Ujenzi wa Flyover za Dar kuanza January, 2016 – Magufuli
Rais Dk John Pombe Magufuli amesema ujenzi wa barabara zinazopita juu, flyover jijini Dar es Salaam utaanza rasmi January mwakani.
Magufuli amesema hayo jana baada ya mkutano na ujumbe kutoka kwa waziri mkuu wa Japan, Shinzō Abe ikulu jijini Dar es Salaam.
Ujenzi huo utafanyika kwa ushirikiano wa Tanzania na Japan.
“Kandarasi ameshakuja, ameshaanza kufanya mobilization pale TAZARA, fedha zipo na advance payment ameshalipwa, kwahiyo inawezekana kwenye mwezi wa kwanza jiwe la msingi...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Magufuli asaini ujenzi wa ‘flyover’ D’Salaam
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s72-c/unnamed+(41).jpg)
DKT. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA BARABARA YA MWENGE-TEGETA, MRADI WA MABASI YAENDAYO HARAKA (BRT) PAMOJA MIRADI YA UJENZI WA BARABARA ZA JUU TAZARA FLYOVER NA MAKUTANO YA BARABARA ZA JUU UBUNGO JIJINI DAR ES SALAAM
![](http://3.bp.blogspot.com/-Z8s3Z19bYb4/U-j4eOULqAI/AAAAAAAF-kE/3LRKICF4rPw/s1600/unnamed+(41).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-8fuh6Rix_QE/U-j4eA1NJhI/AAAAAAAF-kA/noaS8n4dTZc/s1600/unnamed+(42).jpg)
9 years ago
Dewji Blog01 Dec
TEEP 2016 – 2nd Annual Tony Elumelu Entrepreneurship Programme Round Launches 1st January 2016
Mr. Tony Elumelu (in red tie) addresses the 2015 TEEP Participants during the three day boot camp in Ota Nigeria 11th July 2015.
2015 TEEP entrepreneurs from all over Africa take a group picture with Mr. Tony Elumelu (in Red tie) during the boot camp in Ota Nigeria.
Some of the TEEP participants from Tanzania having dinner organized for them by United Bank for Africa as send off to the boot camp in Ota Nigeria.
Happy 2015 TEEP entrepreneurs who represented Tanzania as they head for the...
9 years ago
VijimamboFlyover ya TAZARA kuanza kujengwa mwezi ujao
11 years ago
Mwananchi25 Jul
Mchakato wa ujenzi ‘flyover’ Tazara waanza
9 years ago
MillardAyo05 Jan
Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5
Kila mtu anaanza mwaka na mipango yake, 2016 ndio hii kwenye countdown ya tarehe za January… kama ishu ya kubadili simu iko kwenye mipango yako ya mwanzo mwanzo wa mwaka basi naomba nikufahamishe machache kuhusu hii Phantom 5. Kwa sababu Tecno wamethibitisha kuwasogezea Watanzania matoleo kadhaa ya simu za smartphones zenye viwango vyake sokoni, basi kuna […]
The post Kama mpango wako ni kuanza 2016 na simu mpya kwenye ubora wake, unaweza kuanza na TECNO Phantom 5 appeared first on...
9 years ago
Michuzi06 Jan
9 years ago
Bongo509 Nov
Q-Chief asema anatarajia kufunga ndoa January 2016
![Chilla](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Chilla-300x194.jpg)
Staa wa muziki Aboubakary Shabani Katwila a.k.a Q-Chief, ambaye tayari amejaliwa kuwa baba yuko mbioni kuiaga kambi ya mabachela.
Q-Chief ametangaza kuwa sasa ameona ni wakati muafaka wa kufunga pingu za maisha na mpenzi wake wa muda mrefu.
Akizungumza na E-Newz ya EATV, Q Chilla amesema katika maandalizi yake hayo ya harusi itakayofanyika mwezi January mwakani, pia ameandaa wimbo maalum kwa ajili ya mchumba wake huyo ambaye ni mzaliwa wa hapa nchini Tanzania.
“Wimbo ambao nimemzawadia mke...
9 years ago
MillardAyo03 Jan
Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016
Mwimbaji Harmonize wa single ya ‘Aiyola‘ akiwa ni mwimbaji wa kwanza kutambulishwa kwenye lebo ya WCB inayomilikiwa na mwimbaji wa bongofleva Diamond Platnumz, January 1 2016 alifanya show yake ya pili toka ameitoa Aiyola, kila kitu nimekuwekea kwenye hii video hapa chini. Unataka kutumiwa MSG za habari zote kubwa kutoka kwa Millard Ayo? ukiwa na […]
The post Video ya Harmonize na mashabiki kwenye stage Dodoma January 1 2016 appeared first on TZA_MillardAyo.