Chadema yaituhumu Nec.
Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Chadema yaituhumu Nec. NA ELIZABETH ZAYA 24th August 2015 Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed […]
The post Chadema yaituhumu Nec. appeared first on Mzalendo.net.
Mzalendo Zanzibar
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s72-c/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
Chadema yaituhumu CCM kwa Mchezo Mchafu!
![](http://3.bp.blogspot.com/-ELWl1INNUx8/T3n2QIXbZ8I/AAAAAAAAACw/BsvCuYNTODg/s640/396300_216970381724652_100002350745009_483378_1721045790_n.jpg)
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Nzega, Shekhe Omari Omari, amekituhumu Chama cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi wake Kisiasa wilayani Bukene, akidai wamebaini njama za kuwabambikizia Kesi wanachama wa Chadema ili kuwatisha.
Akizungumza na Tanzania Daima Shekhe Omari ambaye pia ni Shekhe wa Wilaya ya Bukene na Diwani wa Kata Bukene (Chadema) alisema, kutokana na CCM kuanza kuweweseka na Ushindi wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Human Right Watch yaituhumu Sudan Kusini
Shirika la Human Rights Watch limevituhumu vikosi vya jeshi la Sudan kusini, kwa mauaji, ubakaji na uchomaji wa mali za raia.
9 years ago
BBCSwahili19 Dec
Uchina yaituhumu Marekani kwa “uchokoziâ€
Uchina imeituhumu Marekani kwa kufanya “uchokozi mkubwa†baada ya ndege ya Marekani aina ya B-52 kupaa karibu na visiwa vya Spratly, bahari ya South China.
9 years ago
IPPmedia05 Oct
CHADEMA flexes muscles against JK, NEC
IPPmedia
IPPmedia
Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) says President Jakaya Kikwete is to blame for its current friction with the National Electoral Commission (NEC) due to his failure to pioneer a people's constitution that would impose an independent electoral ...
Ukawa urges NEC to allow Parallel Vote TabulationDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
all 5
9 years ago
Mwananchi01 Oct
NEC: Chadema inatupa shida
Dar/Arusha. Ombi la Chadema la kutaka wataalamu wa Tehama wa vyama vya siasa na waangalizi wa kimataifa waruhusiwe kukagua programu itakayotumika kuhesabu kura za urais, limesababisha Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kukitaja chama hicho kuwa ndicho pekee kinachoipa shida katika utekelezaji wa majukumu yake.
9 years ago
Mwananchi10 Oct
Chadema yaipa NEC siku tatu
Naibu Katibu mkuu wa Chadema, John Mnyika ametoa siku tatu kwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, (NEC) kukabidhi nakala ya Daftari la Wapigakura kwa vyama vya siasa kwa ajili ya uhakiki vinginevyo watatumia nguvu ya umma kuwalazimisha kufanya hivyo.
9 years ago
Mwananchi04 Oct
Chadema yazidi kuikalia kooni NEC
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imesema Chadema inawasumbua kutokana na madai yao ya mara kwa mara, lakini chama hicho kikuu cha upinzani hakijakoma; kimeitaka Tume kujibu mambo matano kuhusu Uchaguzi Mkuu.
11 years ago
Mwananchi13 Mar
CCM, Chadema waikaba NEC Iringa
Mvutano mkali umeibuka baina ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva na Vyama vya Siasa vya Chadema na CCM kuhusu Daftari la Kudumu la Wapiga kura Jimbo la Kalenga, baada ya kuonekana kuna wapiga kura 600 wa ziada.
9 years ago
Mwananchi28 Aug
Kigaila wa Chadema amkatia rufaa Mavunde NEC
Mgombea ubunge katika Jimbo la Dodoma Mjini kupitia Chadema, Benson Kigaila amekata rufaa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) kupinga uteuzi wa Antony Mavunde, kuwania nafasi hiyo kupitia CCM huku akiwa mtumishi wa umma.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania