Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina yaituhumu Marekani kwa “uchokozi”

Uchina imeituhumu Marekani kwa kufanya “uchokozi mkubwa” baada ya ndege ya Marekani aina ya B-52 kupaa karibu na visiwa vya Spratly, bahari ya South China.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Uchina yakana udukuzi nchini Marekani

Uchina imetaja kama kukosa kuwajibika kwa Marekani kudai kuwa wadukuzi wa Uchina ndio waliosababisha udukuzi wa taarifa za ofisi za serikali ya Marekani.

 

10 years ago

Vijimambo

Chadema yaituhumu CCM kwa Mchezo Mchafu!

a Bryceson Mathias, Bukene
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Wilaya ya Nzega, Shekhe Omari Omari, amekituhumu Chama cha Mapinduzi (CCM) na Viongozi wake Kisiasa wilayani Bukene, akidai wamebaini njama za kuwabambikizia Kesi wanachama wa Chadema ili kuwatisha.

Akizungumza na Tanzania Daima Shekhe Omari ambaye pia ni Shekhe wa Wilaya ya Bukene na Diwani wa Kata Bukene (Chadema) alisema, kutokana na CCM kuanza kuweweseka na Ushindi wa Chadema kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa,...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Chadema yaituhumu Nec.

Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea. Chadema yaituhumu Nec. NA ELIZABETH ZAYA 24th August 2015 Mgombea Ubunge wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Jimbo la Ubungo, Saed […]

The post Chadema yaituhumu Nec. appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

BBCSwahili

Human Right Watch yaituhumu Sudan Kusini

Shirika la Human Rights Watch limevituhumu vikosi vya jeshi la Sudan kusini, kwa mauaji, ubakaji na uchomaji wa mali za raia.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 kortini kwa mauaji Uchina

Watu watano wafuasi wa dhehebu la ''Church of Almighty God'' wafikishwa mahakamani kwa mauaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukuaji wa kiuchumi wa Uchina kwa kina

BBC inasimulia kuhusu ukuaji wa kiuchumi wa Uchina na ustawi wa miji - kwa picha, michoro na video

 

11 years ago

BBCSwahili

Uchina haitatumia mabavu kwa wengine

Rais wa Uchina aahidi kuwa hata Uchina ikiwa na nguvu kubwa sana, haitazionea nchi nyengine, kwa sababu siyo tabia ya Uchina

 

9 years ago

BBCSwahili

Bashir awasili Uchina kwa ziara rasmi

Rais wa Uchina amemlaki rais Omar al-Bashir anayesakwa na mahakama ya kimataifa ya ICC na kumtaja kama rafiki mkuu wa Uchina

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kuahidi mabilioni zaidi kwa Afrika

Kongamano kuu kati ya nchi za Afrika na Uchina linafunguliwa leo mjini Johannesburg kukiwa na matarajio kwamba Uchina itaahidi usaidizi zaidi kwa bara Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani