Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hii Ndiyo ‘Bastola’ ya Wolper

Bastola yangu popote niendapo npo na Ulinzi wangu. Napenda kuwashukuru Sana wazazi wangu kwakunufundisha kuwa na hofu ya Mungu nakulisoma neno lake pindi nipatapo Muda sehemu yoyote, muda wowote nipatapo Muda basi niutumie muda huo japo kutambua Yu mwema kwangu. Kuliko kufanya vingi visivyompendeza yeye pasipo kusahau Ata angalau kusoma mistari miwili tuu kwenye kitabu kitakatifu cha maandiko ya Mungu. Hapa nipo safarini nitakua kwenye ndege kwa Muda wa masaa 6 nitatumia muda huu japo...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Haya Ndiyo Maneno ya Wolper Baada ya Kuvalishwa Pete

Staa wa Bongo Movies, Jackline Wolper ambaye amevishwa pete na mchumba wake, jana kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram alifunguka haya, mara baada ya kubandika picha hizihuku akipost picha kadhaa wakati akivalishwa pete.

”Kweli Maisha uwezi kuyapanga wala kuyajenga zaidi ya Mungu.. dah nimekaa na mwenzangu leo sku nzima nimecheka nimenuna kumbe kuna tukio mbele dah sijategemea kabisa nimekaa maskani niliyozoea kukaa kila sku na Mr wangu sasa leo nashangaa kanunua mashat...

 

9 years ago

Raia Mwema

Hii ndiyo Tanzania

KUNA usemi wa wahenga kwamba, majaribu yasipokuua yanakuimarisha zaidi, Tanzania kama taifa, lime

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

Vijimambo

10 years ago

Vijimambo

HII NDIYO KAGAME CUP

Kundi A
TIMUPWDLGDPTS1Khartoum2200662Gor Mahia2200363Young Africans FC2101234KMKM3102-235Telecom3003-90Kundi B
TIMUPWDLGDPTS1APR3300492AlShandy3111043LLB AFC3021-124Heegan3012-31Kundi C
TIMUPWDLGDPTS1Azam FC2200362KCC FC2101033Malakia2101-134Adama City2002-20

 

10 years ago

Mwananchi

Hii ndiyo ‘serikali’ ya Bodaboda

>Waendesha bodaboda sasa wanaweza kufananishwa na ‘serikali’ inayojitegemea au taasisi ya kipekee kutokana na kuunda umoja  katika ulinzi na usalama, biashara, vizazi na hata katika vifo na magonjwa.

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAMKE ATTITUDE HABARI NDIYO HII

Picha ya mwigizaji mkongwe wa vichekesho “KOMEDI” Lucas Mhuvile ‘Joti’ imewakuna watu wengi na kufanya kuwa ni moja kati ya picha zinazo” TREND” mtandaoni toka jana. 
Japo kuwa Joti akiwa kama ‘Bi kiboga’ ametokelezea kiofisi zaidi, watu wengi wamejituka wakiangusha komenti nyingi wakielezea kuvunjika kwa mbavu zao kwa kicheko huku wengine wakisema mnuno wake ndio balaa na wengine wakisema skuna ndio sheedah ilimradi kila mmoja kafurahi kwa mtindo wake.
Kiukweli kabisa kijana huyu ni moja...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani