Gawio la wanahisa TBL laongezeka
KAMPUNI ya Bia ya Tanzania (TBL) imetangaza kutoa gawio la sh 450 kwa wanahisa wake kwa mwaka 2013/2014 ambalo ni sawa na ongezeko la asilimia 50 ikilinganishwa na mwaka jana....
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 May
Wanahisa TCCL kupata gawio bil. 7/-
KAMPUNI ya Saruji ya Tanga (TCCL) kupitia bodi yake Wakurugenzi imeidhinisha gawio la hisa la sh bilioni 7 kwa wanahisa wake baada ya kupata faida ya sh bilioni 32.4 kwa...
10 years ago
MichuziNMB Yaidhinisha Shilingi Bilioni 52 kama gawio kwa wanahisa wake
Gawio hilo ni kutokana na faida ya shilingi Bilioni 156 baada ya kodi iliyopatikana kwa mwaka 2014. Faida hiyo na gawio lililoidhinishwa ni Faraja kwa wanahisa wanaojivunia benki bora yenya matawi mengi kuliko benki yoyote Tanzania ikiwa na matawi...
11 years ago
Dewji Blog26 May
Tanga Cement yatoa gawio la hisa shilingi 7 bilioni kwa wanahisa wake
Katibu wa Bodi ya Wakurugenzi ya Kampuni ya Saruji Tanga (TCCL), David Lee ( wa pili kushoto) akisoma taarifa za fedha za kampuni hiyo wakati wa mkutano wa 20 wa mwaka wa wanahisa wa kampuni hiyo jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Wengine kutoka kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Tanga Cement, Reinhardt Swart, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Lawrence Masha, na mjumbe mwingine wa bodi hiyo, Dr. Stephan Olivier.
Na Damas Makangale, MOblog Tanzania,
KAMPUNI ya Saruji ya Tanga cement...
5 years ago
MichuziWanahisa Benki ya CRDB kupata ongezeko la asilimia 112.5 la Gawio, Shilingi bilioni 44.4 kutolewa
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Dkt. Ally Laay...
5 years ago
MichuziBENKI YA NMB KULIPA GAWIO LA SH. BILIONI 48 MWAKA 2019: ONGEZEKO LA ASILIMIA 45% KULINGANISHA NA GAWIO LA MWAKA 2018
9 years ago
BBCSwahili13 Nov
Pato la Man United laongezeka
10 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Pato la taifa laongezeka kwa pointi
OFISI ya Taifa ya Takwimu (NBS), imesema ukuaji wa pato la taifa kwa bei ya soko umeongezeka kwa kasi ya asilimia chanya 6.9 kwa kipindi cha robo ya pili ya...
10 years ago
BBCSwahili13 Feb
Deni la kilabu ya Man United laongezeka
10 years ago
MichuziPATO LA TAIFA LAONGEZEKA, LAFIKIA SHILINGI TRILIONI 21.2.
Aron Msigwa –MAELEZO.
Pato la Taifa (GDP) katika kipindi cha robo ya tatu ya mwaka 2014 limeongezeka hadi kufikia...