Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamii imetakiwa kutumia vyakula vinavyopatikana katika mazingira yanayowazunguka kuboresha afya za famila zao

DSC_0494

Afisa kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Bw. Valerian Vitalis Kidole, akiendesha mafunzo ya siku nne ya wanahabari na watangazaji wa redio jamii yaliyofadhiliwa na Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa kushirikiana na UNESCO yaliyofanyika katika ukumbi wa Kartasi uliopo wilayani Kahama Mkoani Shinyanga.

Na Mwandishi wetu 

Wito huo umetolewa na Afisa kutoka Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, Bw. Valerian Vitalis Kidole katika semina ya siku nne kwa waandishi wa habari na...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

VIJANA WAMETAKIWA KUTUMIA MAZINGIRA YANAYOWAZUNGUKA KUJIPATIA KIPATO

  Afisa vijana kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw.Godfrey Massawe akizungumza na wawezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha kutoka Mikoa ya Kanda ya Ziwa kabla ya kufunga mafunzo ya wawezeshaji hao leo Jijini Mwanza. Mwezeshaji wa Kitaifa wa Stadi za Maisha Bi. Virginia Chacha (kulia) akifanya mazoezi ya uwezeshaji kwa wawezeshaji wenzake kama njia mojawapo ya kupima uwezo wa wawezeshaji hao kabla ya kufunga Mafunzo ya Uwezeshaji leo Jijini MwanzaKaimu Katibu Tawala Mkoa...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YAHAIDI KUZIDI KUPIGA JEKI WAFANYAKAZI WA AFYA YA JAMII KUBORESHA AFYA YA JAMII VIJIJINI

 Na Mwandishi Wetu,SERIKALI ya Tanzania imeelezea utayari wake wa kupiga jeki na kuwajumuisha wafanyakazi wa afya ya jamii katika nguvukazi ya sekta ya afya (national health workforce) ya taifa ili kuboresha afya ya jamii hususani katika maeneo ya vijijini.
Akizungumza wakati wa ufunguzi wa semina ya wadau wa mradi wa mafunzo ya wafanyakazi wa afya ya jamii (Community Health Worker Learning Agenda Project - CHW-LAW) jijini Dar es Salaam, Mkurugenzi Mtendaji (idara ya uzazi na afya ya mtoto)...

 

5 years ago

Michuzi

WATAALAMU WA AFYA ENDELEZENI USIMAMIZI SHIRIKISHI WA AFYA MAZINGIRA SHULENI NA KWENYE JAMII-DKT.GWAJIMA

Naibu Katibu Mkuu akikagua kitabu cha kumbukumbu za Wagonjwa katika moja ya kituo cha Afya mkoani Manyara wakati wa Ziara yake ya kukagua shughuli za Afya katika shule na kwenye jamii.



Naibu Katibu Mkuu akizungumza na uongozi pamoja na wananchi mara baada yakukagua kituo hicho cha Afya kilicho pokea kiasi cha Mil.200 kwaajili ya ujenzi huo (Picha zote na OR-TAMISEMI)



Naibu Katibu Mkuu OR-TAMISEMI, anayeshughulikia Afya, Dkt. Dorothy Gwajima akipata chakula na kuhakiki ubora wa chakula...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Plan kutumia mil. 161/- kuboresha huduma ya afya

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Plan Ifakara linakusudia kutumia sh milioni 161 katika mwaka wa fedha 2013/2014 ili kuboresha huduma za afya katika kata saba wilayani Kilombero. Akizungumza katika kikao...

 

11 years ago

Dewji Blog

HAPA Singida kutumia mil 485 kuboresha afya vijiji 62

DSC09601

Meneja wa shirika la HAPA la mkoa wa Singida, David Mkanje akizungumza kwenye hafla ya makabidhiano ya vifaa tiba vyenye thamani ya zaidi ya shilingi 7.4 milioni kwa kijiji cha Mlandala kata Urughu wilaya ya Iramba.Vifaa hivyo vimetolewa msaada na shirika la HAPA. Kulia ni mwenyekiti wa kijiji cha Mlandala,Mahona Mahela na kushoto ni kaimu mganga mkuu wa wilaya ya Iramba, Dk.Antony Mburu.

Na Nathaniel Limu, Iramba

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Health Actions Promotion Association (HAPA)...

 

9 years ago

StarTV

Wataalamu wa afya wahimizwa kutumia taaluma zao kwakufanya tafiti

Wataalamu wa Sekta ya afya nchini wanapaswa kutumia taaluma yao kutafiti na kugundua visababishi vya magonjwa mbalimbali yanayoathiri jamii hali itakayosaidia Serikali kukabiliana na magonjwa husika.

Tafiti zinaonyesha kuwa magonjwa mengi yamekuwa yakiikumba jamii kutokana na kukosekana kwa watalaamu wa kubaini visababishi vya maradhi hayo.

Mkuu wa chuo kikuu kishiriki cha Sayansi ya tiba cha  KCMU College kilichopo mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro  Prof.Elgibert Kessy anaona ipo haja kwa...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA AFYA NA USTAWI WA JAMII YASAINI MKATABA WA KUBORESHA HUDUMA ZA UFUNDI WA VIFAA TIBA

Wizara ya afya na ustawi wa jamii  imesaini mkataba wa kuboresha huduma za ufundi wa vifaa tiba ili kusimamia matumizi bora na kutunza rasilimali,hivyo kumehitajika kuweka juhudi za maksudi kuandaa wataalam wa ufundi wa vifaa tiba kwa kuwajengea uwezo katika kufahamu namna ya matengenezo ya mashine zilizopo na zinazo endelea kununuliwa.
 Pia kuwapa   vitendea kazi(tools kits, measuring and calibration equipment) vyenye kuwezesha mafundi kuhakiki ubora wa ufanyaji kazi kwa baadhi ya vifaa tiba...

 

5 years ago

Michuzi

SERIKALI YAZINDUA MUONGOZO WA MPANGO HUDUMA ZA AFYA KATIKA JAMII PAMOJA NA MATUMIZI YA DASHBODI YA VIASHIRIA YA AFYA

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akisoma maelezo baada ya kuzindua Muongozo wa Mpango wa Watoa huduma ya Afya ya Jamii, Dar es Salaam jana. Wizara ya Afya imezindua muongozo huwa ikiwa ni muendelezo wa kuendelea kutoa kipaumbele katika kuimarisha huduma za kinga, ikiwemo elimu ya afya na uhamasishaji, lishe, udhibiti wa magonjwa ya kuambukiza kama Ukimwi na afya ya mama na mtoto.

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia , Wazee na Watoto, Ummy...

 

10 years ago

GPL

SERIKALI KUBORESHA MICHANGO YA NGOs KATIKA JAMII

Mkurugenzi wa  Uratibu wa NGOs, Marcel Katemba, akitoa ufafanuzi kwa wanahabari(hawapo pichani). Kaimu Mkurugenzi Msaidizi Usajili wa NGOs Baraka Leonard (wa kwanza kulia) Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Maendeleo ya Jamii, Enterberth Nyoni, na Kaimu Mkurugenzi wa Maendeleo ya Watoto, Rose Minja wakiwa katika hafla hiyo.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani