Hafla ya kukabidhi Mgodi wa Resolute kwa Chuo cha Madini Dodoma
![](http://3.bp.blogspot.com/-7SjAIVBvgGs/VIxGKNbvGqI/AAAAAAAG3DU/lsYiE6gdj1I/s72-c/unnamed%2B(29).jpg)
Na Asteria Muhozya, Nzega Mgodi wa Resolute uliopo Wilayani Nzega Mkoani Tabora jana tarehe 12 Desemba, 2014, ulikabidhi eneo la Mgodi kwa Chuo cha Madini Dodoma katika hafla fupi iliyofanyika na kuhudhuriwa na Naibu Waziri wa Nishati na Madini, anayeshughulikia madini Stephen Masele.Wengine walioshuhudia ni, Mkuu wa Wilaya ya Nzega aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa huo, Mhe. Bituni Msangi, Viongozi Waandamizi wa Wilaya ya Nzega, Kaimu Kamishna wa Madini, Mhandisi Ally Samaje, Kamati ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/bK_3to-kb58/default.jpg)
HAFLA YA KUKABIDHI CHETI CHA MSHINDI WA URAIS 2015
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-VC12ikQ_CCM/U0QSVKJR5EI/AAAAAAAFZUQ/yGpjJMfA_4I/s72-c/DSC_1339_tn.jpg)
WAZIRI MKUU KUWA MGENI RASMI, HAFLA YA KUKABIDHI HUNDI ZA RUZUKU KWA WACHIMBAJI WADOGO
![](http://1.bp.blogspot.com/-VC12ikQ_CCM/U0QSVKJR5EI/AAAAAAAFZUQ/yGpjJMfA_4I/s1600/DSC_1339_tn.jpg)
Hafla ya Utoaji wa hundi hizo kwa wachimbaji wadogo itafanyika mjini Dodoma tarehe 9/4/2014 katika Chuo cha Madini ambapo Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo akiambatana na Naibu Waziri anayeshughulikia Madini, Stephen...
11 years ago
GPL![](http://4.bp.blogspot.com/-vWAqyhpZctA/Uu8w2tKnW7I/AAAAAAAA_6g/8Qjofe7BzTM/s1600/TA1A1683.jpg)
ZANZIBAR KUANZISHA CHUO CHA MAFUNZO YA AMALI KWA WANAWAKE KWA KUSHIRIKIANA NA CHUO CHA BAREFOOT CHA INDIA
10 years ago
Michuzi02 Mar
HAFLA YA KIKUNDI CHA WAHITIMU WA CHUO CHA MZUMBE WALIOMALIZA MASOMO KATIKA KIPINDI KATI YA MWAKA 1992 NA MWAKA 1996 YAFANA
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/13.jpg)
![2](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/24.jpg)
![4](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/41.jpg)
![5](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/03/51.jpg)
9 years ago
Bongo523 Oct
Chuo kikuu cha Dodoma kuzalisha umeme wa megawati 55 kwa kutumia jua
11 years ago
Michuzi27 Feb
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-R5XjpaarlVc/VC_Mr9kNtyI/AAAAAAAGnto/dsSJ-t_nHQc/s1600/u2.jpg)
JK ATEMBELEA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA UDOM, AFUNGA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IU7PpvYZ-W4/VDPVUnwxnoI/AAAAAAAGoe8/-7UNVchPrFA/s72-c/unnamed%2B(79).jpg)
JESHI LA POLISI MKOA WA DODOMA LAIMARISHA ULINZI KATIKA TUKIO KUKABIDHI RASIMU YA KATIBA KWA MH. RAIS
![](http://2.bp.blogspot.com/-IU7PpvYZ-W4/VDPVUnwxnoI/AAAAAAAGoe8/-7UNVchPrFA/s1600/unnamed%2B(79).jpg)
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma Kamishna Msaidizi Mwandamizi DAVID MISIME - SACP ameeleza kuwa kutokana na tukio la kihistoria ambalo litafanyika tarehe 08/10/2014 ambapo Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE na Mh. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dr. ALLY MOHAMED SHEIN watakabidhiwa Rasimu ya Katiba inayopendekezwa, ulinzi umeimarishwa katika maeneo yote ya Mkoa wa Dodoma hususani Dodoma Mjini.
Kamanda...