Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Human Right Watch yaituhumu Sudan Kusini

Shirika la Human Rights Watch limevituhumu vikosi vya jeshi la Sudan kusini, kwa mauaji, ubakaji na uchomaji wa mali za raia.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Human Right Watch waishutumu Israel

Shirika la Human Right Watch limesema Israel imewalazimisha takriban raia 7000 wa Eritrea na Sudan kuondoka nchini humo.

 

10 years ago

BBC

VIDEO: The human cost of S Sudan conflict

James Copnall looks at the civil war conflict in South Sudan, a year on.

 

10 years ago

TheCitizen

Sudan and Egypt implicated in abduction, human trafficking

Since 2009, hundreds and possibly thousands of refugees, most of them Eritrean, have been kidnapped in eastern Sudan and sold to traffickers in Egypt’s Sinai Peninsula, where they are held and tortured until their relatives can raise tens of thousands of dollars in ransom money.

 

10 years ago

Vijimambo

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

MKATABA wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) ulitiwa saini usiku wa jana, Jumatano, Januari 21, 2015, katika sherehe ya kufana iliyofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Ngurdoto, Wilaya ya Arumeru, Mkoa wa Arusha.

Mkataba huo unaojulikana kama Agreement on the Re-unification of Sudan People’s Liberation Movement umepongezwa kuwa ni hatua muhimu katika kulitoa taifa changa la Sudan Kusini katika hali...

 

10 years ago

Michuzi

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM)

 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza utiaji wa saini. Kutoka kulia ni  Mhe. Salva Kiir Mayardit  Rais wa Sudan Kusini ambaye pia ni Mwenyekiti wa SPLM na anayeongoza kundi linalojulikana kama SPLM in Government (SPLM-IG), Mhe Dkt. Riek Machar ambaye alikuwa Makamu Mwenyekiti wa SPLM na pia aliyekuwa Makamu wa Rais wa Sudan Kusini anayeongoza kundi la SPLM in Opposition (SPLM-IO) na Dkt. Deng Alor Kuol ambaye anaongoza kundi la SPLM Leaders- Former Detainees (SPLM Leaders – FD). Nyuma yao ni...

 

10 years ago

StarAfrica.Com

Human rights: Tanzania; attacks by Da'esh in the Middle East; South Sudan


Human rights: Tanzania; attacks by Da'esh in the Middle East; South Sudan
StarAfrica.com
STRASBOURG, France, 12 March 2015 / PRN Africa / — Parliament passed three resolutions on Thursday: strongly condemning the practice of land grabbing in Tanzania; asking member states to take proactive action to counter the expansion of Da'esh ...

 

10 years ago

GPL

Utiwaji saini mkataba wa kujenga tena umoja na kukiunganisha upya Chama Tawala cha Sudan Kusini cha Sudan People’s Liberation Movement (SPLM) jijini Arusha

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akifurahia wakati  Rais Salva
Kiir Mayardiy wa Sudan ya Kusini (kushoto) na Makamu wa Rais wa zamani
wa Sudan Dkt Riek Machar Teny (wa pili kulia) wakipeana mikono na
kubadilishana nyaraka baada ya kutia saini mkatana wa  makubaliano ya
kukiunganisha upya chama cha SPLM cha Sudani Kusini katika hoteli ya…
...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema yaituhumu Nec.

Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Chadema yaituhumu Nec. NA ELIZABETH ZAYA 24th August 2015 Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed […]

The post Chadema yaituhumu Nec. appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

BBCSwahili

Mzozo wa Sudan kusini

Viongozi wa pande zinazopingana Sudan, hawajaunda serikali ya mpito katika kipindi cha siku 90 kama ilivyokubaliwa mwezi wa 8.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani