Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Government to reveal Tazara flyover constructors this week


Daily News
Government to reveal Tazara flyover constructors this week
Daily News
THE government is this week expected to announce names of companies that will be contracted to construct a flyover at Mandela/ Nyerere road junction, Tazara area. It will also make known contractors who will work in expanding a portion of Ali Hassan ...

Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa ujenzi ‘flyover’ Tazara waanza

>Tatizo la foleni katika jiji la Dar es Salaam, limeanza kupatiwa dawa baada ya Serikali ya Tanzania na Japan kutiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za juu (flyover) katika makutano ya Barabara ya Mandela na Nyerere.

 

9 years ago

TheCitizen

Tazara flyover work starts next month

After years of dilly-dallying, construction of the much-anticipated Tazara Flyover at the junction between Nyerere and Mandela Roads in the city will start next month.

 

10 years ago

Michuzi

TAZARA flyover expected to start in May 2015

Design of TAZARA Flyover CONSTRUCTION of TAZARA flyover is expected to start in May, this year, following recent signing of a deal with the government of Japan to access a grant of over 26.3bn/- for the project.
This was said in the National Assembly on Wednesday by the Minister for Works, Dr John Magufuli, when responding to a supplementary question by Ms Rita Mlaki (Special Seats - CCM), who sought to know the government’s resolve to decongest Dar es Salaam city.
“Last week, the government...

 

9 years ago

Vijimambo

Flyover ya TAZARA kuanza kujengwa mwezi ujao

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale (kulia) na Meneja Mkuu wa Kampuni ya SUMITOMO MITSUI, Bw. Ichiro Aok kutoka Japan wakiweka saini Mkataba wa kuanza ujenzi wa barabara ya juu (flyover) katika eneo la TAZARA.  SUMITOMO MITSUI ni kampuni iliyoshinda zabuni ya kujenga barabra hiyo, ambao ujenzi wake unatarajiwa kuanza mwezi Novemba 2015 na kukamilika katika kipindi cha miaka mitatu.  Wengine katika picha waliosimama watatu kutoka  kulia ni ...

 

10 years ago

TheCitizen

Construction of Tazara flyover due mid 2015

Dar es Salaam. The construction of the long-awaited Tazara flyover is expected to start mid this year following a series of discussion between Japan and Tanzania.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

9 years ago

Mwananchi

Magufuli asaini ujenzi wa ‘flyover’ D’Salaam

Serikali ya Tanzania na ya Japan, zimetiliana saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa barabara ya juu (flyover) na Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction utakaogharimu zaidi ya Sh87 bilioni.

 

9 years ago

Bongo5

Ujenzi wa Flyover za Dar kuanza January, 2016 – Magufuli

Magufuli

Rais Dk John Pombe Magufuli amesema ujenzi wa barabara zinazopita juu, flyover jijini Dar es Salaam utaanza rasmi January mwakani.

Magufuli

Magufuli amesema hayo jana baada ya mkutano na ujumbe kutoka kwa waziri mkuu wa Japan, Shinzō Abe ikulu jijini Dar es Salaam.

Ujenzi huo utafanyika kwa ushirikiano wa Tanzania na Japan.

“Kandarasi ameshakuja, ameshaanza kufanya mobilization pale TAZARA, fedha zipo na advance payment ameshalipwa, kwahiyo inawezekana kwenye mwezi wa kwanza jiwe la msingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani