Habari Feki: Namna ya kupambana na taarifa za uzushi
Mwandishi Ayisha Yahya anaendelea kuzungumza na mkuu wa Idara ya Lugha za Afrika katika BBC, Solomon Mugera.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-IymI2BNX_Ns/UwgKvSpT4ZI/AAAAAAAFOrQ/g-rP3MlJHBA/s72-c/ir.jpg)
uzushi wa kifo feki cha muigizaji Will Smith watikisa dunia
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Jeshi la Polisi: Vyeti feki vyawaondoa askari kazini ni uzushi
Msemaji wa Jeshi la Polisi, Advera John Bulimba – SSP.
TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI
Katika siku za hivi karibuni, kumeibuka tabia ya baadhi ya watu kutoa taarifa za uzushi na uongo kutumia majina ya taasisi, mashirika ya umma na ofisi za Serikali na kueneza taarifa hizo katika mitandao ya kijamii kwa lengo la kupotosha wananchi.
Miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na taarifa kuhusu Jeshi la Polisi iliyosambazwa jana katika mitandao ya kijamii yenye kichwa cha habari...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s72-c/Untitled.jpg)
TAARIFA RASMI KUTOKA JESHI LA MAGEREZA KUHUSU TAARIFA ZA UZUSHI ZINAZOZAGAA KUWA BABU SEYA NA MAWAE WAMEACHIWA HURU
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZLrbuSNVVEY/VA3Ak11d-KI/AAAAAAAGh-0/zDT7_3zTL4c/s1600/Untitled.jpg)
Napenda kuufahamisha Umma wa Watanzania kuwa taarifa hizo zote zilizotolewa kupitia njia hizo ni za Uongo na uzushi mkubwa na zinalenga kuipotosha jamii kwani wafungwa hao wapo gerezani na...
9 years ago
Global Publishers19 Dec
Jeshi Linawasaka Walioeneza Uzushi Kuhusu Vyeti Feki vya Polisi
Msemaji wa Jeshi la Polisi, SSP-Advera John Bulimba.
Katika siku za hivi karibuni, kumeibuka tabia ya baadhi ya watu kutoa taarifa za uzushi na uongo kutumia majina ya taasisi, mashirika ya umma na ofisi za Serikali na kueneza taarifa hizo katika mitandao ya kijamii kwa lengo la kupotosha wananchi.
Miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na taarifa kuhusu Jeshi la Polisi iliyosambazwa jana katika mitandao ya kijamii yenye kichwa cha habari ‘chujio Jesho la polisi, vyeti feki vyawaonndoa askari...
10 years ago
MichuziWaandishi wa habari wapigwa msasa kuhusu namna bora ya kuimarisha uandishi wa habari za shughuli za Bunge
10 years ago
Habarileo21 Nov
Nyalandu: Taarifa za kufukuza Wamasai Loliondo ni uzushi
SERIKALI imesema haina mpango, haifikirii na wala haijaidhinisha kuwafukuza Wamasai zaidi ya 40,000 walioko katika eneo la Loliondo mkoani Arusha.
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-0_k9QstN5j8/VnVJnY3leHI/AAAAAAAINac/ekHc3AW2WBI/s72-c/Screen%2BShot%2B2015-12-19%2Bat%2B3.11.16%2BPM.png)
JESHI LAWASAKA WALIOENEZA TAARIFA ZA UZUSHI MITANDAONI
![](http://1.bp.blogspot.com/-0_k9QstN5j8/VnVJnY3leHI/AAAAAAAINac/ekHc3AW2WBI/s640/Screen%2BShot%2B2015-12-19%2Bat%2B3.11.16%2BPM.png)
Miongoni mwa taarifa hizo ni pamoja na taarifa kuhusu Jeshi la Polisi iliyosambazwa jana katika mitandao ya kijamii yenye kichwa cha habari ‘chujio Jesho la polisi, vyeti feki vyawaonndoa askari kazini’ Taarifa hiyo ni uzushi na hajatolewa na...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
MZEE SMALL YUPO HAI, TAARIFA ZA KIFO CHAKE NI UZUSHI
9 years ago
StarTV15 Sep
 Watanzania wahimizwa kupuuza taarifa za uzushi zitolewazo na vyama pinzani.
Katika harakati za kuahakikisha Chama cha mapinduzi kinaingia madarakani kwakumwaga sera zao pamoja na kutoa vipaumbele mbalimbali chama hicho kimeonyesha kupuuzia taarifa zinazoenezwa na baadhi ya vyama vya kisiasa hapa nchini wakati wakiwa katika harakati za kutafuta kura
Chama hicho cha mapinduzi kimewahimiza Watanzania kutoshawishiwa na baadhi ya wanasiasa wanaodaiwa kueneza taarifa zisizo na misingi yoyote kwa taifa.
Katika kampeni za kunadi sera za chama hicho Mkoani Tabora CCM...