Helikopta iliyomuua Filikunjombe ni ya Kalonzo
HELIKOPTA iliyoanguka na kusababisha vifo vya watu wanne akiwamo mgombea ubunge wa jimbo la Ludewa kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Deo Filikunjombe na rubani wake, Kapteni William Silaa, ilikuwa mali ya Makamu wa Rais wa zamani wa Kenya, Kalonzo Musyoka.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/12107262_10203566066031418_6703966378237878945_n.jpg)
HIVI NDIVYO HELIKOPTA ILIVYOMUUA SHUJAA FILIKUNJOMBE
Polisi na wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya Chopa kuteketea kwa moto. AJALI ya chopa (helikopta) iliyotokea usiku wa kuamkia jana, Oktoba 16, 2015 katika Hifadhi ya Selous, eneo la Msolwa mkoani Morogoro, imeyakatisha maisha ya aliyekuwa Mbunge wa jimbo la ludewa, Mhe. Deo Filikunjombe (43), pamoja na watu wengine watatu waliokuwa ndani ya helikopta hiyo. Deo Filikunjombe. Kwa mujibu wa taarifa zilizothibitishwa na...
9 years ago
Mwananchi16 Oct
Filikunjombe, rubani makada CCM wafa katika ajali ya helikopta
Mgombea ubunge jimbo la Ludewa kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Deogratius Filikunjombe, rubani na abiria wengine wote wamekufa baada ya helkopta kuanguka na kuteketea katika hifadhi Selou.
9 years ago
Bongo516 Oct
Mbunge wa Ludewa, Deo Filikunjombe afariki dunia kwa ajali ya helikopta, abiria wote wamepoteza maisha
Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe amefariki dunia baada ya helikopta aliyokuwa akiitumia kwaajili ya kampeni kupata ajali. Taarifa za kifo chake zimethibitishwa na meya wa manispaa ya Ilala, Jerry Silaa ambaye pia amempoteza baba yake kwenye ajali hiyo. “Kwa masikitiko makubwa nimepokea taarifa rasmi kutoka kwa timu ya uokoaji imefanikiwa kufika eneo la […]
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s72-c/_MG_6798.jpg)
DKT MAGUFULI ASHIRIKI KUTOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKA KATIKA AJALI YA HELIKOPTA..
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s640/_MG_6798.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5ZUNtvRiHk/ViKrWIFveYI/AAAAAAAIAns/aP_b98nlW2A/s640/_MG_6803.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-Oke7Rsxlw/ViKrMN5liWI/AAAAAAAIAnE/3x8hNJ1656s/s640/_MG_6610.jpg)
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-mm8QY3YavJs/ViI2BIj1vkI/AAAAAAABKFA/8hPhMaANER4/s72-c/AS%2B1.jpg)
RAIS KIKWETE ATOA HESHIMA ZAKE ZA MWISHO KWA MAREHEMU DEO FILIKUNJOMBE NA WENZAKE WAWILI WALIOFARIKI KATIKA AJALI YA HELIKOPTA
![](http://4.bp.blogspot.com/-mm8QY3YavJs/ViI2BIj1vkI/AAAAAAABKFA/8hPhMaANER4/s640/AS%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0aROwNFl69w/ViI2BDRZS6I/AAAAAAABKFI/rWSh4AN71yQ/s640/AS%2B2.jpg)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mke wa Marehemu Bi Sarah Filikunjombe wakati wa kuaga mwili wa marehemu...
9 years ago
Dewji Blog18 Oct
Dkt. Magufuli ashiriki kutoa heshima za mwisho kwa marehemu Deo Filikunjombe na wenzake wawili waliofariki katika ajali ya Helikopta
![](http://1.bp.blogspot.com/-hHcdjIXgeXA/ViKrWiTW5wI/AAAAAAAIAnw/LHBWlrefWgs/s640/_MG_6798.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-o5ZUNtvRiHk/ViKrWIFveYI/AAAAAAAIAns/aP_b98nlW2A/s640/_MG_6803.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-Z-Oke7Rsxlw/ViKrMN5liWI/AAAAAAAIAnE/3x8hNJ1656s/s640/_MG_6610.jpg)
11 years ago
TheCitizen22 Apr
Kalonzo says that opposition leadership doing its job right
>The Coalition for Reforms and Democracy has defended itself against accusations of poor leadership in Parliament and in the Senate.
9 years ago
AllAfrica.Com20 Oct
Crash of Kalonzo's Plane Under Probe
AllAfrica.com
Tanzania has launched investigations into a helicopter crash that killed a ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) parliamentary candidate on Thursday. The Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA) is also investigating reports that the helicopter belonging to ...
9 years ago
AllAfrica.Com19 Oct
Kalonzo's Chopper Crashes in Tanzania
AllAfrica.com
The Eurocopter that crashed in Tanzania last week killing four occupants, including the captain and a general election candidate, belongs to former Vice President Kalonzo Musyoka. The Eurocopter AS 350B3 Ecureuil's Registration Number is ...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania