Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ujenzi wa Flyover za Dar kuanza January, 2016 – Magufuli

Magufuli

Rais Dk John Pombe Magufuli amesema ujenzi wa barabara zinazopita juu, flyover jijini Dar es Salaam utaanza rasmi January mwakani.

Magufuli

Magufuli amesema hayo jana baada ya mkutano na ujumbe kutoka kwa waziri mkuu wa Japan, Shinzō Abe ikulu jijini Dar es Salaam.

Ujenzi huo utafanyika kwa ushirikiano wa Tanzania na Japan.

“Kandarasi ameshakuja, ameshaanza kufanya mobilization pale TAZARA, fedha zipo na advance payment ameshalipwa, kwahiyo inawezekana kwenye mwezi wa kwanza jiwe la msingi...

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Magufuli asaini ujenzi wa ‘flyover’ D’Salaam

Serikali ya Tanzania na ya Japan, zimetiliana saini mkataba wa mradi wa ujenzi wa barabara ya juu (flyover) na Kampuni ya Sumitomo Mitsui Construction utakaogharimu zaidi ya Sh87 bilioni.

 

11 years ago

Michuzi

DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli katikati akiwa na Balozi wa Japan Nchini Masaki Okada kulia wakipita juu ya Daraja la Lugalo mara baada ya kulikagua katika ziara ya Ukaguzi wa Barabara ya Mwenge Tegeta jijini Dar es salaam leo.

 Balozi wa Japan nchini Ndugu Masaki Okada akiwa na Waziri wa Ujenzi Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Said Meck Sadick wakipanda ngazi za daraja la juu la watembea kwa miguu flyover Ubungo...

 

9 years ago

Dewji Blog

TEEP 2016 – 2nd Annual Tony Elumelu Entrepreneurship Programme Round Launches 1st January 2016

0E1A0836

Mr. Tony Elumelu (in red tie) addresses the 2015 TEEP Participants during the three day boot camp in Ota Nigeria 11th July 2015.

0E1A0996

2015 TEEP entrepreneurs from all over Africa take a group picture with Mr. Tony Elumelu (in Red tie) during the boot camp in Ota Nigeria.

Entrepreneurs send off 2

Some of the TEEP participants from Tanzania having dinner organized for them by United Bank for Africa as send off to the boot camp in Ota Nigeria.

IMG_1740

Happy 2015 TEEP entrepreneurs who represented Tanzania as they head for the...

 

9 years ago

Vijimambo

Flyover ya TAZARA kuanza kujengwa mwezi ujao

Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Patrick Mfugale (kulia) na Meneja Mkuu wa Kampuni ya SUMITOMO MITSUI, Bw. Ichiro Aok kutoka Japan wakiweka saini Mkataba wa kuanza ujenzi wa barabara ya juu (flyover) katika eneo la TAZARA.  SUMITOMO MITSUI ni kampuni iliyoshinda zabuni ya kujenga barabra hiyo, ambao ujenzi wake unatarajiwa kuanza mwezi Novemba 2015 na kukamilika katika kipindi cha miaka mitatu.  Wengine katika picha waliosimama watatu kutoka  kulia ni ...

 

11 years ago

Mwananchi

Mchakato wa ujenzi ‘flyover’ Tazara waanza

>Tatizo la foleni katika jiji la Dar es Salaam, limeanza kupatiwa dawa baada ya Serikali ya Tanzania na Japan kutiliana saini mkataba wa ujenzi wa barabara za juu (flyover) katika makutano ya Barabara ya Mandela na Nyerere.

 

9 years ago

MillardAyo

Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5

Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]

The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...

 

9 years ago

Bongo5

Q-Chief asema anatarajia kufunga ndoa January 2016

Chilla

Staa wa muziki Aboubakary Shabani Katwila a.k.a Q-Chief, ambaye tayari amejaliwa kuwa baba yuko mbioni kuiaga kambi ya mabachela.

chief

Q-Chief ametangaza kuwa sasa ameona ni wakati muafaka wa kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa muda mrefu.

Akizungumza na E-Newz ya EATV, Q Chilla amesema katika maandalizi yake hayo ya harusi itakayofanyika mwezi January mwakani, pia ameandaa wimbo maalum kwa ajili ya mchumba wake huyo ambaye ni mzaliwa wa hapa nchini Tanzania.

“Wimbo ambao nimemzawadia mke...

 

9 years ago

MillardAyo

Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016

Mwimbaji Harmonize wa single ya ‘Aiyola‘ akiwa ni mwimbaji wa kwanza kutambulishwa kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz, January 1 2016 alifanya show yake ya pili toka ameitoa Aiyola, kila kitu nimekuwekea kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]

The post Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani