea muziki wa zamani na maelezo mbalimbali ju ya Muziki huo. Ungana na Dj Luke Joe na Mubelwa Bandio kila Ijumaa kuanzia saa 11 jioni mpaka saa moja kamili kwa saa za Marekani Mashariki (5:00pm - 7:00pm EST) kupitia Kwanza Production, Vijimambo Radio ama Border Radio

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

GPL

FUTARI YAZUA BALAA!

Dustan Shekidele, Morogoro
LA haula! Mwanamke aliyefahamika kwa jina moja la Asha, mkazi wa Mtaa wa Area Six, Kata ya Kichangani mkoani  hapa ambaye alikuwa kwenye swaumu ya Mfungo wa Ramadhani, amejikuta akilazimika kutengua swaumu na kumpa kichapo mwanaume aliyeiba futari na kiti chake cha plastiki alichokuwa amekalia nje ya nyumba akipika futari hiyo. Akihojiwa baada ya kuminyiwa kichapo. TUKIO KAMILI
Tukio hilo la...

 

10 years ago

Vijimambo

RATIBA YA FUTARI YA PAMOJA WASHINGTON DC


                           Assalam Alaykum, Wa Rahmatullah, Wa Barakatuhu

Uongozi wa Tanzanian Muslim Community Washington DC Metro (TAMCO) unawakaribisha kwenye Kufuturu Kwa Pamoja Kila Jumammosi na Jumapili za Mwezi wa Ramadhani.
Tunaombwa tuudhurie na tuwajulishe wengine wote:-Jumamosi, June 20th, 2015 – Glenmont Park Activity Building
Address: 3201 Randolph Road, Wheaton, MD 20906Jumapili, June 21st, 2015 – July 12, 2015 (Siku Zote Zilizobaki):
Indian Springs-Terrace Park Activity...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Futari yaua watoto watatu

WATOTO watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya kula futari inayosadikiwa kuwa na sumu katika Kijiji cha Kwasunga, Wilaya ya Handeni mkoani Tanga. Akizungumzia tukio hilo, Kamanda wa Polisi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani