HATIMAYE KAKA’KE ZARI AMCHUMBIA LINAH!
![](http://api.ning.com:80/files/qSAS7eZtx6DsD6-JLLV3OYwOnW8q22VJMNVb060JQcGZ5NXglUHDVNZn-OD-YGvjCj-fMr4BMvgKc**ey4EpeoR1ELNpWotd/linah.gif?width=650)
Hatimaye staa wa Bongo Fleva ambaye ni zao la Nyumba ya Vipaji Tanzania (THT), Esterlina Sanga ‘Linah’ amechumbiwa rasmi na yule jamaa wake, Wiliam Bugene ‘Boss Mtoto’ ambaye ni kaka kiukoo wa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady.’ ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1Sja1WK ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/kZzo8PgK6ncfurr7tpA4-CyWAyD7ItAgolaz-Rhf694AsMMHwg4G2K*z6TcDV3i8W9h0A8UEQF*1jklXfghfzVUBPpBqjzn6/Linah.gif?width=650)
LINAH AJIWEKA KWA KAKA’AKE ZARI
10 years ago
Bongo Movies30 Dec
Hatimaye!! Wema afunguka kuhusu Diamond na Zari. "Adai anawapenda sanaaa"
Hatimaye Kwa mara ya kwanza Wema Sepetu amezungumza kuhusu uhusiano wa aliyekuwa mpenzi wake Diamond Platnumz na mrembo wa Uganda, Zari The Boss Lady ambao sasa ni ‘talk of East Africa’.
Wema alianza kwa kuwasifia na kusema anaipenda couple yao,
“Aisee nawapenda they make such a good couple, yeah”alipoulizwa na Soudy Brown wa U Heard ya XXL kama haoni wivu alijibu, “Wivu wa nini mimi and Diamond we were not meant to be it didn’t work basi, so I wish him all the best and I wish him...
10 years ago
Bongo530 Nov
Wema ampongeza Diamond, amuita ‘kaka’, Zari achukua nafasi yake rasmi, amsindikiza kwenye #CHOAMVA14
10 years ago
Vijimambo14 Jan
SOMO LA KONDOM JAMAA KA FALL KABISA HATIMAYE DIAMOND AMPA UJAUZITO ZARI
10 years ago
Bongo Movies14 Jan
Baada ya kushindwa kuzaa na Wema na Penny. Hatimaye Diamond 'ampa' ujauzito Zari
Baada ya sokosoko kuu la kwanini?? muda wote huu kijana Nassib Abdul – Diamond Platnumz pamoja na list yake ndeeeefu ya mabinti wa bongomovies aliowahi kutembea nao hajawahi kuwa hata na mtoto wa kusingiziwa, HATIMAYE jana kupitia kwenye nyezo za kiteknolojia tumeweza kudokezwa juu ya ujauzito alionao mwanadada ZARI ambao ni fika utakuwa wa kijana huyu anayetamba na wimbo wa “Nitampata wapi” ambao wachunguziwa mambo wanadai ETi ni dedication kwa mpenzi wake maarufu wa zamani.
USHAHIDI WA...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-sePHT-Eu2jI/VKq1THSpipI/AAAAAAAAaJ0/pllBMBgQOLA/s72-c/D.png)
PESA NOMA HATIMAYE DIAMOND AGEUZWA BUSHOKE NA ZARI...ABEBESHWA POCHI HUKU BAUNSA WAKE AKIMCHEKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-sePHT-Eu2jI/VKq1THSpipI/AAAAAAAAaJ0/pllBMBgQOLA/s640/D.png)
9 years ago
Bongo510 Dec
Picha: Meek Mill amchumbia Nicki Minaj
![12276932_1722929857930146_52455195_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12276932_1722929857930146_52455195_n-300x194.jpg)
“Ntalalalala..you may now kiss the bride! Huenda muda si mrefu Meek Mill na Nicki Minaj wakawa wanachama wapya wa ndoa.
Nicki Minaj akionesha pete aliyovishwa na Meek Mill
Picha za Instagram za Nicki Minaj zinaonesha kuwa rapper huyo amechumbiwa na mpenzi wake, Meek.
“Now this is what I’m talking about baby. Lol. Love u @meekmill,” ameandika Nicki kwenye picha ya mkono wake unaonesha pete ya uchumba kwenye kidole chake cha chanda.
“This stone is flawless. (My voice) lol,” ameandika kwenye...
9 years ago
Bongo519 Sep
Rick Ross amchumbia girlfriend wake Lira Mercer