Giggs; Msife moyo Man U itarejea
Giggs amewarai mashabiki wa klabu hiyo maarufu wasife moyo ufanisi utarejea Old Trafford
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog08 May
Msife moyo Man U itarejea: Giggs
Kaimu kocha wa Manchester United Ryan Giggs amewarai mashabiki wa klabu hiyo maarufu kuwa wasife moyo ushindi utarejea Old Trafford katika siku za usoni.
Kigogo huyo wa Manchester United aliwaasa mashabiki punde baada ya kuingoza Manchester united kuilaza Hull city mabao 3-1 katika mechi yao ya mwisho ya nyumbani msimu huu wa ligi kuu ya premia ya Uingereza.
Hiyo ndiyo iliyokuwa mechi yake ya mwisho baada ya kushiriki mechi 963 akivalia jezi la Man united.
Kaimu kocha huyo mwnye umri wa...
11 years ago
BBCSwahili25 Apr
Ryan Giggs azungumzia Man U
11 years ago
Mwananchi06 May
Giggs hatihati Man United
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-RP4a0zizlNw/U1YsMpAndHI/AAAAAAAFcQ0/miS9FilhStI/s72-c/article-2609490-1D40F2C300000578-11_634x539.jpg)
Chief Woodward delivers news to failed Man United boss in early morning Carrington meeting with Ryan Giggs to take charge until end of season
Moyes had already been informed of his fate and thanked club staff at the training complex in anticipation of his departure. The players were not present at the time.
A tweet on the club's official Twitter account read: 'BREAKING: Manchester United announces that David Moyes has left the club. The...
9 years ago
Bongo523 Oct
Cassim adai anaamini biashara ya album itarejea tena
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s72-c/Amana%2B3.jpg)
TAASISI YA MOYO JAKAYA KIKWETE KUWAHUDUMIA WAGONJWA WA MOYO WALIOPATWA NA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-A38czSsSNTA/XqMJhnFtfUI/AAAAAAABMBM/KPL1nyXxMLcCIAYHqyfoQQ2on2sjYkz9QCLcBGAsYHQ/s400/Amana%2B3.jpg)
Na Mwandishi maalum – Dar es Salaam24/04/2020 Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) itawahudumia wagonjwa wenye matatizo ya moyo yanayohitaji matibabu ya kibingwa walioko katika kituo cha watu waliopata maambukizi ya virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Corona (COVID – 19) cha Amana jijini Dar es Salaam.Hayo yamesemwa leo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo Prof. Janabi alipotembelea kituo hicho kwa ajili ya kuona ni namna gani wataalamu wa Taasisi yake wataweza kutoa huduma kwa ...
5 years ago
Michuzi9 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s72-c/F%2B1.jpg)
Madaktari Bingwa wa Moyo toka India , Wanatarijiwa kupambana na ugonjwa wa Moyo wa kuzaliwa kwa Watoto
![](http://1.bp.blogspot.com/-rNcG_HyopdA/Vd2lcQ_nVjI/AAAAAAAAHwQ/T2MDDdG9TlQ/s640/F%2B1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-540ZsPHSGqs/Vd2lcoO0QPI/AAAAAAAAHwM/rQVnpKb5vK4/s1600/F%2B2.jpg)
Na Mwandishi Wetu ,Kutokea kwa ugonjwa wa moyo wa kuzaliwa (CHD) kunatazamwa kwa usawa kwa duniani kote, pamoja na kutofautiana kati ya mikoa na nchi kutokana na maumbile, mazingira na mabadiliko ya kiepijenetiki. Takriban watoto 8 kati 1000 wanaozaliwa wakiwa hai wanazaliwa na CHD duniani kote. Takwimu hii kwa ujumla inaaminika zaidi. Hata hivyo, kutokana na ukosefu wa takwimu sahihi katika bara la Afrika, watoto walioathirika na CHD barani Afrika inaweza kuwa wengi sana.Watoto ...