#HapaKaziTu! Wizara ya Mambo ya Ndani yavifuta usajili wa vyama vya kijamii 1,268
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Isack Nantanga.(Picha na Maktaba).
Na Rabi Hume, Modewjiblog
Wizara ya Mambo ya Ndani imetangaza kufuta usajili wa vyama 1,208 vya kijamii kati ya vyama 12,665 ambavyo vimesajiliwa katika daftari la msajili wa vyama katika Wizara hiyo.
Akizungumza na waandishi wa habari, Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Isaac Nantanga amesema sababu ya kuvifuta vyama hivyo ni kushindwa kufata masharti ya usajili, kushindwa kulipa ada za mwaka na kuwasilisha...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-xxd9FoaWSeQ/VmrWMw9wLTI/AAAAAAAILro/mFW0JU6NCUY/s72-c/IMG_7369.jpg)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI YAFUTA VYAMA VYA KIJAMII 1,268
![](http://3.bp.blogspot.com/-xxd9FoaWSeQ/VmrWMw9wLTI/AAAAAAAILro/mFW0JU6NCUY/s640/IMG_7369.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-eaXdoQzNbAo/VmrWM3bUPiI/AAAAAAAILrk/mq7_igWZcDM/s640/IMG_7372.jpg)
Na Zainabu Hamisi, Globu ya Jamii.WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imefuta vyama...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_YBHZ6bhG6A/VoQz-v5wSQI/AAAAAAAIPfg/M3JeIYhesVU/s72-c/TZ.png)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI INAKUSUDIA KUVIFUTA VYAMA VYA KIJAMII VIFUATAVYO BAADA YA KUKIUKA TARATIBU ZA USAJILI
![](http://2.bp.blogspot.com/-_YBHZ6bhG6A/VoQz-v5wSQI/AAAAAAAIPfg/M3JeIYhesVU/s640/TZ.png)
10 years ago
Michuzi29 May
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YkTQKvQouupBItq8xL1dee-eJAHvWR2VuigwFnH2qFt8SXIkbae1FQYj2LitHd5JWfthKLxzul83kInvLWQ6y8N6bShvDhg5/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png?width=650)
WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUANZA ZOEZI LA KUHAKIKI VYAMA VYA KIJAMII HAPA NCHINI MWEZI UJAO
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-82roOvJjwwY/VBZo388HrTI/AAAAAAAGjoU/xQ_zWOGHXs4/s72-c/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
NEWS ALERT: WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI KUANZA ZOEZI LA KUHAKIKI VYAMA VYA KIJAMII HAPA NCHINI MWEZI UJAO
![](http://3.bp.blogspot.com/-82roOvJjwwY/VBZo388HrTI/AAAAAAAGjoU/xQ_zWOGHXs4/s1600/Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
Pamoja na mambo mengine, zoezi hili linalenga kuvifuta kutoka katika daftari la Msajili vya Vyama vya Kijamii vyama ambavyo vitabainika kuwa havina sifa tena ya kuendelea kuwa katika daftari hilo.
Vigezo ambavyo vinaweza kusababisha chama kufutwa kutoka katika Daftari la Msajili wa Vyama vya Kijamii ni pamoja na kutolipa ada za mwaka kwa wakati na kutowasilisha kwa...
9 years ago
Michuzi31 Dec
10 years ago
Michuzi27 Apr
9 years ago
MichuziKATIBU MKUU MAMBO YA NDANI AFUNGUA KIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
10 years ago
Michuzikatibu mkuu wizara ya mambo ya ndani awatembelea wajumbe wa kikao kazi cha mambo ya ndani mjini morogoro