Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Has ‘Kitchen Party’ lost its meaning?

Suzzane Balankana, 26, a hotelier is looking forward to wed next month. Her family is busy raising money for her ‘bridal shower’ locally known as kitchen party. Kitchen party has been a very famous party for the brides-to-be for many years now.

TheCitizen

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

COVER: Has bride price lost its meaning?

>Raphael Peter, 36, an accountant and Alice Masanja, 30, a nurse have been dating for five years now. Just recently they decided to move their relationship to the next level; marriage.

 

10 years ago

GPL

JE, UNGEKUWA HUJAFANYIWA KITCHEN PARTY?!-2

JUMANNE zinakuja kama mvua! Imeshafika Jumanne nyingine huku nikiamini wasomaji wangu wote mko na afya njema kabisa baada ya kuachana wiki iliyopita katika mada hiihii ya Je, Ungekuwa Hujafanyiwa Kitchen Party? Wiki iliyopita tuliishia pale ambapo nilisema nilijaribu kuchunguza kwa muda mrefu kuhusu wanandoa wanawake ambao walipata mafunzo ya Kitchen Party nikagundua kuwa, wengi wao wanapoingia ukumbini siku ya sherehe mawazo...

 

11 years ago

GPL

10 years ago

GPL

JE, UNGEKUWA HUJAFANYIWA KITCHEN PARTY?!

Mungu kweli mkubwa! Ni Jumanne tena ambapo naamini wasomaji wangu wa safu hii ya Mapenzi na Maisha mpo sawasawa mkiendelea kunifuatilia.Baada ya wiki iliyopita kumalizia mada yangu ya; HERI USIWE HEWANI KULIKO KUTOPOKEA SIMU, nimefikiria kuwaletea kitu kingine hapa. Hata hivyo, nawashukuru sana wasomaji wangu kwa mada ile kwani nilipokea simu nyingi za kunipongeza kwamba nilichokiandika kilikuwa cha kweli tupu. Mada ya leo ni;...

 

9 years ago

GPL

JAMANI, KITCHEN PARTY ZISIVUNJE NDOA ZENU

Asaalam Alaikum/Bwana Yesu asifiwe wasomaji wangu. Ni imani yangu kuwa mnaendelea vema na ujenzi wa taifa.Kwa sasa siasa ndiyo imetawala kwenye vinywa vyetu na kila unakopita ni siasa tu. Sasa basi niwakumbushe wapenzi wasomaji wangu kuwa, siasa msizilete kwenye nyumba zenu, msije kuwanyima wenza wenu unyumba kisa mmetofautiana kiitikadi. Hili naliweka wazi kwa sababu nimeshaanza kuona watu wanagombana na waume zao, wapenzi wao...

 

11 years ago

Michuzi

Familia Kitchen Party Gala ni Jumapili Hii

 Jumapili  huwa ni siku muhimu sana kwa familia. Ni siku ambayo mama/dada anapata nafasi ya kukaa ama kutembelea ndugu jamaa na marafiki. Kwa kufahamu umuhimu wa kuwa na familia yenye furaha na upendo, PSI Tanzania kupitia brand yao ya Familia wanakuletea Familia Kitchen Party Gala tour,Dar es Salaam. Nafasi ya mwanamke wa Dar es Salaam kupata mafunzo na kujinoa kuhusu mambo yanayomuhusu yeye,afya, saikolojia, kupanga muda, na mengine meeengi. Hii ni nafasi ya kina mama kupima Kansa ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Kitchen Party ya Dr. Haika Mhando yafunika Dar

img_0794

Bi. harusi mtarajiwa Dr.Haika Mhando akiwa tayari kuingia ukumbini katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa Banora jijini Dar es salaam Jumapili Septemba 13,2014.

img_0643

Mama mzaa chema.

img_0723-copy

Dada wa Bi. harusi Neema Mhando.

img_0625

Dada wa Bi harusi Dr.Nandera Mhando.

img_0729-copy

Dada wa Bi.harusi Mchungaji Rebecca Mhando.

img_0731-copy

Dada wa Bi. harusi Netiwe Mhando.

img_0703

Dada wa Bi. harusi Empress Elinita Mhando.

img_0645

Mc wa shughuli Mary Mwanyato.

img_0786

Mambo ya wanakamati. Kwa picha zaidi ungana na sundayshomari.com

 

11 years ago

Michuzi

Familia Kitchen Party Gala ndani ya jiji la Mwanza

Wanawake wa jiji la Mwanza wamepata nafasi ya kuongea na Mama Victor,Aunt Sadaka na Getrude Mongela katika Familia Kitchen Party Gala. Shughuli imefanyika jana Jumamosi tarehe 19,katika ukumbi wa Gold Crest Hotel.
Ukiachana na maongezi kuhusu mahusiano na masuala ya kina mama,vilevile wanawake walipata nafasi ya kupata huduma na ushauri wa Uzazi wa mpango,vipimo vya saratani/kansa ya mlango wa uzazi iliyotolewa bure na Familia kupitia PSI Tanzania. Mtaalam wa Maswala ya saikolojia,Aunt...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani