Harakati za kuhamasisha vijana zawafikia Vijana wa Mbozi
![](http://1.bp.blogspot.com/-pRoxuavimZw/VMD_SkGPhYI/AAAAAAAG-7I/W62DRI4Z-kw/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
Kaimu Mkurugenzi Halmashauri ya Wilaya Mbozi Bw. Elisey Ngowi akifungu semina ya Ujasiriamali, Stadi za Maisha, Ujuzi na Mfuko wa Maendeleo ya Vijana iliyoandaliwa na Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo hivi karibuni katika Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Mbeya. Kushoto ni Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa na kulia ni Afisa Vijana kutoka Wizara hiyo Bi. Amina Sanga.
Vijana wa Wilaya ya Mbozi Mkoa wa Mbeya wakisikiliza kwa makini...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-N1fceFyxP9o/VMdzTTPDBOI/AAAAAAAG_qo/9CEQ4gmh978/s1600/Pix%2B1.jpg)
WIZARA INAYOSIMAMIA VIJANA NA HARAKATI ZA KUWAKOMBOA VIJANA WA RUNGWE
10 years ago
Vijimambo28 Jan
WIZARA INAYOSIMAMIA VIJANA NA HARAKATI KUWAKOMBOA VIJANA WA RUNGWE.
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/1102.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s72-c/PIX2a.jpg)
JAMVI LA VIJANA LA UMATI MWEZI HUU LIMEKUWA CHACHU YA KUHAMASISHA VIJANA KATIKA MASUALA YA AFYA YA UZAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-cTbN9ySqTvA/VksVNJbiC2I/AAAAAAAIGYE/RubQLxzXDno/s640/PIX2a.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-gBj5JefuV2E/VksVNT5hswI/AAAAAAAIGYI/J5-tNm2zrus/s640/PIX2b.jpg)
10 years ago
GPLFID -Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUCHAGUA VIONGOZI WA NCHI 2015
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s72-c/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
VIJANA NCHINI WATAKIWA KUWA WAZALENDO, KUHAMASISHA WANANCHI KUCHUKUA TAHADHARI YA CORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-O0G_uiMvGjY/XoMMyg0Cq8I/AAAAAAALlqI/YLsWnhWAC8wAmhkrqF3HuaufLNPmkrElgCLcBGAsYHQ/s640/5416940e-bf1a-43fc-98b3-610aca94b79c.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akizungumza na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu (Tahliso) katika mkutano wa pamoja jijini Dodoma.
![](https://1.bp.blogspot.com/-SUXCsj5qhmc/XoMMxoLE7WI/AAAAAAALlqE/iG23k_Ig_FcxsiQhARsdIk6e9ix1gyAggCLcBGAsYHQ/s640/6945cc39-e4db-4b76-a28f-24c94f181f48.jpg)
Mkuu wa Wilaya ya Dodoma, Patrobas Katambi akiwa katika picha ya pamoja na kamati tendaji ya viongozi wa serikali za wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu nchini (Tahliso).
Charles James, Globu ya Jamii
VIJANA nchini wametakiwa kuwa wabunifu katika kufikia ndoto zao na siyo kukaa vijiweni wakilalamikia ugumu wa...
10 years ago
Michuzi03 Dec
WANABIAFRA WASHIRIKI KATIKA UZINDUZI WA MRADI WA KUHAMASISHA MICHEZO KWA VIJANA NA WATOTO
![](https://2.bp.blogspot.com/-K5btL701Wjc/VCEbaDOrxYI/AAAAAAAAFCc/7mu4jU0l-uU/s1600/KARIBU.jpg)
10 years ago
Michuzi10 Dec
FID-Q AZINDUA KAMPENI YA KUHAMASISHA VIJANA KUSHIRIKI KATIKA MCHAKATO WA UCHAGUZI WA VIONGOZI WA TAIFA LETU.
Fid Q amesukumwa kuzungumza na waandishi wa habari baada ya ...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura
Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]
The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
MichuziElimu kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana yawafikia Vijana wa Mbeya Vijijini
Vijana wa Mkoa wa Mbeya Wilaya ya Mbeya Vijijini wametakiwa kutokuwa na tafsiri hasi kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana kuwa ni takrima inayotolewa na serikali kwa vijana hivyo kuchezea fedha hizo na kushindwa kurejesha mkopo watakaouomba kupitia mfuko huo.
Hayo yamesemwa na Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa wakati wa semina iliyotolewa kwa Vijana wa Mbeya Vijijini kuhusu Mfuko wa Maendeleo ya Vijana, Stadi za...