GEL yawezesha wanafunzi 320 kusoma nje ya nchi
ZAIDI ya wanafunzi 320 wameondoka nchini kwenda vyuo mbalimbali vya nje ya nchi kwa mwaka wa masomo 2015/16. Safari hiyo imewezeshwa na Kampuni ya kizalendo ya Global Education Link (GEL).
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboTEMBELEA OFISI YA GLOBAL EDUCATION LINK (GEL) ILIYOPO SABA SABA UJIPATIE NAFASI YA KUSOMA CHUO NJE YA NCHI
9 years ago
Dewji Blog24 Aug
Global Education Link (GEL) yasafirisha wanafunzi kwenda kusoma nchini India
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwa ameambatana na wafanyakazi wa kampuni hiyo kuwasindikiza wanafunzi 30 wanaokwenda kusoma nchini India Agosti 21, 2015 katika Uwanja wa ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Education Link (GEL) ambao ni wakala wa vyuo vya nje ya nchi, Abdulmalik Mollel akiwaita majina wanafunzi waliokuwa...
9 years ago
MichuziGLOBAL EDUCATION LINK (GEL) YASAFILISHA WANAFUNZI KWENDA KUSOMA NCHINI INDIA
9 years ago
Dewji Blog29 Oct
Global Education Link (GEL) yapeleka wanafunzi 65 kusoma vyuo vikuu nchini China
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Global Education Link (GEL), Abdulmalik Mollel akiwa ameambatana na wafanyakazi wa kampuni hiyo kwa ajili ya kuwasindikiza wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu nchini China mapema jana katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Global education link (GEL) Abdulmalik Mollel akiwaita majina wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu nchini China mapema jana katika Uwanja...
11 years ago
Mwananchi03 Jun
Raha na karaha ya kusoma nje ya nchi
10 years ago
GPL9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-1ksP68NcpRE/VhbuCeWZ4PI/AAAAAAABm24/0H-k5M90JhM/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-10-05%2Bat%2B3.54.41%2BPM.png)
ABDULMALIKI MOLLEL: WANAFUNZI WANAOSOMA NJE YA NCHI WANAWIGO MPANA WA KUAJIRIKA
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ksP68NcpRE/VhbuCeWZ4PI/AAAAAAABm24/0H-k5M90JhM/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-05%2Bat%2B3.54.41%2BPM.png)
Akizungumza na katika kongamano la saba la vyuo vikuu la kujadili mstakabali wa elimu nchini, lililofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL), Abdulmaliki Mollel amesema kuwa wanafunzi kwenda nje inatokana na kuangalia fursa za kusoma huko ambazo nchini...
9 years ago
Dewji Blog09 Oct
Abdulmaliki Mollel: Wanafunzi wanaosoma nje ya nchi wana uwigo mkubwa wa kuajirika
![](http://3.bp.blogspot.com/-1ksP68NcpRE/VhbuCeWZ4PI/AAAAAAABm24/0H-k5M90JhM/s640/Screen%2BShot%2B2015-10-05%2Bat%2B3.54.41%2BPM.png)
Na Mwandishi Wetu, Arusha.
VITU vinavyofanya wanafunzi kwenda kusoma nje ya nchi ni kutokana kozi wanayoenda kusoma zina uwigo mkubwa wa ajira ambapo vyuo vya ndani havina kozi hizo.
Akizungumza na katika kongamano la saba la vyuo vikuu la kujadili mstakabali wa elimu nchini, lililofanyika jijini Arusha mwishoni mwa wiki iliyopita, Mkurugenzi wa Global Link Education (GEL), Abdulmaliki Mollel amesema kuwa wanafunzi kwenda...
10 years ago
Habarileo22 Oct
Wanafunzi 279 kati ya 320 waacha shule
KATI ya wanafunzi 320 walioanza kidato cha kwanza katika Shule ya Sekondari ya Abeid Amaan Karume iliyopo Bahi Wilaya ya Kondoa mkoani Dodoma ni wanafunzi 41 tu waliofanikiwa kufika kidato cha nne.