Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HARRIS HENRY WIMILE KUTOKA KIDUGALA SEMINARY NJOMBE

Familia ya Dr Happiness Wimile Mbeyela inakupa hongera kwa kumaliza kidato cha nne inakutakia mtihani mwema.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

KUTOKA MEZA YA BALOZI WA HARAKATI ZA IMETOSHA HENRY MDIMU

Na Henry MdimuTangu asubuhi leo nilikuwa busy na awareness za uwanja wa Taifa katika mechi ya watani wa Jadi Yanga na Simba (picha ya pili). Ila jioni hii nilipoangalia simu yangu nikakuta watu wakinilaumu kutokana na tukio la mtoto Baraka Cosmas (picha ya kwanza) ambaye usiku wa kuamkia leo amekatwa mikono yake. Wanasema nilikuwa nakula Bata Uwanja wa Taifa huku watu wanateketea. Hasa alikuwa akiongea mtu anaitwa @hmgeleka. Kwanza nalaani kitendo hicho cha kikatili  na kuzidi kumuomba Rais...

 

5 years ago

CCM Blog

MAAFISA TARAFA NJOMBE WAFURAHIA KUPATA PIKIPIKI KUTOKA KWA JPM



Na Amiri kilagalila,Njombe
Changamoto ya usafiri ili kuwafikia wananchi katika vijiji mbalimbali kwa maofisa tarafa mkoani Njombe sasa imepatiwa ufumbuzi baada ya serikali kugawa Pikipiki kwa kila ofisa hatua itakayochochea uhamasishaji shughuli za maendeleo.
Wakizungumza mara baada ya kukabidhiwa pikipiki na katibu tawala mkoa wa Njombe kwa niaba ya mkuu wa mkoa baadhi ya maofisa tarafa akiwemo Lilian Nyemele na Damas Kavindi wanasema tatizo la usafiri kwao limekuwa gumu ili kuwafikia...

 

11 years ago

Michuzi

FORM 6 GRADUATION CEREMONY 2013/2014 AL MUNTAZIR ISLAMIC SEMINARY



THE GRADUATING CLASS OF NECTA 2014 (BOYS)THE GRADUATING CLASS OF CIE 2014 (BOYS)THE GRADUATING CLASS OF NECTA 2014 (GIRLS)
THE GRADUATING CLASS OF CIE 2014 (GIRLS)
FOR MORE CLICK HERE

 

9 years ago

MillardAyo

Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP

Siku chache zimepita toka taarifa zitufikie kuhusu ajali ya basi la abiria lililotumbukia mtoni eneo la Iyovi ambalo lina kona kali sana mkoa wa Iringa, taarifa nyingine ya huzuni inatufikia kutoka mkoa wa Njombe leo January 04 2016. Ni taarifa ya ajali ya basi la abiria ambalo limegonga lori la mizigo kwa nyuma na kusababisha […]

The post Picha na kilichonifikia kutoka kwenye ajali ya basi la abiria na lori la mizigo Njombe.. #RIP appeared first on TZA_MillardAyo.

 

10 years ago

Vijimambo

ZAIDI YA WAFANYABIASHARA 100 KUTOKA MIKOA YA MBEYA,IRINGA,NJOMBE KUHUDHURIA MAONESHO NCHINI AFRIKA KUSINI

Makamu Mwenyekiti Chama cha wafanyabiashara wa Kilimo na Viwanda Mkoa wa Mbeya ( TCCIA)wa Kwanza kulia Ndugu Emire Mahinza akizungumza na waandishi wa habri juu ya safari hiyo akiwa pamoja na Makamu Rais wa TCCIA Tanzania wa Pili kulia Ndugu Julius Kaijage pamoja na Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change ya jijiji Mbeya Ndugu Janko Ndigo
- See more at: http://jamiimoja.blogspot.com/2015/02/wafanyabiashara-zaidi-100-kutoka-mikoa.html#sthash.nKhTlXrj.dpuf
Mkurugenzi wa Blue Bird Burue De Change...

 

9 years ago

Vijimambo

MAGUFULI ALIVYOPOKELEWA NDANI YA WILAYA YA NJOMBE MKOANI NJOMBE.

Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwasalimia wakazi wa Ludewa mjini kabla ya kuanza kuwahutubia ,kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo na kuhudhriwa na maelfu ya watu.Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha CCM,Dkt John Pombe Magufuli akiwahutubia wananchi wa Ludewa waliojitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa hadhara wa kampeni uliofanyika mjini humo.

Mgombea Ubunge wa jimbo...

 

11 years ago

Mwananchi

Harris Kapiga: Mchungaji aliyefungua ‘klabu ya usiku’ Dar

Imezoeleka kuwa klabu za usiku zimekuwa zikitumika kwa mambo ya starehe huku viongozi wa dini wakizichukulia kama maeneo hatari kwa waumini wao.

 

9 years ago

Mtanzania

Dawa za kulevya zampeleka Harris jela miaka nane

Mendeecees Harris (2)NEW YORK, MAREKANI

MKALI wa muziki wa hip hop nchini Marekani, Mendeces Harris, amepelekwa jela miaka nane kutokana na kesi ya dawa ya kulevya.

Msanii huyo mwenye umri wa miaka 37, awali alikamatwa na dawa mwaka 2011, akiwa na gari aina ya Audi R8 yenye thamani ya dola 111,000, lakini inasemekana kuwa kesi hiyo ilimalizika kwa kulipa kiasi cha dola 171,000.

Msanii huyo ameonekana kuwa mtu wa matukio tangu mwaka 2005, 2006, 2008 na 2012, hivyo kwa sasa ametakiwa atumikie kifungo hicho akiwa...

 

10 years ago

Bongo5

Taylor Swift na Calvin Harris wawapiku Beyonce na Jay Z kama ‘couple maarufu’ iliyoingiza fedha nyingi 2015

Taylor Swift na Calvin Harris wametajwa na Forbes kuwa couple maarufu iliyoingiza fedha nyingi zaidi mwaka 2015 na kuwaondoa Beyonce na Jay Z kwenye nafasi hiyo. Swift na Harris wameingiza kwa pamoja dola milioni 146 mwaka jana ukilinganisha na Bey na Jay waliokamatana nafasi ya pili kwa kuingiza dola milioni 110.5. Album ya Swift 1989 […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani