Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HAPA Singida kutumia mil 485 kuboresha afya vijiji 62

DSC09601

Meneja wa shirika la HAPA la mkoa wa Singida, David Mkanje akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 7.4 milioni kwa kijiji cha Mlandala kata Urughu wilaya ya Iramba.Vifaa hivyo vimetolewa msaada na shirika la HAPA. Kulia ni mwenyekiti wa kijiji cha Mlandala,Mahona Mahela na kushoto ni kaimu mganga mkuu wa wilaya ya Iramba, Dk.Antony Mburu.

Na Nathaniel Limu, Iramba

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA)...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Plan kutumia mil. 161/- kuboresha huduma ya afya

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Plan Ifakara linakusudia kutumia sh milioni 161 katika mwaka wa fedha 2013/2014 ili kuboresha huduma za afya katika kata saba wilayani Kilombero. Akizungumza katika kikao...

 

9 years ago

Dewji Blog

Shirika la SEMA mkoani Singida lachangia vifaa vya afya kwa wahudumu 43 wa afya ngazi ya vijiji na mitaa

IMG_1449

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa mbalimbali vikiwemo miavuli vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 6.5 milioni vivyogawiwa kwa wahudumu wa afya ngazi ya vijiji na mitaa manispaa ya Singida. Kulia ni Mganga mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk John Mwombeki.

IMG_1463

Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani Singida, Ivo Manyaku, akimkabidhi Mganga Mkuu halmashauri ya manispaa ya Singida, Dk...

 

10 years ago

Dewji Blog

World Vision Tanzania yatumia zaidi ya bilioni 5.3 kuboresha miradi ya Afya Singida

DSC05117

Kaimu mkuu wa mkoa wa Singida, Saidi Alli Kamanzi na DC wa wilaya ya Singida, akifungua hafla ya makabidhiano wa mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN-MNCH). Wa kwanza kulia ni mkuu wa wilaya ya Ikungi Gichulu Charles na anayefuatia ni mwakilishi wa mkurugenzi wa shirika la World vision Tanzania, Mary Lema.

DSC05121

Baadhi ya wadau wa afya waliohudhuria hafla ya makabidhiano ya mradi wa afya ya mama na mtoto (SUSTAIN -MNCH) iliyofanyika kwenye ukumbi wa mikutano wa Aque Vitae Resort mjini...

 

9 years ago

Dewji Blog

Zaidi ya Mil 60 zilizotengwa kwa sherehe za miaka 50 ya Mkoa wa Singida kutumia kununulia vifaa tiba

IMG_1422

Mkuu wa mkoa wa Singida, Dk.Parseko Kone, akitoa taarifa kwa waandishi wa habari juu ya kubadilisha matumizi ya zaidi ya shilingi 60.6 milioni zilizokuwa zigharamie sherehe ya maadhimisho ya mkoa huu kutimiza miaka 50 toka uanzishwe mwaka 1963, na sasa zitatumika kununulia vifaa tiba na vitendea kazi katika hospitali mpya ya rufaa ya mkoa. IMG_1426 IMG_1439 Meneja wa shirika lisilo la kiserikali la SEMA mkoani hapa, Ivo Manyaku, ameupongeza mkoa wa Singida kwa uamuzi wake wa kutumia shilingi 60.6...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TBL kutumia mil. 700/- kutatua uhaba wa maji sekta ya afya

TATIZO la upatikananji wa maji safi na salama nchini ni moja kati ya changamoto kubwa zinazoikabili sekta ya afya nchini. Tatizo hili limekuwa likiathiri ufanisi katika shughuli mbalimbali za huduma...

 

11 years ago

Dewji Blog

Jamii imetakiwa kutumia vyakula vinavyopatikana katika mazingira yanayowazunguka kuboresha afya za famila zao

DSC_0494

Afisa kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Bw. Valerian Vitalis Kidole, akiendesha mafunzo ya siku nne ya wanahabari na watangazaji wa redio jamii yaliyofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa kushirikiana na UNESCO yaliyofanyika katika ukumbi wa Kartasi uliopo wilayani Kahama Mkoani Shinyanga.

Na Mwandishi wetu 

Wito huo umetolewa na Afisa kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Bw. Valerian Vitalis Kidole katika semina ya siku nne kwa waandishi wa habari na...

 

10 years ago

Dewji Blog

SEMA Singida kutumia Milioni 80 kuwapiga msasa waratibu wa elimu mikoa ya Singida na Dodoma

DSC04523

Kaimu Katibu Tawala mkoa wa Singida, Aziza Mumba, akizungumza kwenye ufunguzi wa mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za maji, elimu na usafi wa mazingira shuleni yaliyohudhuriwa na waratibu kata na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida. Kulia ni Meneja wa SEMA, Ivo  Manyanku na Kushoto ni mwenyekiti wa mafunzo hayo.

DSC04526

Baadhi ya waratibu na walimu wakuu wa shule za msingi manispaa ya Singida,waliohudhuria  mafunzo ya zana za ukaguzi na ufuatiliaji wa huduma za...

 

11 years ago

Habarileo

Vijiji vyauza magogo ya Sh mil 203

VIJIJI vitano wilayani Kilwa katika Mkoa wa Lindi vilivyo kwenye mpango maalumu wa kusafirisha na kuuza magogo nje ya nchi, vimejipatia zaidi ya Sh milioni 203 kati ya mwaka jana na mwaka huu kutokana na mauzo hayo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani