Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchina haitatumia mabavu kwa wengine

Rais wa Uchina aahidi kuwa hata Uchina ikiwa na nguvu kubwa sana, haitazionea nchi nyengine, kwa sababu siyo tabia ya Uchina

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Utawala unapotafutwa kwa mabavu

BADO nayakumbuka maneno mazito ya hayati Baba wa Taifa, Mwl Julius Kambarage Nyerere aliyoyatoa siku kadhaa kabla ya kuachia madaraka ya uongozi wa serikali na Chama Cha Mapinduzi.   Nayakumbuka kwa...

 

5 years ago

Michuzi

KALIST ASEMA CCM HAITATUMIA DOLA KUTAKA MADARAKA BALI DOLA KWA NI KUTUMIA KWA KUTUMIKIA WANANCHI


Mstahiki Meya Mstaafu wa Jiji la Arusha Kalist Lazaro akiongea na vyombo vya habari leo leo jijini Arusha


Na Ahmed Mahmoud Arusha

CHAMAcha Mapinduzi,CCM, hakitatumia dola kubakia madarakani bali kitaitumia dola katika kuwatumikia na kuwahudumia wananchi kwa kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo na kuboresha huduma za jamii.

Hayo yameelezwa leo jijini Arusha kwenye ukumbi wa Hotel ya Arusha Palace, na aliyekuwa Meya wa Jijiji la Arusha,Kalisti Lazaro,alipokuwa akitolea ufafanuzi kauli ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Lema, Nassari wadai watamtoa Muhongo bungeni kwa mabavu

Mbunge wa Arusha mjini (Chadema) Godbless Lema amesema atamtoa kwa mabavu bungeni Waziri wa nishati na madini,Profesa Sospetre Muhongo katika kikao kijacho cha Bunge endapo atakuwa hajaondolewa kwenye nafasi hiyo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali ya mabavu inamtumikia nani?

UCHAGUZI mdogo wa madiwani uliofanyika Jumapili iliyopita katika kata 27 nchini umenifunulia kitu kimoja muhimu. Baada ya kuutafakari uchaguzi huo mara moja nimegundua kwamba kumbe Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakina...

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yaituhumu Marekani kwa “uchokozi”

Uchina imeituhumu Marekani kwa kufanya “uchokozi mkubwa” baada ya ndege ya Marekani aina ya B-52 kupaa karibu na visiwa vya Spratly, bahari ya South China.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watu 5 kortini kwa mauaji Uchina

Watu watano wafuasi wa dhehebu la ''Church of Almighty God'' wafikishwa mahakamani kwa mauaji.

 

9 years ago

BBCSwahili

Ukuaji wa kiuchumi wa Uchina kwa kina

BBC inasimulia kuhusu ukuaji wa kiuchumi wa Uchina na ustawi wa miji - kwa picha, michoro na video

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina kuahidi mabilioni zaidi kwa Afrika

Kongamano kuu kati ya nchi za Afrika na Uchina linafunguliwa leo mjini Johannesburg kukiwa na matarajio kwamba Uchina itaahidi usaidizi zaidi kwa bara Afrika.

 

9 years ago

BBCSwahili

Uchina yaahidi $6.5bn kwa Afrika Kusini

Uchina na Afrika Kusini zimetia saini mikataba na mikopo ya thamani ya $6.5bn (£4.3bn), inayoangazia zaidi miundo mbinu.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani