Gama avunja ngome ya Chadema Songea
MG O M B E A ubunge wa Jimbo la Songea Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi, Leonidas Gama, amevunja ngome ya Chadema katika Kata ya Mfaranyaki Manispaa ya Songea. Pamoja na kuivunja ngome hiyo aliwataka wakazi wa kata hiyo kutorudia makosa ya kukirudisha Chadema madarakani, kwani kufanya hivyo kunaweza kuongeza tatizo la umasikini.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog22 Sep
Mgombea Mwenza CCM avunja ngome ya ACT Tanga, avuna wanachama 272 wa upinzani



10 years ago
GPL
MGOMBEA MWENZA CCM AVUNJA NGOME YA ACT TANGA, AVUNA WANACHAMA 272 WA UPINZANI
10 years ago
Michuzi
Mgombea Mwenza CCM Mama Samia Suluhu Hassan Avunja Ngome ya ACT Tanga, Avuna Wanachama 272 wa Upinzani



11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
CHADEMA yapasua ngome ya Zitto
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), kimepasua ngome ya mbunge wake, Zitto Kabwe na kuzidi kujiimarisha kisiasa katika jimbo la Kigoma Kaskazini. Timu ya viongozi wa CHADEMA wakiongozwa na Makamu...
5 years ago
Michuzi
KHERI JAMES AIPASUA NGOME YA CHADEMA ROMBO.




************************************Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana Wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM Komred Kheri James amepasua ngome ya Upinzania katika Wilaya ya Rombo Mkoani Kilimanjaro kwa Kupokea Viongozi mbalimbali wa Chama Hicho.Viongozi walio pokelewa leo ni Mwenyekiti wa Chadema wilaya ya Rombo ndg Athuman...
10 years ago
Mwananchi11 Feb
Mbowe avunja uongozi Chadema Ukonga, Ilala
11 years ago
Tanzania Daima31 Mar
CHADEMA Songea yalia ubadhirifu
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Mkoa wa Ruvuma, kimeitupia lawama Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani hapa kwa kushindwa kumsaidia Rais Jakaya Kikwete katika kuwafichua na...
11 years ago
Michuzi
ZIARA YA KATIBU MKUU YA CCM,NDUGU KINANA YAIBOMOA NGOME YA CHADEMA WILAYANI LUSHOTO.



11 years ago
Michuzi
KATIBU MKUU WA CCM,NDUGU KINANA AITEKA HANANG,AIBOMOA NGOME YA CHADEMA MKOANI MANYARA.

Hatua hiyo ya kumhoji ilifikiwa baada Kiongozi huyo kuuliza swali kwenye mkutano wa hadhara wa CCM uliofanyika kwenye Kijiji cha...