Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Giggs; Msife moyo Man U itarejea

Giggs amewarai mashabiki wa klabu hiyo maarufu wasife moyo ufanisi utarejea Old Trafford

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Msife moyo Man U itarejea: Giggs

Kaimu kocha wa Manchester United Ryan Giggs amewarai mashabiki wa klabu hiyo maarufu kuwa wasife moyo ushindi utarejea Old Trafford katika siku za usoni.

Kigogo huyo wa Manchester United aliwaasa mashabiki punde baada ya kuingoza Manchester united kuilaza Hull city mabao 3-1 katika mechi yao ya mwisho ya nyumbani msimu huu wa ligi kuu ya premia ya Uingereza.

Hiyo ndiyo iliyokuwa mechi yake ya mwisho baada ya kushiriki mechi 963 akivalia jezi la Man united.

Kaimu kocha huyo mwnye umri wa...

 

11 years ago

BBCSwahili

Ryan Giggs azungumzia Man U

Meneja huyo wa muda Ryan Giggs amesema siku chache zilizopita zimekuwa kama fujo tupu kwa klabu hiyo na akaahidi kuwafurahisha mashabiki.

 

11 years ago

Mwananchi

Giggs hatihati Man United

>Kocha wa muda wa Manchester United, Ryan Giggs amesema ataacha kuifundisha Manchester United kwa ajili ya kwenda kupata zaidi mafunzo ya ukocha.

 

11 years ago

Michuzi

Chief Woodward delivers news to failed Man United boss in early morning Carrington meeting with Ryan Giggs to take charge until end of season

David Moyes has been sacked by Manchester United with immediate effect. Chief executive Ed Woodward arrived at Carrington at 8am on Tuesday morning to inform the Scot face-to-face of the news.
Moyes had already been informed of his fate and thanked club staff at the training complex in anticipation of his departure. The players were not present at the time.
A tweet on the club's official Twitter account read: 'BREAKING: Manchester United announces that David Moyes has left the club. The...

 

9 years ago

Bongo5

Cassim adai anaamini biashara ya album itarejea tena

Cassim Mganga amedai kuwa pamoja na biashara ya album kufa, dalili zinaonesha kuwa mbeleni itarejea tena. Cassim ameiambia Bongo5 kuwa kwa sasa wimbo mmoja ukiusimamia vizuri unaweza ukakulipa zaidi ya album. “Kama mwanamuziki lazima uwe na album lakini sasa hivi biashara ya album imekuwa ngumu sana. Watu wanapata pesa za kuendesha maisha kupitia shows. Kwahiyo […]

 

5 years ago

CCM Blog

TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA


Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa  wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo  cha  watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...

 

9 years ago

Vijimambo

Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto



Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani