Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Gesi iwe neema kwa maendeleo ya watanzania

kama ni mchezo wa mpira basi mwamuzi amepuliza filimbi kusitisha mchezo baada ya kuonekana upande wa timu pinzani kuwa na mtazamo sawa na upande wa timu wanayoshindana nayo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Watanzania washauriwa kuitumia neema ya gesi kupeleka hifadhi ya jamii kwa kila mtu

DSC_0013

Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa,na Mwenyekiti wa mkutano mkubwa wa kimataifa wa hifadhi ya jamii ulioandaliwa na serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Fedha, Mh. Aggrey Mwanri, akiendesha shughuli za mkutano huo uliomalizika hivi karibuni katika kituo cha kimataifa cha mikutano cha Arusha (AICC).(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog).

Na  Mwandishi wetu, Arusha

MTAALAMU mmoja wa masuala ya uchumi anayefanyakazi na Shirika la Maendeleo la Umoja wa...

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Sera ya gesi iwe wazi kwa wananchi’

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba amewataka wajumbe kutoka taasisi mbalimbali kuwa wawazi kwa wananchi katika utungaji wa sera ya upatikanaji wa gesi asilia na petroli. Prof....

 

9 years ago

StarTV

Uwekezaji wa mapato ya mafuta, gesi watakiwa maendeleo ya watanzania

Kuongezeka kwa uwezo wa kiuchumi wa kuzalisha na kuwahudumia watanzania katika sekta ya elimu, afya na maendeleo ya jamii kutategemea uwekezaji wa mapato yanayotokana na rasilimali za mafuta na gesi.

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Adolf Mkenda amesema ili rasilimali hizo ziwe endelevu na zenye manufaa kwa watanzania ni lazima zibadilishwe na kuwekezwa katika mitaji mingine.

Katika mkutano wa wadau wa gasi na mafuta jijini Dar es salaam Adolf Mkenda Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vita ya CCM neema kwa Watanzania

HAKUNA ubishi. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeingiliwa au tuseme kuvamiwa na kansa mbaya. Hakuna kitu kinakitafuna chama hiki kama mdudu wa kupenda madaraka huku wanaoyatafuta wakiwatumia makada wa chama sehemu...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Serikali yatakiwa kusimamia gesi kwa maendeleo ya taifa


NA MWANDISHI WETU
SERIKALI imeshauriwa kuwekeza mapato ya rasilimali zake hususan mafuta na gesi ili kuleta maendeleo endelevu kwa manufaa ya kizazi cha sasa na baadaye.
Vile vile imetakiwa kuhaikisha matumizi ya ndani kwenda sambamba  na mapato hayo ikiwemo kuongeza tija katika matumizi ya sekta za umma katika ngazi zote.   
Mkurugenzi wa kampuni ya Pan African Energy, Patrick Rutabanzibwa, alisema hayo jijini Dar es Salaam jana kwenye mkutano wa kujadili mikakati ya kuhakikisha rasilimali...

 

9 years ago

Habarileo

Neema ya gesi sasa ni dhahiri

RAIS Jakaya Kikwete jana alizindua miundombinu ya kuchakata na kusafirisha gesi asilia kutoka Mtwara na Songo Songo hadi Dar es Salaam kupitia Somanga.

 

9 years ago

Mwananchi

Gesi asilia inavyofungua njia kwa Watanzania kuagana na umaskini

Kwa muda mrefu Tanzania imekuwa haina chanzo cha uhakika cha nishati ya umeme, jambo ambalo limekuwa likiirudisha nchi nyuma kimaendeleo.

 

11 years ago

Michuzi

Timka na Boda Boda yaacha Neema kwa Watanzania

 Mshindi wa promosheni ya Timka na bodaboda Bw. Ramadhani Abdallah akipiga kiki pikipiki yake tayari kuondoka nayo mara baada ya kukabidhiwa na Meneja Uhusiano wa Nje Salum Mwalim(kulia) katika tukio lililofanyika Mlimani City jijini Dar es salaam.

 Meneja  uhusiano wa Nje wa Vodacom Salum Mwalim akiongea na washindi wa promosheni ya Timka na bodaboda iliyomalizka hivi karibuni wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika Makako Mkauu ya Vodacom eneo la Mlimani City jijini Dar es...

 

11 years ago

Michuzi

Wananchi wengi wanaamini kuwa gesi imeleta neema nchini Tanzania


 Wananchi wanne kati ya watano wanaamini kuwa mafuta na gesi yatawanufaisha wao, watoto wao na nchi yao kwa ujumla. Wakati huo huo, wananchi wanne kati ya kumi (37%) wanaamini kuwa viongozi wa Serikali na matajiri ndio wataofaidika zaidi. Pia, zaidi ya nusu (55%)  wangependa baadhi ya mapato ya mafuta na gesi wapewe wananchi moja kwa moja kama fedha taslimu.

Matokeo haya yametolewa na Twaweza katika muhtasari wa utafiti wenye jina la Kusimamia Maliasili: Wananchi wanasemaje? Utafiti huu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani