Hotuba ya Mugabe yakumbwa na upinzani
Bunge la Zimbabwe limeahirisha matangazo ya hotuba ya rais Robert Mugabe baada ya upinzani kutishia kuvuruga hotuba hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili16 Sep
Mugabe aita wabunge kuwapa hotuba sahihi
Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe anatarajiwa kutoa hotuba sahihi kwa bunge leo baada yake kusoma hotuba ya zamani kikao cha jana.
10 years ago
Vijimambo15 May
Hotuba ya Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni
![](http://api.ning.com/files/rUrHnDSl8N-ApWqGWk-Km6KNT4Naj2ErRp0jbWz9QMYRlgZqrPltc1KW7nJeLPAbwi0OOVTmxWN3-AI3qFhhG4sZNTL9hmpc/mbowe_bunge.jpg?width=650)
1. UTANGULIZI:
Mheshimiwa Spika,
Kwanza kabisa napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa katika harakati na shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika,Napenda kuchukua nafasi hii pia, kuwashukuru watanzania wote kwa ujumla kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko nchini. Shukrani hizi za pekee ziwafikie wenyeviti...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s72-c/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA NDUGAI AGOMEA HOTUBA YA KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI KUSOMWA,
![](https://1.bp.blogspot.com/-Ch0OJItJEuQ/XoSvY3PkSAI/AAAAAAALlzk/L47Ou8UiQboLqlch6G-PXgOVDffQlUSgQCLcBGAsYHQ/s400/726d3c4d9f1a6bb26612381f91f91eeb-660x375%25402x.jpg)
SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amekataa kusomwa kwa hotuba ya Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani bungeni kuhusu hotuba ya Waziri Mkuu kwa kile alichoeleza kuwa zina shida ikiwemo kuwa na mambo mengi ya kubuni.
Amesema aliipata hotuba hiyo mapema na kuipitia ambapo amebaini kuwa na mambo mengi ya kubahatisha huku ikiwa haijazingatia kanuni za kiuandishi.
Amesema hawezi kuruhusu mambo ya mwaka wa kwanza na wa pili wa Bunge kufanywa katika mwaka wa tano na hivyo kusema...
11 years ago
Dewji Blog14 May
Hotuba ya msemaji mkuu wa kambi rasmi ya upinzani Bungeni Mhe. Mch. Peter Simon Msigwa
Hotuba Ya Msemaji Mkuu Wa Upinzani-maliasili Na Utalii Final Version 2014 by moblog
10 years ago
Vijimambo20 Mar
HOTUBA YA MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI BUNGENI KATIKA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI, MHE. GODBLESS LEMA (MB),
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2114874/highRes/646181/-/maxw/600/-/beoeapz/-/lema+pix.jpg)
Mheshimiwa Spika,Muswada huu wa Sheria ya Usimamizi na Udhibiti wa Silaha na Risasi unaletwa katika Bunge lako tukufu wakati ambapo nchi...
10 years ago
Vijimambo26 May
HOTUBA YA MHE. CECILIA PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/16
![](http://api.ning.com/files/d5hxC5etmnkXiu2QJMe6mrqRxsR9SDDHvhKOmGKD-DM4GG5rqlIIOux51*dqht8manUPSXvRxp6SsQwNEbggEYlCHyegHKXI/CELINA.jpg?width=650)
Mhe. Cecilia Daniel Paresso (MB).
(Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge kanuni ya 99(9) toleo la mwaka 2013).
1.0 UtanguliziMheshimiwa Spika,Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia Taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa ninapokuwa katika shughuli zangu za kisiasa.
Mheshimiwa Spika, Napenda kutumia fursa hii, kuwashukuru watanzania wote kwa kupokea na kulea harakati za mabadiliko...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d5hxC5etmnkXiu2QJMe6mrqRxsR9SDDHvhKOmGKD-DM4GG5rqlIIOux51*dqht8manUPSXvRxp6SsQwNEbggEYlCHyegHKXI/CELINA.jpg?width=650)
HOTUBA YA MHESHIMIWA CECILIA DANIEL PARESSO (MB), MSEMAJI MKUU WA KAMBI RASMI YA UPINZANI WIZARA YA KAZI NA AJIRA KUHUSU MAKADIRIO YA MAPATO NA MATUMIZI KWA MWAKA WA FEDHA 2015/2016
Mhe. Cecilia Daniel Paresso (MB). (Inatolewa kwa mujibu wa Kanuni za Kudumu za Bunge kanuni ya 99(9) toleo la mwaka 2013). 1.0 Utangulizi
Mheshimiwa Spika,
Kwanza napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kuendelea kunilinda na kunitunza ili niweze kutumikia Taifa langu. Napenda kuishukuru familia yangu kwa msaada mkubwa na uvumilivu hasa ninapokuwa katika shughuli zangu za kisiasa. Mheshimiwa Spika,
Napenda kutumia fursa hii,...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-_r7eQYpXhjo/U3JOLwB0bFI/AAAAAAAFhbU/R20IeCt1v6w/s72-c/download+(4).jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania